Tanzania yateng’eneza meli

Tanzania yateng’eneza meli

Benevento

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2019
Posts
4,982
Reaction score
29,537
Leo kwenye taarifa ya habari nimeona habari yakushtua
7AACB952-3CB4-4470-AAC6-6C93C3AC6643.jpeg


Je hiyo meli imeteng’enezwa kweli au imefanyiwa assembled? Wajuvi tujuzeni
 
Na hiyo sio ya kwanza mkuu. Ni wataalamu kweli kweli. Katika ziwa nyasa hiyo ni meli ya tatu. Mbili ni za mizigo,zilishaanza kazi na ziko imara kuliko za kuagiza. Ksbb Engine yake ni kubwa na zina speed kuliko za kuagiza. Hiyo kampuni ya SONGORO MARINE ni mzawa Head ofisi yake iko Mwanza. Kwa sasa wanaweza kuhamishia kazi zao Kigamboni wana eneo kubwa huko,si mbali kutoka kivukoni. Wametengeneza vivuko,maboti na maeneo mbalimbali. Ziwa Tanganyika,Wako Mombasa. Ni kampuni makini sana
 
Kwa mtazamo wangu utengenezaji wa Meli ni wa mfumo wa Assembly. So inawezekana tu kutengeneza, hapa hapa muhimu ni yard na malighafi nyinginezo
magari,pikipiki pia yaweza tengenezwa nchini sababu nayo Ni KU assemble tu .Ni vitu vyaweza tengenezwa hata majumbani gereji za uswahilini au hata nyumbani kwa mtu
 
Leo kwenye taarifa ya habari nimeona habari yakushtuaView attachment 1207658
Je hiyo meli imeteng’enezwa kweli au imefanyiwa assembled? Wajuvi tujuzeni
Meli,magari ,pikikii vyote huwa vinakuwa assembled kiswahili inaitwa kutengeneza.Hata mjapani magari yote anachofanya Ni KU assemble kiswahili tunaita kutengeneza but kiingereza Ni ku assemble
 
Meli,magari ,pikikii vyote huwa vinakuwa assembled kiswahili inaitwa kutengeneza.Hata mjapani magari yote anachofanya Ni KU assemble kiswahili tunaita kutengeneza but kiingereza Ni ku assemble

Toyota kwa hiyo wananunua engine?
 
Baskeli yenyewe tumeshindwa meli ndio tutaweza?
Wewe ni katika wajinga Fulani watu wameshajitengenezea pikipiki na magari yao binafsi majumbani na Hadi plate number wanazo yako barabarani wewe sijui uko dunia gani
 
Wewe ni katika wajinga Fulani watu wameshajitengenezea pikipiki na magari yao binafsi majumbani na Hadi plate number wanazo yako barabarani wewe sijui uko dunia gani
[/QUOUTE]

Watu wameshindwa tengeneza ata toothstick ndio wataweza piki piki wewe umeona piki piki ime-assbled unasema imetengenezwa
 
Meli,magari ,pikikii vyote huwa vinakuwa assembled kiswahili inaitwa kutengeneza.Hata mjapani magari yote anachofanya Ni KU assemble kiswahili tunaita kutengeneza but kiingereza Ni ku assemble

Eti kuassemble nikutengeneza hujielewi wewe
 
Japan kwa hiyo wananunua engine?
Engine wananunua,tairi wananunua,gia box wananunua,nyaya za umeme za gari wananunua,taa za gari wananunua ,chuma wananunua,seat wananunua wanachofanya kazi kubwa Ni kazi ya welding ya kutengeneza bodi na kupachika hivyo walivyonunua yaani KU assemble .Viwandani vyao vina mitambo mikubwa automatic ya kuassemble.Japan Wana desingners wazuri wa kuchora bodi za magari na welders wazuri.Otherwise kinachofanyika ni.ku assemble tu.Niishie hapa siwezibwndelea kubishana na mtu mwenye lowest IQ Kama wewe sikujibu tena
 
Back
Top Bottom