Hapo kapinga Nini?Sikushangai mana nakujua we mpinga kila kitu
Kumbe kelele zote za kujenga na kufungua viwanda ilikuwa ni kuongeza na kusajili mafundi cherehani!
Wewe haupo kwenye hao wajinga?Tanzania ya WAJINGA! 😂😂😂😂
Kuhusu viwanda Magu alikurupuka.
Nenda kwa hoja... ya kukariri haya unakosea... akina Lijualikali mliwakariri kuwa ni wanachadema PYUA... juzi kalia huku akiomba kuhamia CCM hata kwa kufagia... CHANGE, IS THE ONLY THING THAT WILL ALWAYS REMAIN CONSTANTSikushangai mana nakujua we mpinga kila kitu
Kwani, akiwemo katika hao wajinga, inabadilisha alichokisema?Wewe haupo kwenye hao wajinga?
Wewe haupo kwenye hao wajinga?