kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 689
Mara ya mwisho kuona stats za miji mikubwa michafu katika Afrika Dar ilikuwa nafasi ya tatu, sijui kama kuna update. Na si uongo jiji la Dar ni chafu jamani!!!! Dah!!!!
update ipo,sasa dar ni ya pili. Kwa jinsi inavyojitahidi itakua ya kwanza kufikia octomber. Miji mingine wanajitahidi kua wasafi,dar inajitahidi kwa uchafu.