DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,398
- 2,593
- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.
- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.
1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?
2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?
3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?
4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?
5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?
6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.
1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?
2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?
3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?
4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?
5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?
6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.