The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,571
- 46,955
Hela wanazotupatia ni sehemu ya rasilimali yetu waliyotuibia kupitia mfumo mbovu wa biashara duniani: mazao yetu , watu wetu kupelekwa kwao watumwa k.m. negros, siasa kandamizi n.k. Hata hivyo, misaada wanayoleta wanafaidi zaidi wao kupitia ajira kwa watu wao na riba ya mikono hiyo. Hivyo hakuna 7bu ya kuwa wanyonge kiasi cha kuruhusu ushenzi wao huo wa kuinglia mambo yetu bila kufuata taratibu zilizopo. Wake up!
Hayo yote unayoyasema yanawezakuwa na ukweli. Lakini bado ujinga wetu wa kuwategemea unaendelea.