RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
Kitu ambacho huwa kinanishangaza ni pale Nnape ama Salva anatoa tamko lenye mapungufu kwa niaba ya taasisi zao.
Hivi kweli vichwa vyote kwenye CC hawakuona tunachokiona?
Kama hawakuona basi ni dhahiri kwa nini kama taifa tupo mahali tulipo!