kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,313
- 12,613
Wakati tunajipanga kuelekea uchumi Wa viwanda je hali yetu ikoje kwenye uwekezaji Wa kupata malighali ya kutosha viwanda tutakavyojenga?
Nijuavyo mimi malighafi iliyoko sasa ni ile ya mtindo wa kuokoteza kutoka kwa raia binafsi wasiokuwa na ujuzi wala mitaji ya kuzalishia.
Kipi kianze kwanza kati ya uwekezaji katika uzalishaji Wa malighafi na uwekezaji kwenye viwanda?
Nijuavyo mimi malighafi iliyoko sasa ni ile ya mtindo wa kuokoteza kutoka kwa raia binafsi wasiokuwa na ujuzi wala mitaji ya kuzalishia.
Kipi kianze kwanza kati ya uwekezaji katika uzalishaji Wa malighafi na uwekezaji kwenye viwanda?