kwa hili nakuunga mkonoSometimes serikali tunaisingizia yaani wewe mwenyewe uifate ebola uganda kisha urudi Tz kwa njia za panya na ebola yako alafu unaanza kuilamu serikali?
ugonjwa wa ebola ambao umeshauwa watu kadhaa nchini uganda umeishaingia tanzania.
Source: Itv breaking news
Uuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Watani zangu wahaya wamekwisha!
TUMBIRI (Upanga, Dar es Salaam - Tanzania),
tumbiri@jamiiforums.com,
tumbiri@jamiiforums.com
madokta wapo kwenye mgomo baridi... Walimu wamegoma.... Kyela na mbinga Malawi wamevamia....kagera ebora imeingia,maisha magumu, mfumuko wa bei ndio usiseme....nikimbilie wapi mimi maskini/fukara wa tanzania.
Lazima chadema watakuwa wanahusika na kuleta ebola