Tanzania tuna tatizo la msingi sana la ujinga na upumbavu

Unakuta Magufuli anaamka asubuhi anatoa tamko watu hawa waajiriwe hawa wafukuzwe hawa wasimamishwe kazi sio tena matakwa ya kisheria na kikatiba watu kuajiriwa. what a fucking nation.
 
WAJINGA NYIE.....Ule Mradi wa Gesi niliaminishwa kidogo kwamba kwa mradi ule Tanzania inaweza kwenda mbele....Sijuhi umeishia wapi na sijuhi waliambiwa ukisema gesi unafukuzwa kazi maana ata wabunge wa ccm kule kusini hawasemi tene Wajinga nyie
 
Nchi watu wanaishi hawajui kesho kitatokea nini, rais atasema nini?

je akiaka akasema walioa wote waachane na wake zao mara moja itakuwaje kuna mtu atapinga na kwenda mahakamani?

Ndio maana hoja yangu inasimama kama ilivyo sisi ni taifa la wajinga na wapumbavu.

Uwezo wa kuhoji mambo na kupitia bunge kutengeneza sera hatuna
 
Mnhhhhhhhh

kuna vyuo kibao vinafunsisha kwa kingereza kwenye nchi hizo ulizozitaja...

Kwa nini tuwa limit wasomi wetu..

Wakitaka kufanya kazi nje ya nchi...???????

Halafu kuja na data,specific kuonyesha tatizo la lugha ya Swahili kwenye nchi yetu limechangia/kutochangia maendeleo...
Cha kwanza ni kweli vipo vyuo katika nchi hizo vya kiingereza lakini tambua kwamba vipo vyuo vingi zaidi vinavyofundisha kwa lugha ya asili za nchi husika.

Hao wasomi unaowatetea wanaofanya kazi nje ndio wengi wao ni hasara kabisa wakirudi nchini kwa hiyo usiwahesabu kama wasomi.

Haihitaji data wala utafiti kuelezea matatizo ya taifa letu vitu vyote vinaonekana kwa macho, unaweza kuta mtu ana PHD anafanya maamuzi ambayo hata mtoto wa darasa la 3B hawezi kuyafanya. Mwishoni mnamlaunu yeye kisha mnateua mwingine huyo ndio anafanya madudu zaidi ya aliyetangulia. Mimi sipendi kulaumu mtu yoyote juu ya kukosekana kwa maendeleo bali lawama zangu nazielekeza kwenye lugha ya kufundishia. Kama kingereza kingelikuwa ni cha maana sana basi wachina, wakorea na wajapan wangekuwa masikini kama sisi tu. Ila wao walifunguka mapema walichofanya walichukua hii elimu ya mabeberu kisha wakaitafsiri kwa lugha yao halafu wakaelewa (sio kukariri) mambo mbalimbali na kuendeleza mataifa yao.
Ila sisi waswahili hata afrika nzima wote tuliamua kufuata lugha za wakoloni wetu na hatimaye afrika limekuwa bara linaloendelea kwa kasi ya konokono kwa kuwa wasomi wa kiafrika ni kweli wanafaulu mitihani ila sio kwa kuelewa bali ni kwa kukariri na athari ya kukariri inajionesha waziwazi kwa maamuzi ya hovyo ambayo waafrika wanafanya.
Wazungu wao ni wajanja sana wanajua ukisoma kwa lugha yako utaelewa sana na utakuwa mbunifu ndio maana wametuaminisha kwamba tusiposoma kwa lugha zao hatutaendelea, huo mtego ndio mataifa ya Asia yaliushtukia siku nyiiiiiiiiingi sana na leo wasomi wamejaa kila kona ila kila kitu tunaagiza. Mabarabara yanajengwa na wachina wakati kuna "wasomi" wenye PHD za uhandisi wamejaa.


Aisee nimeandika balaa.😂😂😂😁
 
Nchi nyingi tu hapa duniani hayo matatizo yapo.

Ni matatizo ya kibinadamu.

Hivyo, watu wasidhani hayo matatizo ni mahsusi tu kwa Tanzania na Watanzania wake.
Ni kweli ss ni wajinga tunapelekeshwa na wanasiasa Kama matreka.wabunge wanahaka chama hiki kwenda kule na tunawachagua Tena hiyo ni akili au matope.tunachezewa Kama mpira wa Kona na wanasiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna tatizo la kusona na kutoelimika, Tuna tatizo la upumbavu ambalo unakuta mtu ana mpaka degree lakini bado ni mpumbavu. Tuna Tatizo la kutokuwa na elimu ya uraia, Tuna tatizo la kuamini ccm chadema au ACT watatuletea maendele. hakuna mwanasiasa ambaye anaweza kuwaletea maendeleo sababu yupo chama fulani.

Miaka 58 ya uhuru bado nchi haina barabara nzuri, maji, umeme, madawati, madarasa ya kutosha sisi tunashangilia siasa na wanasiasa wanakimbia vyama. watanzania wengi bado ni wapumbavu na wajinga na inawezekana hata viongozi wengi wanaotawala ni wajinga na wapumbavu ndio maana hatuna chochote cha kujivunia zaidi ujinga maradhi(ukimwi) na umaskini.
100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna tatizo la kusona na kutoelimika, Tuna tatizo la upumbavu ambalo unakuta mtu ana mpaka degree lakini bado ni mpumbavu. Tuna Tatizo la kutokuwa na elimu ya uraia, Tuna tatizo la kuamini ccm chadema au ACT watatuletea maendele. hakuna mwanasiasa ambaye anaweza kuwaletea maendeleo sababu yupo chama fulani.

Miaka 58 ya uhuru bado nchi haina barabara nzuri, maji, umeme, madawati, madarasa ya kutosha sisi tunashangilia siasa na wanasiasa wanakimbia vyama. watanzania wengi bado ni wapumbavu na wajinga na inawezekana hata viongozi wengi wanaotawala ni wajinga na wapumbavu ndio maana hatuna chochote cha kujivunia zaidi ujinga maradhi(ukimwi) na umaskini.
ndio mtaji wa watawala wetu ila hata wao wanatawaliwa nawale wenye uwezo mkubwa zaidi kama wale tunaosema ni mabeberu
 
Umeongea jambo la muhimu na la ukweli sana. Mungu akubariki. Watanzania tunaona siasa ni kama oxygen ya nchi kumbe ndo tunapotea.
Inabidi tuache kuawaamini wanasiasa wote wa chama tawala na upinzani kwa kuwa wote wanapigania matumbo yao.






Tatizo ni elimu yetu ya mkoloni na ya kukariri madude inatufanya tuwe na akilindogosana inabidi angalau tusome kwa kiswahili kuanzia vidudu mpaka phd.
Naunga mkono hoja.
Tatizo ni mfumo wa elim yetu! Nikweli kwamba kuna degree, masters na maPHD mengi hayana mpango
Na hayana inpact yyte kwa jami nawengi ukifuatiria wali copy na kupest maandiko yao mpaka tafiti.

Nahii yte ililenga waje wapate kazi, na kweli wakapata kazi baadae wa pasua kichwa badara ya mguu na mguu badara ya kichwa.

USHAURI....
Naunga mkono hoja ya kiswahili iwe rugha ya kufundishia kuanzia chekechea hadi vyuo.... na kiingereza liwe somo kama yalivyo masomo mengine hii itafanya watu wengi kuelimika na elim yao itawasaidia kujiajiri ! Na ndo tutaona impact ya elim ktk jamii lakini mfumo huu wa kiingereza wengi wanasoma ili waajiriwe maana wanamaliza vyuo kwa kupata vyeti ili waajiriwe na cyo maarifa ya kujiajiri.


Ushahidi wa hili fanya utafiti hapa tanzania utabaini kuwa wenye mari nyingi halali niwale ambao hawakwenda shule. Japo mfumo tu ndo uliwakwamisha.
 
Nchi nyingi tu hapa duniani hayo matatizo yapo.

Ni matatizo ya kibinadamu.

Hivyo, watu wasidhani hayo matatizo ni mahsusi tu kwa Tanzania na Watanzania wake.
Uwongo sisi tumezidi mpaka tunakuwa na rais anayeogopa kusafiri nje ya nchi sababu ya lugha kugoma
 
Tuna tatizo la kusona na kutoelimika, Tuna tatizo la upumbavu ambalo unakuta mtu ana mpaka degree lakini bado ni mpumbavu. Tuna Tatizo la kutokuwa na elimu ya uraia, Tuna tatizo la kuamini ccm chadema au ACT watatuletea maendele. hakuna mwanasiasa ambaye anaweza kuwaletea maendeleo sababu yupo chama fulani.

Miaka 58 ya uhuru bado nchi haina barabara nzuri, maji, umeme, madawati, madarasa ya kutosha sisi tunashangilia siasa na wanasiasa wanakimbia vyama. watanzania wengi bado ni wapumbavu na wajinga na inawezekana hata viongozi wengi wanaotawala ni wajinga na wapumbavu ndio maana hatuna chochote cha kujivunia zaidi ujinga maradhi(ukimwi) na umaskini.
Umeongea kweli kabisa brother na tatizo kubwa tunapigana na ujinga bila kuwa na uelekeo kumbe tunatoka kwenye ujinga tunaelekea kwenye upumbavu
 
Tatizo kubwa la Watanzania....
Hatujui tunakotaka kuelekea...
Hatuna dira wala muelekeo!
Hivyo tutaangaika sana kupata njia sahihi ya kutoa hapa tulipo!
 
Nchi nyingi tu hapa duniani hayo matatizo yapo.

Ni matatizo ya kibinadamu.

Hivyo, watu wasidhani hayo matatizo ni mahsusi tu kwa Tanzania na Watanzania wake.
Lakini majority ya wapumbavu wapo huku we are still evolving!!
 
Kama mtumishi wa Mungu kama pengo anaweza simama akasema makonda atakuwa kiongoz mkubwa pamoja na utekaji anaofanya na marekani wanathibitisha ila sisi tunamshangilia duh.
 
Back
Top Bottom