SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,252
- 6,897
Tungo'ke Tupate Katiba mpya. Kishinikizo na kizingiti ni Jumuiya hii tajwa.
I second.
ALUTA CONTINUA
I second.
ALUTA CONTINUA
Swali lako lina ungana na swali nambari 2&3.Kwani tuna tatizo gani na Jumuiya ya Madola au tunapata hasara gani kuwemo kwenye Jumuiya ya Madola?
Kuna namna mbalimbali za uandikaji wa kichwa cha habari, kwa hiyo usitilie shaka uandishi wangu wa kichwa cha thread bali jikite zaidi katika maswali tajwa hapo .Hujui kwanini tupo Jumuiya ya Madola, hujui faida tunazozipata Jumuiya ya Madola alafu Unashauri tujitoe? Jitahidi kukifaham kitu kabda hujakihukumia.
Ulitakiwa ufatilie kwanini tupo huko, tunapata faida au hasara na tunapataje ndo Uje u comment. By the way Title na thread yako haviendani
Sawa.This is a leading notion,unachokitaka hukipati maana hakuna la maana uliloliongea.
Baada ya kukaa kwa miaka mingi bila kujiunga na UN ilifanya hivyo mwaka 2002 ili iweze kushiriki katika baadhi ya masuala ya maendeleo. Hata hivyo bado haifungamani na upande wo wote na haina jeshi isipokuwa ina polisi ambao pia wanatumika kama walinzi wa Papa!Switzerland hawako hata jumuiya moja!!? Duuuu
Sawa, Asante kwa maoni yako. Ningependa utupatie majawabu kwa maswali tajwa hapo juu ili tuelimike.Rubbish , wewe na mazezeta wenzako waliolike hii takataka ulioandika hapa
Kwani tutakapo jitoa hatutakua na mbinu mbadala za kukabiliana na hayo?Tunapokea misaada na mikopo mingi kutoka kwa Uingereza na washirika wake.Kama siyo member huwezi pewa.Mwingereza anaongoza kwa kuwekeza hapa Tanzania na kuwepo Common wealth kunachangia,ukirogwa ukajitoa ni maumivu.
Asante kwa elimu unayo tupatia.Baada ya kukaa kwa miaka mingi bila kujiunga na UN ilifanya hovyo mwaka 2002 ili iweze kushiriki katika baadhi ya masuala ya maendeleo. Hata hivyo bado haifungamani na upande wo wote na haina jeshi isipokuwa ina polisi ambao pia wanatumika kama walinzi wa Papa!
DuuuBaada ya kukaa kwa miaka mingi bila kujiunga na UN ilifanya hivyo mwaka 2002 ili iweze kushiriki katika baadhi ya masuala ya maendeleo. Hata hivyo bado haifungamani na upande wo wote na haina jeshi isipokuwa ina polisi ambao pia wanatumika kama walinzi wa Papa!
Nimependa unavyo reply comment hasa zinazokushambulia kutokana na thread yako . Unaonekana umekomaa sana . By the way kabda hatujajitoa Nato tujitoe kwenye TOZO kwanzaKuna namna mbalimbali za uandikaji wa kichwa cha habari, kwa hiyo usitilie shaka uandishi wangu wa kichwa cha thread bali jikite zaidi katika maswali tajwa hapo .
Sawa mkuu.Nimependa unavyo reply comment hasa zinazokushambulia kutokana na thread yako . Unaonekana umekomaa sana . By the way kabda hatujajitoa Nato tujitoe kwenye TOZO kwanza