BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,355
- 8,043
Ally Mayay ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini, ataiwakilisha #Tanzania katika Bodi ya CABOS akiwa Mjumbe Mwakilishi wa Bara la #Afrika.
#CABOS ni Chombo cha kumshauri Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola na Serikali Wanachama kuhakikisha kunakuwa na ushirikishwaji thabiti wa Serikali na Uwakilishi katika maendeleo ya Sera na Utekezaji wake.