Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
Kama una details zozote juu ya mali zao au biashara zao unaweza kuongezea.
Katika baadhi ya nchi, utajiri wa mtu si wa kificho na huwa kuna listing zinazoonyesha matajiri mbalimbali na kiasi cha mali walizonazo. Yeyote ambaye ana facts za nani anaweza kuwa tajiri wa kwanza Tanzania anaweza akamwaga facts hizo hapa na chanzo cha utajiri wake.
Khoryere, nadhani sasa tumefikia pazuri, kama kunauwezekano wa kupata listi ya walipa kodi wakubwa TRA then kodi wanayolipa bila ya shaka itakuwa proportional na mapato yao.
Lakini hata kama kuna makampuni yanayomilikiwa na watu ambao wana hisa kubwa bado kiasi cha kodi ambacho kampuni hiyo inalipa kinaweza kikatupatia picha halisi.
Je kuna reference yoyote ya large tax payers inaweza kupatikana?
Tunapochukua fedha tunasambaza kwenye Saccos na kwa machinga hii nchi tunaiharibu fedha za JK hazitarudi, yeye anasema zitarudi namshangaa Tanzania yenyewe ina madeni na serikali haina tabia ya kurudisha madeni. Je, kwa mtu mmoja mmoja itarudi?
I dont agree with this statment, evidence shows at all levels kwamba the low income population have a lower default rate then Higher income individualds and tend to respect sheria zaidi because they know its all they can do kwenye Tanzania yetu ya "wananchi" na "wenyenchi".
But still that does not mean that they will pay back. Money is money, regardless of the sheria.
..Uchambuzi wa: https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=265428#post265428 (Unaweza kuongeza majina unayoyajua katika thread hii) unaonyesha kuwa listi ya Matajiri Tanzania ni hii iliyopo hapa chini.
Ingawa hakuna takwimu juu ya utajiri walionao na kiasi gani cha pesa walichonacho, swali la msingi ni: Je tunajifunza nini kutokana na jitihada zao za biashara au kupata utajiri? Je, inawezekana Watanzania wengine wakafanya jitihada na kufanikiwa kama wao?
The List
- Said Salim Bakhressa: AZAM - Grain milling, corporate finance, passenger sea transportation, plastic packaging, marketing, polypropylene bags, other branches of engineering field, food industry, drinking water
- Aziz Abood: Abood buses,factories,truck company,tv&radio,properties)
- Nasoro: Doll trailers, superstar buses, royal buses, major shareholder-mtibwa sugar,kagera sugar, city water, truck company, properties
- Mohamed Dewji: Mohamed enterprises, factories, properties
- Rostam Aziz: Caspian; Vodacom
- Reginald Mengi: The IPP Group, Financial Consulting firm (IPP Consulting), Coca-Cola (Coca-Cola Kwanza, Bonite Bottlers and Kilimanjaro Spring Water), (IPP Bodycare Ltd (IPP Media). These include The Guardian Ltd; Nipashe, Alasiri, Kasheshe, Independent Television Ltd. (ITV), East Africa Television (EATV, formerly Channel 5)), Radio ONE, Sky-FM (in a joint venture with BBC) and East Africa Radio.
- Michael Ngaleko: Presicion Air Ltd
- Fidahussein: Africarriers,properties including heidary plaza, raha towers, zahra towers etc
- Yusuph Manji: Quality Group; Properties, Trucks
- Andrew Chenge: Worth US$ 1million (over 1 billion Tanzania shillings) in an overseas offshore account
- Nazir Mustafa Karamagi: Tanzania International Container Terminal
- Edward Ngoyayi Lowassa
- Mohammed Aboud
- Tarimba Abbas
- Philemon Ndesamburo
- Alex kajumulo
- Freeman Mbowe
Mkuu ninakuheshimu sana ila you can't make a list of rich people out of speculations.May I know under what criteria you listed the above as richest Tanzanians?
Thread yako inauliza jee hii ndiyo list ya matajiri wa Tanzania then hapo hapo umeshajibu na kusema kuwa listi ya Matajiri Tanzania ni hii iliyopo hapa chini.
Muulizeni Mzee Ndesa ajira kwenye kampuni zake zimekaaje zaidi ya ndugu, jamaa na kabila yake? Nenda pale Keys Hotel hapa Dar, utadhani uko KIBORLONI! Halafu anakataa Wamachinga wasipewe hela. Matajiri WAZAWA hawafai, bado wana safari ndefu ya kujifunza.