imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,436
Jikite kwenye hoja.Hujui hata kuandika jina la Rais huyo
Jikite kwenye hoja.Hujui hata kuandika jina la Rais huyo
Besides attempts on Fidel Castro, the CIA has been accused of involvements in the assassination of such foreign leaders as Rafael Trujillo, Patrice Lumumba.
Point yangu iko palepale kama wao ni wauwaji kwanini watuingilie kwenye BUYUNGU yetu.Dwight alikuwa na personal interst in Congo
NIonyeshe kaburi ili tuendelee na mjadala.Ben Saanane
Point yangu iko palepale kama wao ni wauwaji kwanini watuingilie kwenye BUYUNGU yetu.
Hii ndiyo justificstion ya serikali ya CCM kubaka demokrasia???Tanzania has never comment on previous US election despite all rumours that Russia hacking and doctoring the election to makeTrump the POTUS.
Why should the US Embassy talk about Tanzania MPs by-election?
This is stupidity of all time.!!!
"In December 2013, the Pew Research Center reported that their newest poll, "American's Place in the World 2013," had revealed that 52 percent of respondents in the national poll said that the United States "should mind its own business internationally and let other countries get along the best they can on their own."[39] This was the most people to answer that question this way in the history of the question, one which pollsters began asking in 1964.[40] Only about a third of respondents felt this way a decade ago.[40]"
Wewe uliisema Lumumba kauwawa na makaburu nimethibitisha kuwa wewe ni Muongo.Point yako ni dhaifu
Nakushangaa hivi wewe hizo nguo ulizovaa umepewa bure au umezinunua.kuwatengenezea Dreamliner munashangili
Fedha za kusimangwa?!Mmarekani mingine inakwenda kusaidia kuimarisha DEMOKRASIA hapa Tanzania.
Kuna bomu lilipigwa Kanisani Arusha sikusikia ubalozi wa Marekani ukitoa tamko
Una undugu na mwarabu wapi na wapi au ndio kujikomba kwenyewe ?!Marekani ndio taifa la kwanza kwa kuua ndugu zetu waarabu.
Kwa hii comment nimeweza kuingia kwenye fikra zako nimegundua ni muflisi.misaada na kuwatengenezea Dreamliner
CIA sio usalama wa taifa ni Majasusi hatari kabisa.
Wapemba na watu pwani tumezaana sana.Una undugu na mwarabu wapi na wapi au ndio kujikomba kwenyewe ?!
Na wewe una matatizoSiku zote mwenye mbwa ndio anaongea.
Usisahau USA ndio wanatulisha, kutupatia hela za misaada na mikopo. Ufadhili wa madawa, na mambo kama hayo.
Tanzania haijawahi kuisaidia USA msaada wowote hata wa unga wa muhogo debe moja.
Acheni ujinga nyie na kingereza cha ugoko
Marekani wanapigana vita toka vita ya 2 ya Dunia
Wanapindua serikali zinazowazingua
Wanaweka vikwazo vya kiuchumi yeyote wamtakaye
Nyie endeleeni tu
Marekani sio CHADEMA
Msituingize kwenye vita na taifa ambalo huwa linafanya litakavyo kwa ujinga na uroho wa madaraka.