Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
Mungu ailinde Tanzania jamani huo ugonjwa ni hatari.
...wakati mwingine najiuliza sijui kwanini Mungu aliumba hao virus na wakawa hawatibiki,sijui kubalance idadi ya watu,au tutambue limits za mwanadamu,atasijui kwanini,mwisho unasema mwacheni Mungu aitwe Mungu maana we can never think like him....!