Hii Tz kweli?
Hii Tz kweli?
kingereza kinamsumbua sana mkuu wako ndiyomaana nimekushauri utumie kiswahili
Hii ndio elimu bure yenye ukata wa kaisali
MAISHA BORA KWA KILA MDANGANYIKA HAPA KAZI TU.
Sasa ndugu yangu, Mtoto wa chifu na huyu wapi na wapi .Hapo bingwa katoka shule na analala nazo asubuhi anatinga nazo tena shule .Watoto kama huyu ni wakutandikwa bakora za kutosha wazazi wamenunua sare za shule wao wanaenda kuchezea kwenye mavumbi sisi wenyewe wazazi tumesoma shule hizo hizo lakini tulikuwa haturudi nyumbani tuko kama vinyago!
-Nyerere-
Kwa hivyo unataka kutuaminisha kuwa jukumu la kumfanya mwanao kuwa msafi na mtanashati ni la serikali?Tatizo hakuna mwanasiasa anayejua kipaumbele cha wananchi. Hivyo wanaguess tu! Mara labda wanataka fly over, au wanataka ndege, mara wanataka viwanda, oh no wanataka reli ya kati wakati huo huo wanadhan tunataka madawati but ukweli ni kwamba hawajui kipaumbele cha mwananchi wa kawaida
Uzembe WA wazazi wake kutokujali mahitaji ya watoto.Sasa ndugu yangu, Mtoto wa chifu na huyu wapi na wapi .Hapo bingwa katoka shule na analala nazo asubuhi anatinga nazo tena shule .
Kama ukishindwa kuelekea muktadha wa kitu unauliza utajibiwa tu vizuri! Hapo sio suala la usafi bali umaskini uliotopea, umaskini sio tabia uchafu ni tabiaKwa hivyo wajibu wa mzazi ni kuzaa tu....
Hata usafi wa mwanae serikali ya CCM imfanyie?
Watanzania ama kweli katika wanne............ Kichaa
Huyo mtoto ana uchafu uliokithiri pia mbali na huo umaskini.Kama ukishindwa kuelekea muktadha wa kitu unauliza utajibiwa tu vizuri! Hapo sio suala la usafi bali umaskini uliotopea, umaskini sio tabia uchafu ni tabia
Hii ni habari picha ina mitazamo ndani yake heading iko huru bila kuilenga hiyo ccm yako kwahiyo automatically umejiegemeza kwenye mtazamo wa kile unachodhani ndio kinachoendeleaHuyo mtoto ana uchafu uliokithiri pia mbali na huo umaskini.
So tuisubiri serikali ukawafanyie usafi bila shaka.
Huu ni mtazamo wako kwenye hii picha kwahiyo si vema kutaka kutuaminisha kuwa wewe ndio unajua zaidi au uko sahihi kuliko wengine..haha!!kama hio picha Moja ndo itatumika kudefine tanzania tunayoitaka bhasi mimi ntakua nmeruka madarasa,ivii nyie utoto wenu ulkuaje???we were like that hapo dogo kacheza kachafuka,sasa mnataka avalishwe uniform mpya kila siku au????? Ebu acheni kufananisha tanzania na mambo Ya kijinga