Luca Paguro
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 476
- 1,060
Hapa naongelea Tanzania nzima, sio tu Tanganyika
Yani naongelea hii nchi yetu yote (Tanganyika+Zanzibar) ambayo imebakiza miezi minne kusherehekea miaka 62 ya Muungano
Katika vitu vifuatavyo, ndani ya hii miaka yote 62 tuliyoungana nataka niulize Tanzania tupo vizuri kwenye nini kati ya vitu vifuatavyo
1. Afya
2. Elimu
3. Maji
4. Barabara
5. Uchimbaji madini
6. Viwanda
7. Biashara na uchumi
8. Kipato cha watu
9. Ujenzi wa miji
10. Umeme
11. Kilimo na Ufugaji
12. Matumizi ya nishati safi
13. Usafi wa mazingira yetu tunayoishi
14. Sayansi na Teknolojia
15. Uwekezaji
Kwa sababu hivi ndio mhimili wa nchi, naomba kuelewa kwa miaka yote hii 60+ ni kipi hata kimoja hapo tupo vizuri sisi kama taifa?
Yani naongelea hii nchi yetu yote (Tanganyika+Zanzibar) ambayo imebakiza miezi minne kusherehekea miaka 62 ya Muungano
Katika vitu vifuatavyo, ndani ya hii miaka yote 62 tuliyoungana nataka niulize Tanzania tupo vizuri kwenye nini kati ya vitu vifuatavyo
1. Afya
2. Elimu
3. Maji
4. Barabara
5. Uchimbaji madini
6. Viwanda
7. Biashara na uchumi
8. Kipato cha watu
9. Ujenzi wa miji
10. Umeme
11. Kilimo na Ufugaji
12. Matumizi ya nishati safi
13. Usafi wa mazingira yetu tunayoishi
14. Sayansi na Teknolojia
15. Uwekezaji
Kwa sababu hivi ndio mhimili wa nchi, naomba kuelewa kwa miaka yote hii 60+ ni kipi hata kimoja hapo tupo vizuri sisi kama taifa?