Tanzania said nothing about Trump election!

Tanzania said nothing about Trump election!

Kwa hii comment nimeweza kuingia kwenye fikra zako nimegundua ni muflisi.
Ungeingia kwenye fikra zangu ungeli support hoja zangu maana ni nguvu za hoja siyo hoja za nguvu. Wewe ndo unaonekana ni muflisi, kihiyo na bashite wala hujui nini unatetea au kusimamia. Nyie ni wale makasuku wa CCM mmekaririshwa kuimba na kusifu kila kitu kinachofanywa na maficcm...Pole sana kwa kuleweshwa maji ya bendera ya kijani!!
 
Ukiona jamii imekaa kimya haina tena tatizo la kuzungumza ujue hiyo jamii imeshaondoka duniani iko peponi.
Hata Wakina mama wanajua ukiona mtoto amezaliwa akawa kimya bila kulia ujue ameshaondoka duniani anafurahia raha za ahera.

Wapinzani sana haki sana ya kulilia demokrasia kwa maana wapinzani ni watanzania kama walivyo wale wa CCM.
Wanapenda kutendewa haki kama CCM wanavyopenda kutendewa.

Hivi itakuaje akitokea siku Mkurugenzi anabadilisha matokeo ya Mbunge wa Jimbo la Kongwa kwa tiketi ya CCM aliyeshinda kwa 80% na kumtangaza wa TLP kuwa ameshinda halafu Polisi waingilie kati kuwasainisha wasimamizi wa CCM wakubaliane na uasi huo kwa jamii?
Je, huyo Mkurugenzi ataendelea kukalia kiti mana ameamua kuwa yaye sio neutral Bali ni TLP kindakindaki?

Fikiri vizuri halafu ujue hasa nini maana ya demokrasia wakati wa uchaguzi na umuhimu wa kufuata sheria kwa wote.

Wapinzani wanalilia kuwa demokrasia ionekane hasa kwenye sanduku la Kura.

Mwaka 2005 Tume ya uchaguzi chini ya Rais Mkapa walisimamia Uchaguzi vizuri pamoja na dosari ndogo ndogo. Nakumbuka wapinzani walimpongeza Kikwete na hata kumkumbatia baada ya kupata ushindi.
...Kwa nini ishindikane sasa. Jibu ni rahisi kuna waroho wa madaraka wamevamia CCM. Na wakati huu wa njaa Kali ya pesa na ukosefu wa ajira kila MTU anapigania madaraka yake kwa namna yoyote.

Hata wapinzani kama Mbowe, anang'ang'ania uenyekiti sio kwa sababu ya kukijenga chama la hasha anaona nje ya Madaraka atapata tabu sana mana wamemfilisi vya kutosha na wakati huo huo ana madeni na biashara zainayumba.

Mkuu nakupongeza sana kwa aina yako ya uchangiaji wa kuweka ukweli wazi huku ukichagizwa na busara. Pia hukuishia hapo umeamua kumtaja na Mbowe. Kwanza ni kweli Mbowe ana mapungufu hilo halina ubishi, na pia inasaidia hawa wanaokwepa ukweli hapa kutokuukimbia. Siku hizi kumeibuka utetezi wa hoja pindi unapoongea ukweli unaonekana uko upande wa cdm, na kama uko upande wa cdm mbona hutaji madhaifu ya Mbowe? Na ili wakubaliane na ukweli wako ni vyema kumtaja Mbowe kwanza kwa mambo hasi, kisha hapo ndio utaeleweka. Sio kwamba hawajui unaongea ukweli, lakini wanapotezea kwa sababu za kiitikadai, na tatizo hili liko mpaka kwa mkubwa kabisa na vyama vyote.
 
1.The NSA and the CIA are federal agencies of the U.S. that deal with the security, law enforcement, and intelligence of the country.
2.The CIA was formed on September 18th, 1947, and the NSA was formed on November 4th, 1962.
3.The CIA is mainly associated with gathering information internationally that is of relevance to the United States.
4.The main mission of the NSA is information assurance. The NSA deals with data processing, generating encryption keys to U.S. information, and decrypting foreign intelligence.
5.The CIA operates across the world through various agents who send the information to its headquarters situated in Langley, Virginia. The CIA agents most often cooperate with other international agencies for collecting relevant information.
 
Wapemba na watu pwani tumezaana sana.
Ndiyo kujikomba kwenyewe. Waachieni wapemba maisha yao!! Mnawang'ang'ania nini?! Mbona wameshaonyesha kila dalili kuwa hawana haja na huo muungano ?!

Tabu mnafikiri kila aina ya usanii wenu yanawafurahisha waTz .
Mnajinasibu kupendeka weka tume huru na katiba ya wananchi. Ujiridhishe kweli kama unapendeka siyo kulazimisha kuunga juhudi za Rais!!
 
Nieleweshe ulivyoelewa ili nami nilinganishe na uelewa wako kama tuko pamoja...!!
CIA haiko kwa ajili ya usalama wa mtu maskini wa marekani,ila imejikita nje ya marekani zaidi ili kulinda maslahi ya mabwanyenye.
 
Wao hawajamzuia yeyote kusema, hata kama tungekua na sababu ya kusema kama ipo.

Lakini uchaguzi wetu unawahusu, wanatoa msaada kupitia mashirika au taasisi zake kufadhili uchaguzi, wanatupatia misaada (Inaitwa misaada) kujazilizia bajeti yetu, wanatupa mikopo. Sasa hapo wakisema wanakosea?

Siku zote akopaye ni mtumwa kwa anaemkopesha (Biblia).
Hela wanazotupatia ni sehemu ya rasilimali yetu waliyotuibia kupitia mfumo mbovu wa biashara duniani: mazao yetu , watu wetu kupelekwa kwao watumwa k.m. negros, siasa kandamizi n.k. Hata hivyo, misaada wanayoleta wanafaidi zaidi wao kupitia ajira kwa watu wao na riba ya mikono hiyo. Hivyo hakuna 7bu ya kuwa wanyonge kiasi cha kuruhusu ushenzi wao huo wa kuinglia mambo yetu bila kufuata taratibu zilizopo. Wake up!
 
Halafu Kuna jamaa anasema kuwa kuna watanzania wanaoishi marekani watakija kujenga Chuo kikubwa Cha VETA kusini mwa jangwa la sahara.
Tungeomba nao kupitia balozi za Marekani wafuatiliwe vyanzo vyao vya fedha Kule Marekani mana machale yananicheza kama vile kuna kamchezo hapo .
Manunuzi makubwa ya mabilioni kwa wenzetu wanatoa katenesi pacementi. Sasa huenda watu waliambiwa huo mzigo mpe/wape akina fulani (ambaye/ambao ni Mtanzania wanaoishi huko) .Sasa wanataka wawaletee wenyewe mashiko wao kwa mbinu hiyo ya kuzitakatisha na kutuzuga kuwa watanzania waishio Marekani wamehamasika sana.

Kama tunapenda kusifiwa tuwe tayari pia kukosolewa .Alimradi tunakosoa kwa busara na kwa kuheshimu umri ,madaraka na utu wa MTU.

Mkuu hili angalizo nakubaliana nalo kabisa. Nimeamini wewe ni akili kubwa. Sikuwa bado nimeangalia hili katika 3D. Huenda zile 1.5t zikazungushwa kwa mlango wa uani tukawa tunaimbishwa kukubali juhudi za >
 
Wasituchezee kabisa hawa wamarekani tutawachapa wapotee waache viherehere
 
Hela wanazotupatia ni sehemu ya rasilimali yetu waliyotuibia kupitia mfumo mbovu wa biashara duniani: mazao yetu , watu wetu kupelekwa kwao watumwa k.m. negros, siasa kandamizi n.k. Hata hivyo, misaada wanayoleta wanafaidi zaidi wao kupitia ajira kwa watu wao na riba ya mikono hiyo. Hivyo hakuna 7bu ya kuwa wanyonge kiasi cha kuruhusu ushenzi wao huo wa kuinglia mambo yetu bila kufuata taratibu zilizopo. Wake up!

Mkuu sipingi bandiko lako kwani lina ukweli ndani yake. Lakini tuwe wakweli tu, huu uchaguzi tena chini ya awamu hii kuna ukatili na uporaji wa wazi. Na kwa sababu hiyo watu hawataki kujitokeza kupiga kura, na hata hao wanaojitokeza kura zao haziheshimiwi. Na yote hii inatokana na walioko madarakani kutokufuata sheria na taratibu zilizopo. Sasa kwa mwenendo huo tunapata wapi nguvu ya kuwataka hao US wafuate utaratibu? Ingekuwa ni uchaguzi wa kwanza ushenzi huu kufanyika hapo sawa. Lakini toka awamu hii imeingia madarakani ndio ukatili unaongezeka na uporaji. Sio kwamba huko nyuma haikuwa hivyo ila sasa iko wazi na ni kama inageuzwa ni jambo la kawaida. Ni kwanini nyie mnakalia kimya huu uhayawani?
 
Hela wanazotupatia ni sehemu ya rasilimali yetu waliyotuibia kupitia mfumo mbovu wa biashara duniani: mazao yetu , watu wetu kupelekwa kwao watumwa k.m. negros, siasa kandamizi n.k. Hata hivyo, misaada wanayoleta wanafaidi zaidi wao kupitia ajira kwa watu wao na riba ya mikono hiyo. Hivyo hakuna 7bu ya kuwa wanyonge kiasi cha kuruhusu ushenzi wao huo wa kuinglia mambo yetu bila kufuata taratibu zilizopo. Wake up!
Wanaiba au viongozi wabovu na hasa wa CCM wamewapa kwa mikataba ya mrahaba wa 3%. Na hata hao ma Niger's walisalitiwa na viongozi kama hawa tulionao leo. Wanaonunua kivuko cha 1978 kwa billions na usihoji!!
 
Tanzania has never comment on previous US election despite all rumours that Russia hacking and doctoring the election to makeTrump the POTUS.
Why should the US Embassy talk about Tanzania MPs by-election?


This is stupidity of all time.!!!

"In December 2013, the Pew Research Center reported that their newest poll, "American's Place in the World 2013," had revealed that 52 percent of respondents in the national poll said that the United States "should mind its own business internationally and let other countries get along the best they can on their own."[39] This was the most people to answer that question this way in the history of the question, one which pollsters began asking in 1964.[40] Only about a third of respondents felt this way a decade ago.[40]"
sasa ulitaka tanzania iseme nini ???
 
Hii ndiyo justificstion ya serikali ya CCM kubaka demokrasia???

Alafu hichi kisukuma ulichoandika hakieleweki, speak English please.
Tunatafuta justification ya kuiongelea Buyungu kwanza.
Kingereza kibovu kinachofikisha ujumbe...ukitaka kirekebishe uwatumie
 
Kupanga ni kuchagua na waarabu kama viongozi wetu wamechagua hayo maisha .
Mmarekani hata akiwa mbali anatafutwa
Chadema mara nyingi huchukia ndugu zetu Waarabu kwa sababu ya Uisilamu wao,hakuna asiejua.
 
Back
Top Bottom