Tanzania said nothing about Trump election!

Tanzania said nothing about Trump election!

Wameingilia Mambo ya ndani vipi?
Kuna mahali FBI wamemkamata kada wa CCM / Msimamizi wa Uchaguzi aliyevuruga Uchaguzi ?
Kuna mahali wameleta askari wa marekani kusimamia Uchaguzi wetu?
Nyie vipi?
Tuwapende na kuwatetea watanzania wenzetu wanaodhulumiwa kwa sababu ya baadhi ya wenzetu wenye uroho wa kupata sifa na madaraka?

Huo ndio ujinga unaofanyika Kongo. Wanashindwa kukaa pamoja na kuaminiana kwa ajili ya kuijenga Kongo nchi yenye rasilimali nyingi duniani badala yake kila siku ni kuvuruga Uchaguzi na kuuana kwa ubinafsi na uroho wa Madaraka.
Wanaochukua madini ya kongo unawajua?
 
maxresdefault.jpg
downloadfile-5.jpg

Polisi wa Marekani wakitembeza vichapo mbalimbali.hatujawahi kuingilia siasa zao za ndani.
 
Muondoe na bunge na mahakama mumfanye Magufuli mfalme wa maisha kabisa, maana hata mkikataa misaada na kubaki na mifumo yao, mifumo itawahukumu, Marekani ina misimamo ya kusimamia demokrasia kwa sababu demokrasia ni mfumo bora, sio tu kwa sababu inatoa misada.
Msimamo wa kusimamia demokrasia ulioshindwa kuzuia hackers wa Urusi kufanya yeo ?
Unakumbuka Ushindi wa G.W.Bush jimboni Florida ulivyokuwa??
 
Msimamo wa kusimamia demokrasia ulioshindwa kuzuia hackers wa Urusi kufanya yeo ?
Unakumbuka Ushindi wa G.W.Bush jimboni Florida ulivyokuwa??
Two wrongs do not make a right, hata Tanzania nayo inaweza kuisema Marekani kupitia ubalozi wake DC, haijakatazwa.

Rwanda waliuana mauaji ya kimbari, sasa unataka kusema kwamba kwa sababu Rwanda waliuana mauaji ya kimbari na sisi tuuane, ni sawa? Kwa sababu Rwanda waliuana?
 
main-qimg-6f66c8340cea7598de3f3c1d093b0692-c.jpg

Polisi akiwa kazini huko USA,ndugu zangu wanaChadema kichapo kokote kipo.
 
View attachment 838489View attachment 838490View attachment 838491
Kiza Besigye na wafuasi wake wakichezea kichapo huko Uganda,wamarekani kimyaa!!.
Wamarekani Wanasema kwa sababu sisi tulikua tumefikia pazuri sana Kidemokrasia na tulifikia pazuri sana kwenye huduma za jamamii pamoja na kuwa Uhuru mapungufu yalikuwepo.
Ndio maana tulipata misaada mingi ya maendeleo ya afya ,barabara,elimu , Umeme n.k.
....Sasa awamu ya Tano inashindwa nini kuamua siku moja kufanya Uchaguzi wa mfano barani Afrika kwa kulinda kura na maamuzi ya wananchi ili ijue na kujitathimini kama kweli wanakubalika au wana mahali wanakosea au wananchi hawajawaelewa vizuri.

....Mpaka Marekani Sasa wanatuonya mana tunarudi nyuma na kuwa watu wasiojitambua utu wao.
Wananchi wema kabisa wanaenda kupiga kura wakiwa hawajabeba hata Kalamu mfukoni lakini wanazingirwa na mabunduki na mabomu. Aibu kubwa kwa ubaya tunaotendeana wanadamu kama vile tutaondoka na Mali duniani kwenda nazo ahera.

Tunagombania Rasilimali zetu wenyewe kwa kutaka madaraka. Kisa tu huko kuna mishahara minono na heshima kubwa.
Unafikiri tungekiwa wajamaa kweli kama tunavyoudanganya ulimwengu nani angekua na uroho huo wa madaraka?
Uroho upo kwa sababu wanajua ubepari upo kupitia madaraka mana wao ndio wenye mahela mengi na mamlaka makubwa.

DC aliyeteuliwa anakua na madaraka makubwa kuliko Mbunge aliyechaguliwa. Na sio madaraka tu lakini anaweza kutoa tu amri ya ajabu ya kukamatwa mbunge na kuwekwa ndani masaa 48. Haya ni mapungufu ya wazi ya kuonyesha kuwa bado tunahitaji kusikiliza zaidi maoni ya watu wenye akili huru.
 
Ushirikiano ni kupeleka picha za kulaghai dunia kama kuna vurugu na kuacha picha zinazoonesha utulivu na amani unaokuepo?

Narudia tena, tutawapa ushirikiano waliotoa wananchi wa Libya ili kumuua Gaddafi. Tumechoka na waroho wa madaraka. Huu upuuzi wa uporaji wa kura huku mkiacha wanaokubalika na vilema vya kudumu lazima ufikie mwisho. Na wakati huo hatutaangalia kwani wote wanaoendesha huu ukatili kwa kisingizio cha kufuata amri toka juu tunawaona na watawajibika kwa kutii amri zisizo halali.

Unadhani watu kukaa kimya ni kwamba wanaridhika na huu ushenzi wenu? Tiini box la kura, hukubaliki kaa kushoto sio kuumiza wasiowataka.
 
new_yearxs_eve_protests_in_chicago_against_police_brutality.jpg_1718483346.jpg

Hawa ni baadhi ya wananchi waliopoteza maisha mikononi mwa polisi wa Marekani.
 
Ndugu zangu wanaChadema za kuambiwaga changanyaga na za kwako.
 
Wamarekani Wanasema kwa sababu sisi tulikua tumefikia pazuri sana Kidemokrasia na tulifikia pazuri sana kwenye huduma za jamamii pamoja na kuwa Uhuru mapungufu yalikuwepo.
Ndio maana tulipata misaada mingi ya maendeleo ya afya ,barabara,elimu , Umeme n.k.
....Sasa awamu ya Tano inashindwa nini kuamua siku moja kufanya Uchaguzi wa mfano barani Afrika kwa kulinda kura na maamuzi ya wananchi ili ijue na kujitathimini kama kweli wanakubalika au wana mahali wanakosea au wananchi hawajawaelewa vizuri.

....Mpaka Marekani Sasa wanatuonya mana tunarudi nyuma na kuwa watu wasiojitambua utu wao.
Wananchi wema kabisa wanaenda kupiga kura wakiwa hawajabeba hata Kalamu mfukoni lakini wanazingirwa na mabunduki na mabomu. Aibu kubwa kwa ubaya tunaotendeana wanadamu kama vile tutaondoka na Mali duniani kwenda nazo ahera.

Tunagombania Rasilimali zetu wenyewe kwa kutaka madaraka. Kisa tu huko kuna mishahara minono na heshima kubwa.
Unafikiri tungekiwa wajamaa kweli kama tunavyoudanganya ulimwengu nani angekua na uroho huo wa madaraka?
Uroho upo kwa sababu wanajua ubepari upo kupitia madaraka mana wao ndio wenye mahela mengi na mamlaka makubwa.

DC aliyeteuliwa anakua na madaraka makubwa kuliko Mbunge aliyechaguliwa. Na sio madaraka tu lakini anaweza kutoa tu amri ya ajabu ya kukamatwa mbunge na kuwekwa ndani masaa 48. Haya ni mapungufu ya wazi ya kuonyesha kuwa bado tunahitaji kusikiliza zaidi maoni ya watu wenye akili huru.

Kula tano mjomba kwa kusema ukweli ulionyooka. Ccm wanapaswa kufahamu watu wengi walishawachoka, kwa hiyo namna pekee ni kutekeleza kilichowafanya wakachokwa, kisha wakubaliane na hisia za wananchi kupitia box ka kura kuhusu kukubalika kwao. Sio kwasababu unahubiri maendeleo jukwaani basi ndio ujipe uhalali wa kuongoza watu bila ridhaa yao. Sasa hivi ccm chini ya awamu hii ya tano haina ushawishi tena bali imebaki kulazimisha kupendwa, na matokea yake ndio hapo unatumika ukatili kulazimisha kutangazwa washindi.
 
Tanzania has never comment on previous US election despite all rumours that Russia hacking and doctoring the election to makeTrump the POTUS.
Why should the US Embassy talk about Tanzania MPs by-election?


This is stupidity of all time.!!!

"In December 2013, the Pew Research Center reported that their newest poll, "American's Place in the World 2013," had revealed that 52 percent of respondents in the national poll said that the United States "should mind its own business internationally and let other countries get along the best they can on their own."[39] This was the most people to answer that question this way in the history of the question, one which pollsters began asking in 1964.[40] Only about a third of respondents felt this way a decade ago.[40]"
Walikuzuia usiseme ? halafu ni lini wewe ulipeleka vyandarua huko Marekani au ni lini uliona Bango huko Marekani limeandikwa kwa Hisani ya Tanzania ?
 
Narudia tena, tutawapa ushirikiano waliotoa wananchi wa Libya ili kumuua Gaddafi. Tumechoka na waroho wa madaraka. Huu upuuzi wa uporaji wa kura huku mkiacha wanaokubalika na vilema vya kudumu lazima ufikie mwisho. Na wakati huo hatutaangalia kwani wote wanaoendesha huu ukatili kwa kisingizio cha kufuata amri toka juu tunawaona na watawajibika kwa kutii amri zisizo halali.

Unadhani watu kukaa kimya ni kwamba wanaridhika na huu ushenzi wenu? Tiini box la kura, hukubaliki kaa kushoto sio kuumiza wasiowataka.
Toeni ushirikiano zaidi ila ya libya hayatatokea Tz!
 
Wamarekani wenyewe wamekataa katakata kusaini ICC,halafu wao ndio wa kwanza kubebea watu bango.
 
Acha kunifuatilia fuatilia, am airing my views, hazikubambi, pita hivi. Usitake nipangia cha kusema cha kukufurahisha.
Kichwa kimejaa kinyesi, nilifyonza kinyesi chako, au ushazoea kufyonzwa. Swine kabisa.
Nikufatilie una nini mpuuzi wewe.
 
Back
Top Bottom