MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
kama Marais wastaafu hawatawajibilka kwa utendaji wao au kashfa zilizochomoza wakati wa uongozi wao na kusababisha athari kwa awamu inayofuata kamwe hatutakaa kuendelea na ndio maana kila baya hivi sasa linaonekana ni la kikwete. Kila Rais abebe lake ingawa Rais aliyopo madarakani anawajibika kuziba kasoro za watangulizi wake japo zipo kasoro ambazo haziwezi kuzibwa kwa awamu moja tu.