LONDON: The Global Finance Awards waitaja NMB toka Tanzania kama Benki kinara yenye riba nafuu na yenye kuwajali zaidi wateja wake zaidi duniani

Raia wa Taifa

Member
Jan 28, 2024
79
112
IMG-20240221-WA0072.jpg


Benki ya NMB imetunukiwa Tuzo ya Benki Bora ya Biashara Ndogo na za Kati Tanzania kutoka Jarida la Kimataifa la Global Finance katika hafla iliyofanyika jijini London, Uingereza.

Mchakato wa kupata washindi wa Tuzo hizo za Benki Bora za Biashara kwa mwaka 2024 ulihusisha tathmini ya kina ya mawasilisho na tafiti huru, pamoja na maoni kutoka kwa wataalamu wa kisekta na wabobezi wa masuala ya biashara na teknolojia duniani.

Pamoja na mambo mengine, tuzo hii imetambua mchango wa NMB katika kuwawezesha wajasiriamali Tanzania kukuza biashara zao.

The Finance wanaitaja Benki ya NMB toka Tanzania kama Benki yenye kuwapa mikopo ya riba nafuu na kwa wakati wateja wake.

NMB wamekuwa wakimtoa Mikopo mbalimbali ikiwemo mikopo kwa biashara zinazomilikiwa na wanawake au ambazo huduma zake zinamgusa mwanamke, kupitia Hati Fungani ya Jasiri.

Wameitaja NMB kuwa ndio Benki inayowapa elimu ya fedha kuhusu ukuzaji wa biashara zao kupitia majukwaa ya Business Clubs, Business Executive Network na mengine mengi.

NMB imetajwa pia kuwa ndio Benki inadhamini sana Uwekezaji katika mifumo ya teknolojia inayowawezesha wateja kupata huduma za kifedha kwa urahisi na haraka kwa njia za kidijitali ikiwemo NMB Mkononi, NMB Direct, mikopo ya kidijitali isiyokua na dhamana (Mshiko Fasta), na huduma nyingine nyingi.

Tuzo hii imetolewa na Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Uhariri wa Jarida la Global Finance - Bw. Joseph Giarraputo na kupokelewa na Mkuu wetu wa Idara ya Biashara - Bw. Alex Mgeni, alieambatana na Maafisa Waandamizi kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Itakumbukwa kuwa Benki hii kwa Sasa iko chini ya mwanamama wa Kitanzania Ms Ruth Zaipuna hivyo hatuwezi kushangilia ushindi huu wa kidunia bila kumtaja kiongozi huyu mchapakazi.

#GlobalFinanceAwards
 
View attachment 2911165

Benki ya NMB imetunukiwa Tuzo ya Benki Bora ya Biashara Ndogo na za Kati Tanzania kutoka Jarida la Kimataifa la Global Finance katika hafla iliyofanyika jijini London, Uingereza.

Mchakato wa kupata washindi wa Tuzo hizo za Benki Bora za Biashara kwa mwaka 2024 ulihusisha tathmini ya kina ya mawasilisho na tafiti huru, pamoja na maoni kutoka kwa wataalamu wa kisekta na wabobezi wa masuala ya biashara na teknolojia duniani.

Pamoja na mambo mengine, tuzo hii imetambua mchango wa NMB katika kuwawezesha wajasiriamali Tanzania kukuza biashara zao.

The Finance wanaitaja Benki ya NMB toka Tanzania kama Benki yenye kuwapa mikopo ya riba nafuu na kwa wakati wateja wake.

NMB wamekuwa wakimtoa Mikopo mbalimbali ikiwemo mikopo kwa biashara zinazomilikiwa na wanawake au ambazo huduma zake zinamgusa mwanamke, kupitia Hati Fungani ya Jasiri.

Wameitaja NMB kuwa ndio Benki inayowapa elimu ya fedha kuhusu ukuzaji wa biashara zao kupitia majukwaa ya Business Clubs, Business Executive Network na mengine mengi.

NMB imetajwa pia kuwa ndio Benki inadhamini sana Uwekezaji katika mifumo ya teknolojia inayowawezesha wateja kupata huduma za kifedha kwa urahisi na haraka kwa njia za kidijitali ikiwemo NMB Mkononi, NMB Direct, mikopo ya kidijitali isiyokua na dhamana (Mshiko Fasta), na huduma nyingine nyingi.

Tuzo hii imetolewa na Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Uhariri wa Jarida la Global Finance - Bw. Joseph Giarraputo na kupokelewa na Mkuu wetu wa Idara ya Biashara - Bw. Alex Mgeni, alieambatana na Maafisa Waandamizi kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Itakumbukwa kuwa Benki hii kwa Sasa iko chini ya mwanamama wa Kitanzania Ms Ruth Zaipuna hivyo hatuwezi kushangilia ushindi huu wa kidunia bila kumtaja kiongozi huyu mchapakazi.

#GlobalFinanceAwards
Bila Samia tungefika hapa?

Bila Mipango ya Mpango tungefika hapa?

Bila Majaliwa tungefika hapa?

Bila Biteko tungefika hapa?
 
View attachment 2911165

Benki ya NMB imetunukiwa Tuzo ya Benki Bora ya Biashara Ndogo na za Kati Tanzania kutoka Jarida la Kimataifa la Global Finance katika hafla iliyofanyika jijini London, Uingereza.

Mchakato wa kupata washindi wa Tuzo hizo za Benki Bora za Biashara kwa mwaka 2024 ulihusisha tathmini ya kina ya mawasilisho na tafiti huru, pamoja na maoni kutoka kwa wataalamu wa kisekta na wabobezi wa masuala ya biashara na teknolojia duniani.

Pamoja na mambo mengine, tuzo hii imetambua mchango wa NMB katika kuwawezesha wajasiriamali Tanzania kukuza biashara zao.

The Finance wanaitaja Benki ya NMB toka Tanzania kama Benki yenye kuwapa mikopo ya riba nafuu na kwa wakati wateja wake.

NMB wamekuwa wakimtoa Mikopo mbalimbali ikiwemo mikopo kwa biashara zinazomilikiwa na wanawake au ambazo huduma zake zinamgusa mwanamke, kupitia Hati Fungani ya Jasiri.

Wameitaja NMB kuwa ndio Benki inayowapa elimu ya fedha kuhusu ukuzaji wa biashara zao kupitia majukwaa ya Business Clubs, Business Executive Network na mengine mengi.

NMB imetajwa pia kuwa ndio Benki inadhamini sana Uwekezaji katika mifumo ya teknolojia inayowawezesha wateja kupata huduma za kifedha kwa urahisi na haraka kwa njia za kidijitali ikiwemo NMB Mkononi, NMB Direct, mikopo ya kidijitali isiyokua na dhamana (Mshiko Fasta), na huduma nyingine nyingi.

Tuzo hii imetolewa na Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Uhariri wa Jarida la Global Finance - Bw. Joseph Giarraputo na kupokelewa na Mkuu wetu wa Idara ya Biashara - Bw. Alex Mgeni, alieambatana na Maafisa Waandamizi kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Itakumbukwa kuwa Benki hii kwa Sasa iko chini ya mwanamama wa Kitanzania Ms Ruth Zaipuna hivyo hatuwezi kushangilia ushindi huu wa kidunia bila kumtaja kiongozi huyu mchapakazi.

#GlobalFinanceAwards
Mmetisha NMB
 
Eti ina riba ndogo na inajali wateja!! Hiyo riba ndogo ni % ngapi! Na huko kujali wateja ndiyo kule kusimama kwenye foleni hata saa nzima kwa ajili tu ya kusubiria huduma!!

Tena unakuta kati ya madirisha 4 ya kutolea huduma, unakuta ni mawili tu ndiyo yenye wahudumu; huku madirisha mengine yakibakia kuwa tupu!
 
Eti ina riba ndogo na inajali wateja!! Hiyo riba ndogo ni % ngapi! Na huko kujali wateja ndiyo kule kusimama kwenye foleni hata saa nzima kwa ajili tu ya kusubiria huduma!!

Tena unakuta kati ya madirisha 4 ya kutolea huduma, unakuta ni mawili tu ndiyo yenye wahudumu; huku madirisha mengine yakibakia kuwa tupu!
Tawi gani hilo mjomba? Ila nadhani wanazingatia zaidi idadi ya wateja waliopo kwa wakati huo
 
View attachment 2911165

Benki ya NMB imetunukiwa Tuzo ya Benki Bora ya Biashara Ndogo na za Kati Tanzania kutoka Jarida la Kimataifa la Global Finance katika hafla iliyofanyika jijini London, Uingereza.

Mchakato wa kupata washindi wa Tuzo hizo za Benki Bora za Biashara kwa mwaka 2024 ulihusisha tathmini ya kina ya mawasilisho na tafiti huru, pamoja na maoni kutoka kwa wataalamu wa kisekta na wabobezi wa masuala ya biashara na teknolojia duniani.

Pamoja na mambo mengine, tuzo hii imetambua mchango wa NMB katika kuwawezesha wajasiriamali Tanzania kukuza biashara zao.

The Finance wanaitaja Benki ya NMB toka Tanzania kama Benki yenye kuwapa mikopo ya riba nafuu na kwa wakati wateja wake.

NMB wamekuwa wakimtoa Mikopo mbalimbali ikiwemo mikopo kwa biashara zinazomilikiwa na wanawake au ambazo huduma zake zinamgusa mwanamke, kupitia Hati Fungani ya Jasiri.

Wameitaja NMB kuwa ndio Benki inayowapa elimu ya fedha kuhusu ukuzaji wa biashara zao kupitia majukwaa ya Business Clubs, Business Executive Network na mengine mengi.

NMB imetajwa pia kuwa ndio Benki inadhamini sana Uwekezaji katika mifumo ya teknolojia inayowawezesha wateja kupata huduma za kifedha kwa urahisi na haraka kwa njia za kidijitali ikiwemo NMB Mkononi, NMB Direct, mikopo ya kidijitali isiyokua na dhamana (Mshiko Fasta), na huduma nyingine nyingi.

Tuzo hii imetolewa na Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Uhariri wa Jarida la Global Finance - Bw. Joseph Giarraputo na kupokelewa na Mkuu wetu wa Idara ya Biashara - Bw. Alex Mgeni, alieambatana na Maafisa Waandamizi kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Itakumbukwa kuwa Benki hii kwa Sasa iko chini ya mwanamama wa Kitanzania Ms Ruth Zaipuna hivyo hatuwezi kushangilia ushindi huu wa kidunia bila kumtaja kiongozi huyu mchapakazi.

#GlobalFinanceAwards
Kweli nipo NMB kitambo sana na sijawahi kujuta lolote mambo ni nywaa!
 
View attachment 2911165

Benki ya NMB imetunukiwa Tuzo ya Benki Bora ya Biashara Ndogo na za Kati Tanzania kutoka Jarida la Kimataifa la Global Finance katika hafla iliyofanyika jijini London, Uingereza.

Mchakato wa kupata washindi wa Tuzo hizo za Benki Bora za Biashara kwa mwaka 2024 ulihusisha tathmini ya kina ya mawasilisho na tafiti huru, pamoja na maoni kutoka kwa wataalamu wa kisekta na wabobezi wa masuala ya biashara na teknolojia duniani.

Pamoja na mambo mengine, tuzo hii imetambua mchango wa NMB katika kuwawezesha wajasiriamali Tanzania kukuza biashara zao.

The Finance wanaitaja Benki ya NMB toka Tanzania kama Benki yenye kuwapa mikopo ya riba nafuu na kwa wakati wateja wake.

NMB wamekuwa wakimtoa Mikopo mbalimbali ikiwemo mikopo kwa biashara zinazomilikiwa na wanawake au ambazo huduma zake zinamgusa mwanamke, kupitia Hati Fungani ya Jasiri.

Wameitaja NMB kuwa ndio Benki inayowapa elimu ya fedha kuhusu ukuzaji wa biashara zao kupitia majukwaa ya Business Clubs, Business Executive Network na mengine mengi.

NMB imetajwa pia kuwa ndio Benki inadhamini sana Uwekezaji katika mifumo ya teknolojia inayowawezesha wateja kupata huduma za kifedha kwa urahisi na haraka kwa njia za kidijitali ikiwemo NMB Mkononi, NMB Direct, mikopo ya kidijitali isiyokua na dhamana (Mshiko Fasta), na huduma nyingine nyingi.

Tuzo hii imetolewa na Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Uhariri wa Jarida la Global Finance - Bw. Joseph Giarraputo na kupokelewa na Mkuu wetu wa Idara ya Biashara - Bw. Alex Mgeni, alieambatana na Maafisa Waandamizi kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Itakumbukwa kuwa Benki hii kwa Sasa iko chini ya mwanamama wa Kitanzania Ms Ruth Zaipuna hivyo hatuwezi kushangilia ushindi huu wa kidunia bila kumtaja kiongozi huyu mchapakazi.

#GlobalFinanceAwards
Bora wangesema CRDB nmb sawa na mamboto tu
 
Back
Top Bottom