mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Na hakuna vifo vya corona Madagaska!!Inaonekana dawa inafanya kazi kwa ufanisi wa asilimia kadhaa na hii imekuwa proved baada ya case za wagonjwa kupungua Madagascar
Je huu mmea hau-exist Tz ili tuanze kufanya production kwaajili ya ujenzi wa taifa??
Sent using Jamii Forums mobile app