Tanzania yafundisha wanajeshi wa DRC TMA - Monduli

Sasa si Mwambie Awashawishi Makanda Wenzake Waanze Kuichapa Rwanda!!!!!!!!!!!!!!!! TUSIJIDANGANYE KWA PROPAGANDA YA KIJINGA, KISHAMBA NA YA KITOTO. Hivi Wewe Unadhani Hao Rwanda na Wao hawana Majasusi Wao Tanzania? Kwa Taarifa Yako tu Hata huko TPDF, Serikalini Kwenyewe, ktk Taasisi Binafsi na Hata Kwa Wafanyabishara Rwanda Imepenyeza Watu Wake wa Kutosha na Kila Siku Taarifa Zinapelekwa Kigali. Unapojipanga Kwa Rwanda na Wao Pia Wanajipanga Vilivyo Kwa Tanzania na Tukithubutu tu TUTAUMBUKA. Bado Nasisitiza Tuache Diplomasia Itawale na Tusifike huko ktk Kutaka Kupigana Kwani bado Tunahangaika Mno Kujenga Uchumi wa Nchi Yetu Uliyoharibika Sana Wakati wa Vita Vya Nduli Amin 1978 - 1979. Sisi Sote ni Afrika Kwanini Tugombane? Na Tunagombania Nini? Tunamuenzi Vipi Hayati Baba wa Taifa ambaye Ndiyo Mlezi Mkubwa wa Kikwete, Kagame, Museveni, Kabila Kupitia Kwa Marehemu Baba Yake na Wengineo Wengi. Wao Wametuolea na Sisi Pia Tumeoa Kwao Je Leo Tukionyeshana Ubabe tutakuwa Tunamfaidisha Nani? Hebu Tubadilishe Mindset Zetu Jamani.

ujasusi kwenye vita ni msaada mkubwa lakin siyo kilakitu, si uliona m23 ilivyopigwa kwa week mbili tu!!!unadhani walikuwa hawana msaada wa kijasusi wa rwanda!!!ukiona nchi au mtu kabla ya ugomvi kuanza anapiga kelele nyingi ujue ni mwoga anajua atapigwa tu!!!hata idd amin alijisifia sana kwa propaganda oh mimi field marshall oh mimi nani!!lakini kibano kilivyoanza alivyokurupuka je!!!!!
 
Nimekusoma mkuu wangu.

ujasusi kwenye vita ni msaada mkubwa lakin siyo kilakitu, si uliona m23 ilivyopigwa kwa week mbili tu!!!unadhani walikuwa hawana msaada wa kijasusi wa rwanda!!!ukiona nchi au mtu kabla ya ugomvi kuanza anapiga kelele nyingi ujue ni mwoga anajua atapigwa tu!!!hata idd amin alijisifia sana kwa propaganda oh mimi field marshall oh mimi nani!!lakini kibano kilivyoanza alivyokurupuka je!!!!!
 
Nilishasema huko Nyuma lakini Nikabezwa ila Wewe leo Umenisaidia na Nasema tena Rwanda Sivyo Kama Mnavyoifikiria na Falsafa Yao ni Kama Ya Wayahudi ( Israel ) na Bahati Nzuri Nimeishi Nao na Baadhi Ya Maafisa Wao Nawajua na Nisiwafiche Watanzania Wenzangu Jamaa Wapo Vizuri Kijeshi na Kuna Mengine Siwezi Kuyasema hapa ila Tusijidanganye Kwa Kuwadharau na Kuona Udogo wa Nchi Yao na Msisahau Kuwa Ukubwa wa Nchi na Kwa Idadi Yake Siyo Kigezo cha Kuwa Mbabe na Mshindi ktk Battle. Israel ni Nchi Ndogo Sana ila Nchi Zote za Kiarabu Zinasalimu Amri na Wanapigwa Vizuri Sana. Naliheshimu Sana Jeshi Letu Kwa Uimara na Uwezo Wake ila Tusiingie Kichwa Kichwa Kutaka Kupigana na Rwanda na Badala Yake Diplomacy Itawale. Naipenda Tanzania, Rwanda na Afrika Kwa Ujumla.

wengi wanao shabikia hili bif ni wale wazembe wa kufikiria na kufuatilia mambo....kama rpf army now rdf waliondoa serikali ya Habyarimana kwa kutembea kwa mguu,kuchimba handaki kwa jembe,kwa kutumia vifaa duni vya kivita kigali ikakamatwa dakika sifuri na mwaka huo huo missions nyingine nyingi zikaanzishwa na kutekelezwa ikiwemo ile ya kumchomoa mobutu....sasa hivi wamekaa vizuri ile mbaya acheni kujidanganya....
 
RDF ni battle hardened .tpdf siku hizi wamejaa form 4 failures tu
 
Acha dharau wewee! wamejaa form 4 failures lakini wakiingia kwenye battle ground mwenyewe utawakubali muziki wao ni heavy.
 
Wale maofisa 414 wa jeshi la Congo DRC wamehiti mafunzo yao TMA na wapo tayari kuilinda nchi yao dhidi ya nchi chokozi (I hope mnazijua).
 
ujasusi kwenye vita ni msaada mkubwa lakin siyo kilakitu, si uliona m23 ilivyopigwa kwa week mbili tu!!!unadhani walikuwa hawana msaada wa kijasusi wa rwanda!!!ukiona nchi au mtu kabla ya ugomvi kuanza anapiga kelele nyingi ujue ni mwoga anajua atapigwa tu!!!hata idd amin alijisifia sana kwa propaganda oh mimi field marshall oh mimi nani!!lakini kibano kilivyoanza alivyokurupuka je!!!!!


wewe una mapepo ya kinyarwanda???
Ujasusi gani walionao rwanda dhidi ya nchi yetu,mnawakuza mno watusi kupita uhalisia wa uwezo wao wa kijasusi na kijeshi.

Huo uwezo mbona hawakuhimili kuzuia kipigo na kusambaratishwa kwa m23???
 
ujasusi kwenye vita ni msaada mkubwa lakin siyo kilakitu, si uliona m23 ilivyopigwa kwa week mbili tu!!!unadhani walikuwa hawana msaada wa kijasusi wa rwanda!!!ukiona nchi au mtu kabla ya ugomvi kuanza anapiga kelele nyingi ujue ni mwoga anajua atapigwa tu!!!hata idd amin alijisifia sana kwa propaganda oh mimi field marshall oh mimi nani!!lakini kibano kilivyoanza alivyokurupuka je!!!!!
Wewe unanatatizo..M23 ilipambana na dunia nzima siyo hicho kijeshi uchwara cha UN,nakwambia isingekua shinikizo la mataifa nakubwa M23 ingekua kinshasa sasa hivi,wakati mwingine inabidi mtafiti kisa cha M23 kujiondoa katika mapambano,nachojua M23 haikupigana kabisaaa.
 
wewe una mapepo ya kinyarwanda???
Ujasusi gani walionao rwanda dhidi ya nchi yetu,mnawakuza mno watusi kupita uhalisia wa uwezo wao wa kijasusi na kijeshi.

Huo uwezo mbona hawakuhimili kuzuia kipigo na kusambaratishwa kwa m23???
Wewe acha kudanganya watu kwani M23 ilipambana na tanzania?
 
wale waliopgana na IDD amin walikuwa chuo? tunaangalia uzalendo sio kiwango cha elimu darasan unatia Aibu wewe
Mbona watanzania maneno mengi? Vita mnaujua wapi?mnyarwanda unamsikia tu achana naye hawa ni watu wa vita..nakama unabisha chokozeni kidogo tu..kiswahili chote kitatiwa mfukoni.
 
Wale maofisa 414 wa jeshi la Congo DRC wamehiti mafunzo yao TMA na wapo tayari kuilinda nchi yao dhidi ya nchi chokozi (I hope mnazijua).
Ahahahahah.....ndugu yangu ujasiri ni nature ya mtu wakongomani niwaoga hata ukiwapatia ujuzi na siraha za aina gani watazitupa na kukimbia uwanja wa mapambano.
 
Sasa si Mwambie Awashawishi Makanda Wenzake Waanze Kuichapa Rwanda!!!!!!!!!!!!!!!! TUSIJIDANGANYE KWA PROPAGANDA YA KIJINGA, KISHAMBA NA YA KITOTO. Hivi Wewe Unadhani Hao Rwanda na Wao hawana Majasusi Wao Tanzania? Kwa Taarifa Yako tu Hata huko TPDF, Serikalini Kwenyewe, ktk Taasisi Binafsi na Hata Kwa Wafanyabishara Rwanda Imepenyeza Watu Wake wa Kutosha na Kila Siku Taarifa Zinapelekwa Kigali. Unapojipanga Kwa Rwanda na Wao Pia Wanajipanga Vilivyo Kwa Tanzania na Tukithubutu tu TUTAUMBUKA. Bado Nasisitiza Tuache Diplomasia Itawale na Tusifike huko ktk Kutaka Kupigana Kwani bado Tunahangaika Mno Kujenga Uchumi wa Nchi Yetu Uliyoharibika Sana Wakati wa Vita Vya Nduli Amin 1978 - 1979. Sisi Sote ni Afrika Kwanini Tugombane? Na Tunagombania Nini? Tunamuenzi Vipi Hayati Baba wa Taifa ambaye Ndiyo Mlezi Mkubwa wa Kikwete, Kagame, Museveni, Kabila Kupitia Kwa Marehemu Baba Yake na Wengineo Wengi. Wao Wametuolea na Sisi Pia Tumeoa Kwao Je Leo Tukionyeshana Ubabe tutakuwa Tunamfaidisha Nani? Hebu Tubadilishe Mindset Zetu Jamani.
watu wengine bwana! ! Unafikiri kama vile wewe ndio una akili kuliko Analysts waliofanya upembuzi yakinifu nakuona ni muhimu kuwafundisha DRC. Hata wakati nchi inapeleka Jeshi kule mlibeza sana kuwa watapigwa na M23. Mi nina imani kwenye maamuzi ya isue sensitive kama hizo basi ujui vichwa vya wahusika vimefanya kazi. Hamjiulizi ni kwa nini serikali haikupeleka Jeshi Somalia! !!
 
TANZANIA nchi ndogo kijeshi?

Unajua tpdf imefanya nini bara la afrika?

Tanzania ni nchi pekee iliyoshinda total war subsaharan africa

Tuliweza kupambana na mkaburu,tuliitawala uganda,seychelles na commoro!

Na kwa case ya Israel, ilishinda vita na waarabu kutokana na airlifts za supplies kutoka marekani

Without america there is no israel

Kuna kanali mmoja wa jeshi pale ruvu alisema ikitokea vita tz na rwanda tpdf haitochukua masaa yasiyozidi 100 kufika kigali.Makamanda washapanga war plans kumhusu rwanda

Hivi mnapata manufaa gani kuandika habari za kichochezi zinazoweza kuyadhuru Mataifa yetu nyinyi mkiwa ndani?
Nimesoma majadiliano humu sijaona hata moja la kujenga.
Naona baadhi yetu tumegeuza JF kijiwe cha umbeya na porojo!
 
watu wengine bwana! ! Unafikiri kama vile wewe ndio una akili kuliko Analysts waliofanya upembuzi yakinifu nakuona ni muhimu kuwafundisha DRC. Hata wakati nchi inapeleka Jeshi kule mlibeza sana kuwa watapigwa na M23. Mi nina imani kwenye maamuzi ya isue sensitive kama hizo basi ujui vichwa vya wahusika vimefanya kazi. Hamjiulizi ni kwa nini serikali haikupeleka Jeshi Somalia! !!

Full TITO and GIGO! POPOMA.
 
Sasa si Mwambie Awashawishi Makanda Wenzake Waanze Kuichapa Rwanda!!!!!!!!!!!!!!!! TUSIJIDANGANYE KWA PROPAGANDA YA KIJINGA, KISHAMBA NA YA KITOTO. Hivi Wewe Unadhani Hao Rwanda na Wao hawana Majasusi Wao Tanzania? Kwa Taarifa Yako tu Hata huko TPDF, Serikalini Kwenyewe, ktk Taasisi Binafsi na Hata Kwa Wafanyabishara Rwanda Imepenyeza Watu Wake wa Kutosha na Kila Siku Taarifa Zinapelekwa Kigali. Unapojipanga Kwa Rwanda na Wao Pia Wanajipanga Vilivyo Kwa Tanzania na Tukithubutu tu TUTAUMBUKA. Bado Nasisitiza Tuache Diplomasia Itawale na Tusifike huko ktk Kutaka Kupigana Kwani bado Tunahangaika Mno Kujenga Uchumi wa Nchi Yetu Uliyoharibika Sana Wakati wa Vita Vya Nduli Amin 1978 - 1979. Sisi Sote ni Afrika Kwanini Tugombane? Na Tunagombania Nini? Tunamuenzi Vipi Hayati Baba wa Taifa ambaye Ndiyo Mlezi Mkubwa wa Kikwete, Kagame, Museveni, Kabila Kupitia Kwa Marehemu Baba Yake na Wengineo Wengi. Wao Wametuolea na Sisi Pia Tumeoa Kwao Je Leo Tukionyeshana Ubabe tutakuwa Tunamfaidisha Nani? Hebu Tubadilishe Mindset Zetu Jamani.

haya magombano chanzo chake ni Kagame kula mali za Congo kupitia M23. Hata Nyerere angempinga ktk hili.
 
Back
Top Bottom