Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Kwangu mimi binafsi kwa jinsi nchi yangu inavyokwenda na kuendeshwa vibaya,Jk na mwona ni Rais asiyejua majukumu yake na nini anakifanya hapo magogoni na hii yote ni makusudi kubwa, Rais ni baba mwenye nyumba ktk nchi, Hivyo anapaswa kuilinda nyumba yake dhidi ya uvamizi wa ndani au nje ya nyumba yake lakini Jk kama baba wa nchi hii kiukweli majukumu yanamshinda kwa kiwango kikubwa.Ameshindwa kutoa maamuzi ya maswala magumu yanayoikabili nchi kama Richmond,EPA,MEREMETA,Wizi wa wanyama wetu,skendo za kina Luhanjo na Jailo,Posho zisizo stahili, kupanda kwa bei za vitu, wizi wa madini yetu na uzembe mwingine mwingi anaoufumbia macho.Je tutafika?