johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,109
Baadhi ya Waandamanaji wanaounga mkono Palestine huko Mahakama ya Kimataifa ICJ wameipongeza Tanzania kwa kuisaidia Africa Kusini Kupata Uhuru wake
Waandamanaji hao kutoka sehemu mbalimbali duniani wamesema Ujasiri unaooneshwa leo na Africa Kusini ni matunda ya malezi bora iliyopata kutoka nchi mlezi Tanzania
RIP Mwalimu Nyerere
Waandamanaji hao kutoka sehemu mbalimbali duniani wamesema Ujasiri unaooneshwa leo na Africa Kusini ni matunda ya malezi bora iliyopata kutoka nchi mlezi Tanzania
RIP Mwalimu Nyerere