Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,116
Ofa hizo zimetoka katika vilabu vya Simba SC ya Tanzania na Al Hilal SC ya Sudan.
Uongozi unazifanyia tathmini ofa hizo ili kuona ipi inafaa.
Aidha, Azam FC inavikaribisha vilabu vingine kuleta ofa zao kwani milango bado iko wazi.
Imetolewa na Menejimenti,
Azam Football Club,
Machi 14, 2024.
Pia soma: Klabu ya Azam FC imethibitisha kupokea barua kutoka kwa mshambuliaji Prince Dube akiomba kuvunja mkataba