Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
ILANI: Hizi sio kanuni za Sheria ya Makosa ya Mtandao.
Kanuni hizi zinakuja mwezi mmoja baada ya kuambiwa kuna sheria nyingine inakuja pia > Tanzania: Authorities drafting another law targeting the Cyberspace
Zimewekwa hapa: http://habari.go.tz/uploads/documents/sw/1505716716-Online Content Regulations - 20 January, 2017.pdf
- Kanuni hizi naamini bado ni draft (kama sijakosea)
- Zitagusa karibu kila kitu kinachoandikwa mitandaoni
- Hizi si kanuni za Sheria ya Makosa ya Mtandaoni
- Vyombo vya Habari vyenye kuwa mtandaoni navyo havitapona!
- Forums kama JF nazo zimeguswa!
- Social Media Platforms (hadi Makundi ya WhatsApp/Facebook/Instagram/Twitter) nako hakuko salama
- Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imepewa nguvu za kutosha kabisa!
- Sect 5(1) inamtaka mwenye kumiliki mtandao kuhakikisha anakusanya taarifa za kutosha za wateja wake! (Inalengwa JF?).
- Sect 5(1) pia inamtaka mwenye kumiliki mtandao akiona kitu ambacho wao TCRA wamekwambia hakifai uwe umekiondoa ndani ya saa 12!
- Watanzania walio nje ya Tanzania (diaspora) nao wameguswa!
- Maneno FORUM yametumika mara nyingi kitu kinacholeta picha juu ya nani mlengwa haswa!
- Kanuni hizi zinakuja wakati JF ikiwa inakabiliwa na kesi 3 mahakama ya Kisutu na mojawapo ya kesi wanaoishtaki JF ni TCRA (kuwa na website yenye .com).
- Internet Cafe zitalazimika kuweka kamera za kunasa kila kinachoendelea ndani
- Serikali yetu sasa inataka watu kuandika habari za kufikirika!
Na mwisho, Serikali yetu tukufu kupitia kwa Waziri ambaye ni msomi wa sheria na "Mmoja wa Wapambanaji walio ndani ya CCM" imeweka adhabu kali kwa atakayekiuka taratibu hizi!!!
Je, TUTAFIKA?
UPDATE:
Serikali yakaribisha maoni ya wadau
Kanuni hizi zinakuja mwezi mmoja baada ya kuambiwa kuna sheria nyingine inakuja pia > Tanzania: Authorities drafting another law targeting the Cyberspace
Zimewekwa hapa: http://habari.go.tz/uploads/documents/sw/1505716716-Online Content Regulations - 20 January, 2017.pdf
- Kanuni hizi naamini bado ni draft (kama sijakosea)
- Zitagusa karibu kila kitu kinachoandikwa mitandaoni
- Hizi si kanuni za Sheria ya Makosa ya Mtandaoni
- Vyombo vya Habari vyenye kuwa mtandaoni navyo havitapona!
- Forums kama JF nazo zimeguswa!
- Social Media Platforms (hadi Makundi ya WhatsApp/Facebook/Instagram/Twitter) nako hakuko salama
- Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imepewa nguvu za kutosha kabisa!
- Sect 5(1) inamtaka mwenye kumiliki mtandao kuhakikisha anakusanya taarifa za kutosha za wateja wake! (Inalengwa JF?).
- Sect 5(1) pia inamtaka mwenye kumiliki mtandao akiona kitu ambacho wao TCRA wamekwambia hakifai uwe umekiondoa ndani ya saa 12!
- Watanzania walio nje ya Tanzania (diaspora) nao wameguswa!
- Maneno FORUM yametumika mara nyingi kitu kinacholeta picha juu ya nani mlengwa haswa!
- Kanuni hizi zinakuja wakati JF ikiwa inakabiliwa na kesi 3 mahakama ya Kisutu na mojawapo ya kesi wanaoishtaki JF ni TCRA (kuwa na website yenye .com).
- Internet Cafe zitalazimika kuweka kamera za kunasa kila kinachoendelea ndani
- Serikali yetu sasa inataka watu kuandika habari za kufikirika!
Na mwisho, Serikali yetu tukufu kupitia kwa Waziri ambaye ni msomi wa sheria na "Mmoja wa Wapambanaji walio ndani ya CCM" imeweka adhabu kali kwa atakayekiuka taratibu hizi!!!
Je, TUTAFIKA?
UPDATE:
Serikali yakaribisha maoni ya wadau