Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Tanzania tumeikosea nini Marekani?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,553
Reaction score
57,843
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
 
Unataka kila siku uwe nchi masikini?

Yaani unalalamika kukosa msaada wa kimaskini!! Kuna watanzania ni nyumbu watembeao na miguu miwili.
Kabisa...hii ni tabia ya kipumbavu sana..
Tabia ya kupenda dezo ni mbaya sana...na ukizoea dezo lazima ipo siku itakutokea puani wahenga walisema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africa bila misaada inawezekana
Ukiwa muombaji tu mwisho unachukiwa
Na hii misaada wanapewa walioathirika na ugonjwa sisi kanapita tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Waswahili walishasema ukitaka kumsaidia mtu mpe ndoano akavue samaki na sio uumpe samaki ambae atakula leo kesho atakulilia Tena!
Kunyimwa msaada si tatizo ila tatizo ni ni pale tutakaposhindwa kukabili tatizo tulilonalo kwa maana ndoano tunazo.
 
Huja athirika kama hao wewe kwako unaficha wakupe za nini. Unavitendo vya kuchochea masaada gani
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo uku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAIDS nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo uku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAIDS nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Hii ni hatua ya kubwa la mabeberu, kuonyesha kuwa atatuadhibu kwa kutunyima vimisaada mbuzi vyake ili tumpigie magoti!.
We don't want ubeberu, uwe ni wa Americans, UK, UE or whoever with their blood stinking money!.
P
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo uku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAIDS nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?

Dollar 37 million igawanywe kwa nchi zote hilo kweli?
 
Back
Top Bottom