Tanzania ready to send Army to Zimbabwe-Kikwete

Status
Not open for further replies.
Phillemon.. ukiangalia hiyo ishu kwa kuangalia JK na JWTZ you'll miss the whole picture... unapoangalia kauli hiyo ya JK.. add British Army, Airforce, Royal Marine na Royal Navy... plus a lot of money.. the balance would favor TZ...

Btw: Kuna dili za ndege mpya za kijeshi ili kuupgrade our fleet.... huu ndio wakati muafaka wa kutoa na kuchukua....


...jk amnachanganya mambo kwa kukumbatia marekani...makamanda wa ngazi za juu tanzania washamuambia usoni kuwa hawataki ukaribu unaozidi kipimo na marekani......makamnda wengi wana favour kuendelea na mkataba wa kiulinzi tulio nao na china.....wao ndio wana train air force yetu ...kwa muda saa ..hasa baada ya USSSR kuvunjika ...we use to mix there technologies.....hata lilipoibuka suala na AMERICAN BASE....wakati wanasiasa bongo walipokuwa na kigugumizi....CT..aliongea hadharani kuwa suala la kuwa na base ya marekani tanzania ...halina mjadala kuwa hawalitaki na HALIWEZI KUTOKEA!!

broo ushoga na marekani kwenye uchumi sawa lakini kwenye jeshi zaidi ya mafunzo ya kawaida ..IKIWAINGIZA JIKONI...BASI YOU WILL FOREVER EXPERIECE INSTABILITY IN THE COUNTRY ESPECIALLY SIKU WAKIONA KUWA SITTING GORVERNMENT ina dalili za kuwasaliti basi ujue watasababisha MAPINDUZI KWA BUNDUKI au mazingira ya kura...........hata sasa hivi ambako KIKWETE Amekuwa karibu nao ..itakuwa tabu kuja kupata rais ambaye atakuwa tofauti kabisa na INTEREST ZAO labda awe LIBERAL...
 
hapa kuna mafunzo machache kama ifuatavyo:

(a) Kama umewahi kula mizizi ya mihogo iliyochemshwa au kuchoma, utakubaliana nami kuwa ni mizuri tu kama itakuwa imekaa ardhini kwa kipindi fulani; isiwe michanga sana, na isiwe imekomaa sana. Nadhani Mugabe na ZANU-PF yake (kama CCM hapa kwetu) ni mzizi wa muhogo uliokomaa sana (kimadaraka), kiasi kuwa hawafai kuliwa tena.

(b) Watu wanapojidondoshea michuzi kwenye nguo zao, mara nyingi kila mtu huwa hajui kuwa kajidondoshea mchuzi ila atajua mapema kuwa mwenzake kajidondoshea. Waswahili husema nyani haoni kundule. Matatizo ya Mugabe na ZANU-PF huko Zimbabwe hayatofutiani sana na ya CCM hapa kwetu isipokuwa tu kule wanatumia violence wakati hapa kwetu CCM wanatumia njia nyingine za amani lakini ambazo pia ni haramu. Kikwete kufikiria kupeleka jeshi Zimbabwe kujenda demokrasi wakati sisi hapa tunaililia hiyo demokrasi kweli ni kichekesho kweli kweli.
 
That man is just talking he will not dare to do that thing cause will cost the country dearly in term of funds and friendship. The comedy no such action will be taken by JWTZ.

Huyu mzee kweli ameishiwa lakini kufikia hatua ya kumtoa kwa kutumia jeshi is not a proper solution for african problems, what we need is just dialoge na kumwambia usoni bila kumuogopa kuwa wewe sasa inabidi upumzike umwachie mwenzio, that is enough for african problebs.

Mushi1,
una point but andika one thing at a time lakini unaandika wewe mfululizo kiasi kuwa hata flow ya mawazo yako inaanza kupotea please tulia kidogo.
 
That man is just talking he will not dare to do that thing cause will cost the country dearly in term of funds and friendship. The comedy no such action will be taken by JWTZ.

Huyu mzee kweli ameishiwa lakini kufikia hatua ya kumtoa kwa kutumia jeshi is not a proper solution for african problems, what we need is just dialoge na kumwambia usoni bila kumuogopa kuwa wewe sasa inabidi upumzike umwachie mwenzio, that is enough for african problebs.

Mushi1,
una point but andika one thing at a time lakini unaandika wewe mfululizo kiasi kuwa hata flow ya mawazo yako inaanza kupotea please tulia kidogo.

Ukishajua mambo mengi sana huwezi tulia kihivyo ndugu yangu!
Hilo uelewe!
Haya mambo ni HATARI HATA KUYAFIKIRIA!
MAFISADI WASIPOKAMATWA WENGINE TUTAPATA MATATIZO!
Ukitaka kujua uwezo wangu wa kutulia...Subiri wakishakamatwa ndio uniulize!
Wewe nakushangaa sana kama unajua dili lote halafu udai eti tulia!
ACHA HIZO WEWE!
HALAFU ISHAKUWA SLOGAN KWA KILA MTU...BILA KUTAJA JMUSHI HUTASIKILIZWA?
 
...jk amnachanganya mambo kwa kukumbatia marekani...makamanda wa ngazi za juu tanzania washamuambia usoni kuwa hawataki ukaribu unaozidi kipimo na marekani......makamnda wengi wana favour kuendelea na mkataba wa kiulinzi tulio nao na china.....wao ndio wana train air force yetu ...kwa muda saa ..hasa baada ya USSSR kuvunjika ...we use to mix there technologies.....hata lilipoibuka suala na AMERICAN BASE....wakati wanasiasa bongo walipokuwa na kigugumizi....CT..aliongea hadharani kuwa suala la kuwa na base ya marekani tanzania ...halina mjadala kuwa hawalitaki na HALIWEZI KUTOKEA!!

broo ushoga na marekani kwenye uchumi sawa lakini kwenye jeshi zaidi ya mafunzo ya kawaida ..IKIWAINGIZA JIKONI...BASI YOU WILL FOREVER EXPERIECE INSTABILITY IN THE COUNTRY ESPECIALLY SIKU WAKIONA KUWA SITTING GORVERNMENT ina dalili za kuwasaliti basi ujue watasababisha MAPINDUZI KWA BUNDUKI au mazingira ya kura...........hata sasa hivi ambako KIKWETE Amekuwa karibu nao ..itakuwa tabu kuja kupata rais ambaye atakuwa tofauti kabisa na INTEREST ZAO labda awe LIBERAL...

Wamesahau ile thread yangu ya THE NEW SRAMBLE FOR AND PERTITION FOR AFRICA!
SASA WAMESAHAHU KUWA TANZANIA TUMESHACHAGULIWA BWANA NA KIKWETE!
KWENYE ZIARA YA BUSH..WAMESAHAHU KUWA KIKWETE ALIKUWA AKIMBEEP MCHINA KWA KUPANDISHA BENDERA YA USA PEKE YAKE KAMA ISHARA YA NCHI YETU KUANGUKIA CHINI YA KOLONI LAO!
BUSH ALIPOMTOA SADDAM ILIKUWA NI GIA YA JAMBA JAMBA...KINA GADDAFI NAO MFANO HAI!
 
Na kama jk ana sapoti ya USA...Then asishangazwe yatakayomkumba huko ZIMBABWE!

Sidhani msimamo wa Mandela,Ghaddafi na Mbeki ni wa kumsapoti Bush na Blair!

Hivyo basi...JK AWE MAKINI KAMA ANAVYOPEWA USHAURI NA KINA PHILLEMON.

NB:Mandela aliwahi kuweka wazi kuwa BUSH NI KICHAA!
Kikwete ni sapota!

Mandela BADO YUPO kwenye listi ya magaidi ya wamarekani na MAKAMU WA RAISI DICK CHENNEY ALIWAHI KUPIGA KURA ASITOLEWE JELA!

JK KUWA MAKINI NDUGU YANGU!

Mandela hamtaki BUSH AFRIKA...WEWE UMEMCHAGUA!

UNATUPELEKA WAPI JK?
 
Rais sasa anaenda mbali sana, tulimkubalia ya Comoro, lakini sio hili la Zimbabwe, yaliyomshinda Thabo Mbeki, yeye hayawezi na hayamushusu kabisaa haya ya kununua ugomvi sio wake, wanamshinda kila Lowassa na kundi lake itakuwa Mugabe?

Mheshimiwa Rais kwenye hili hapana mkuu, hawa Wazugnu wasikudanganye hawa wakishaipata tu Zimbabwe kama wanavyoitaka basi watakutupa kama Museveni, walipotaka Zaire na madini yake, walimpa sifa za kila aina alipowasaidia tu kuipata sasa wamemtupa hata kumsikia hawataki tena,

Waaachie wenyewe hayo mkuu! nasikia the ishu huko ni kwamba kuna majemadari wa jeshi ambao walipigana na Mugabe, wakati wa vita na walowezi, na wakafungwa naye jela miaka kumi, ndio viongozi wa juu huko na wame-abuse sana power wakiwa madarakani, sasa wanapoambiwa kuwa Mugabe atapewa nafasi ya ku-retire in peace wanaogopa sana kuwa wao vipi mbona hawatajwi kwenye hiyo deal anatajwa Mugabe peke yake? Ina maana Mugabe akitoa power tu wao watafikishwa kwenye mkono wa sheria, nasikia ni wao ndio wamemu-hijack Mugabe, na leo wazungu washasema kuwa Mugabe na kundi lake sasa watasimama the Hague kwenye CTR, sasa hilo lishakuwa sooo kama sio noma ndani yake,

Kikwete waachie Wazungu mkuu haya sio yetu haya, ni makubwa mno halafu angalia wasije kuelewana na Wazungu ukaishia kuchekesha mkuu, si unajua wazungu walivyo wahuni hao! walimtengeneza Bin Laden wenyewe, lakini siku hizi eti amekuwa adui yao! Hili la Zimbabwe wamelikoroga wenyewe wazungu ngoja walinywe tena sasa la moto hilo!
 
WANANCHI TUKIINGIA ZIMBAWE BARA LITAWAKA MOTO HALAFU WATAKUWA NA SABABU YA KULICHUKUA TENA NA KUGAWANA KWA VISINGIZIO VYA KUTUFUNDISHA USTAARABU WA KUISHI PAMOJA!

Afrika ikiwashwa moto kwa kumtumia jk na Tz yetu...HAPATAKALIKA!

Na baada ya hapo...UHURU NTOLEE JUMLA!

MARK MA WORDS WANA JF!

Mchina naye anasubiri tu aendelee kuuza silaha!
wote wanaitaka AFIKA BURE BURE!

DAMU ISIMWAGWE BAINA YETU WAAFRIKA!

TUOMBE MUNGU RAIS WETU AMBAYE SASA NI KWELI ANAONEKANA ANA UPEO MDOGO..ASILIINGIZE BARA LETU UTUMWANI MOJA KWA MOJA!
 
Na wale waliosahahu ya Ballali wafahamu hili kama hawajui!
Kuna kashfa kubwa ya ufisadi hapa marekani iliyoikumba serikali ya BUSH huku swahiba wake mkuu KEN LAY AKIWA GUILTY KUWAIBIA WANAHISA WAKE KWA STYLE YA KIMAFIA!

Akahukumiwa lakini kabla hajapelekwa jela..akafa..kuna TAARIFA KUWA ALIFAKE KIFO CHAKE!
Sasa na sisi yale yale!

Kama Mungu akishindwa kutuepushia kikombe hiki...Hatutajali kwani yaweza kuwa mapenzi yake!
Lakini moto utakaowashwa..Ni vigumu kutabiri hatma yake licha ya kwamba bado tunataka wazalendo tushinde!
 
Nasikitika kuona uchambuzi unavyofanyika kwenye mada hii. Labda Rais kasema yuko tayari kupeleka jeshi Zimbabwe, kama ataombwa. Hakusema yuko tayari kuvamia Zimbabwe. Sasa misukosuko ya uchaguzi Afrika tumeiona kwenye baadh ya nchi. Hayakupelekwa majeshi kuvamia, yalipelekwa kusimamia amani ili uchaguzi ufanyike.

Huko kuombwa anakozungumzia JK, bila shaka ni kuombwa na wahuska. Maana yake ni hivi: nchi za SADC zinaweza kumshinikiza Mugabe akubali yapelekwe majeshi kusimamia uchaguzi pale. Hilo likifanyika, basi Rais wetu anasema atakuwa tayari kupeleka JWTZ kushirki. Kuna ubaya gani kusema hivyo? Ni kitu cha kushikiliwa bango kweli?

Kwa maoni yangu, ni Afrika ya Kusini, pamoja na SADC, ndio zenye uwezo wa kumlazimisha Mugabe akubali kuahirisha au kufanya tena uchaguzi. Naona Jacob Zuma tayari ameshaamua kuna sababu ya kufanya hivyo. Tanzania iko upande wake. Na kurudia uchaguzi kwa amani, huku hao polisi wa Mugabe wanasimamia amani itakuwa vigumu. JWTZ na majeshi mengine ya SADC yawe tayari kusaidia.

Ili kulinda credibility yetu, ni lazima tuache kurukia mambo. We must have the right political hunches. It is incredibly off the mark to think that JK is considering invading Zimbabwe.
 
Nasikitika kuona uchambuzi unavyofanyika kwenye mada hii. Labda Rais kasema yuko tayari kupeleka jeshi Zimbabwe, kama ataombwa. Hakusema yuko tayari kuvamia Zimbabwe. Sasa misukosuko ya uchaguzi Afrika tumeiona kwenye baadh ya nchi. Hayakupelekwa majeshi kuvamia, yalipelekwa kusimamia amani li uchaguzi ufanyike.

Huko kuombwa ankozungumzia JK, bila shaka ni kuombwa na wahuska. Maana yake ni hivi: nchi za SADC zinaweza kumshinikiza Mugabe akubali yapelekwe majeshi kusimamia uchaguzi pale. Hilo likifanyika, basi Rais wetu anasema atakuwa tayari kupeleka JWTZ kushirki. Kuna ubaya gani kusema hivyo? Ni kitu cha kushikiliwa bango kweli?

Kwa maoni yangu, ni Afrika ya Kusini, pamoja na SADC, ndio zenye uwezo wa kumlazimisha Mugabe akubali kuahirisha au kufanya tena uchaguzi. Naona Jacob Zuma tayari ameshaamua kuna sababu ya kufanya hivyo. Tanzania iko upande wake. Na kurudia uchaguzi kwa amani, huku hao polisi wa Mugabe wanasimamia amani itakuwa vigumu. JWTZ na majeshi mengine ya SADC yawe tayari kusaidia.

Ili kulinda credibility yetu, ni lazima tuache kurukia mambo. We must have the right political hunches. It is incredibly off the mark to think that JK is considering invading Zimbabwe.
Tsivangirai keshakataa uchaguzi ataacha vipi kuomba msaada?
Akili mukichwa!
Gonga chini..
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=12611
 

Ili kulinda credibility yetu, ni lazima tuache kurukia mambo. We must have the right political hunches. It is incredibly off the mark to think that JK is considering invading Zimbabwe.


Mwalimu umenifanya nirudie post ya awali kwani nilihisi kweli tulikuwa off the mark katika mjadala wetu. Hata hivyo post ya kwanza inanithibitishia kuwa mjadala uko kwenye right track. Hakuna utata wa nini kinazungumziwa.

By Norbert Jacobs ⋅ © zimbabwemetro.com ⋅ June 23, 2008

Tanzania’s president, Jakaya Kikwete, has become the first African president to raise the issue of military intervention in Zimbabwe if the government crackdown on the Movement for Democratic Change(MDC) worsens.

Angalia mwanzoni inazungumzia military intervention na iko kwenye condition "If" na hiyo condition haizungumzii uchaguzi au kitu kingine bali kama mambo yakienda kombo.


“We will certainly consider it (Miltary intervetion)if asked,” said Kikwete “If we get there, to a point where military action is needed, if it’s a multilateral project, then we’ll do it. At the moment we do not think that will be necessary’

If he was quoted rightly then there is no ambiguity of what he's talking about. i.e "military action". Na sidhani kwenye kuombwa anamaanisha wazimbabwe bali ni "multilateral project (force?)" Kwenye mawazo yake anagusia suala la coalition of the "willing".

Tanzanian People’s Defense Force is made up of close to 30 000.The manpower available for military service is a combined 14 387 010 two times Zimbabwe ’s manpower available for military service which stands at 5 464 100.

the reason one would compare military composition ni pale ambapo kuna uwezekano wa majeshi hayo kukutana vitani. Na observation kuwa jeshi letu ni "two times Zimbabwe's manpower" inathibitisha hilo.

So I think kilichokuwa kinazungumzwa na JK kukisupport ni possible military action.
 
JMushi,

Jipe muda zaidi wa kuchambua ishu. Mimi napenda sana michango yako, lakini nashauri ujipe muda wa kutosha, wa kuangalia ishu kwa makini, kati ya mchango hadi mchango.

On a lighter note, let me take this opportunity to congratulate you on the photo that you have chosen to stand for you. Huwa nacheka sana ninapoangalia viatu alivyovyaa baba na alivyovaa mama. Hiyo miti inayoonekana huko nyuma ni miti gani?
 
Mzee Mwanakijiji,

Hiyo phrase "military intervention" iko kwenye brackets. It is the reporter's interpretation of the President's "if". Contrary to the extrapolations of some, the President did not say that Tanzania will invade Zimbabwe. He might have said that Tanzania will join others to send a multilateral force to Zimbabwe if it becomes necessary. Significantly, he added that he does not think it will become necessary!

If indeed, it becomes necessary to send a multilateral force to Zimbabwe, then why should we not take part?

It is astonishing that so many people are putting words into the President's mouth. To say that he meant something other than a peace keeping force is to jump to a very bad conclusion.
 
This is the best time for action because is going to be a big suprise to Mugabe. Mugabe is weak and not prepared for anything at this point

What's Tanzanian interest in this Mugabe issue? Have we ever had any fair election? We really need to solve our own stinking problems before we even think about the one next door. It's shame that we can't arrest those MAFISADI but we're thinking of invading another country!!
 
JMushi,

Jipe muda zaidi wa kuchambua ishu. Mimi napenda sana michango yako, lakini nashauri ujipe muda wa kutosha, wa kuangalia ishu kwa makini, kati ya mchango hadi mchango.

On a lighter note, let me take this opportunity to congratulate you on the photo that you have chosen to stand for you. Huwa nacheka sana ninapoangalia viatu alivyovyaa baba na alivyovaa mama. Hiyo miti inayoonekana huko nyuma ni miti gani?
Nashukuru kwa kuuma na kupuliza.
Huyo hapo juu ni OBAMA NA MAMA YAKE.
Viatu vyake vinaonekana kama raba mtoni hivi!
Miti ya nyuma waulize wakenya.
Hata hivyo resolve yake imenipa moyo na haswa baada ya kusoma kitabu chake chenye kuhusu matumaini.
ANAWEZA AKAWA RAISI WA DUNIA!
 
NA BROTHERS LAZIMA MUELEWE HII VITA TUNASHINDA ...HATA MZEE KAMANDA ES ...ATAKUBALIANA NAMIMI KUWA MAZINGIRA NYUMBANI YANAZIDI KUIMARIKA .....HATA WAZAMIAJI MELI WAMEPUNGUA ......[STOREWAY]....WANAOKIMBILIA SOUTH WANAISHA....UKIWA NA KIPATO HAPA NYUMBANI MAISHA NI RAHA SANA....

Hilo nakubaliana na wewe kabisa halina ubishi


.....LAKINI WALIORUDI WAKAKAMATA CHANNEL WAMEKUBALI.......

Hapa mkuu ndipo pagumu....unless kuna mkono...sasa huo mkono huo ndio watu tunaokataa....tunatakiwa tuweze kufanya kitu kwa merit yako na sio vinginevyo
 
National Debate of a regional super power!

Before we commit our troops in Zimbabwe, is Kikwete weighing this matter in anticipation of the upcoming elections at home?

Can we afford Zimbabwe nation building?

Do we have any vital national interests at stake here?

Do we have the support of the African Union? Do we have the votes there?

Will our allies in the Southern bloc support us?

Will the Zimbabweans welcome us?

Has Membe exhausted all diplomatic options?

Has Rashid Othman provided us with credible intelligence estimates?

Have we listened to what our generals have to say about this looming decision?

What kind of troop levels are required? What if we are required to return to the Commoros, won't we be stretched too thin?

How long are we gonna be there, will the Zimbabweans be able to stand up when we stand down?

I mean, what is our exit strategy from Zimbabwe?
 
By Norbert Jacobs ⋅ © zimbabwemetro.com ⋅ June 23, 2008

Tanzania’s president, Jakaya Kikwete, has become the first African president to raise the issue of military intervention in Zimbabwe if the government crackdown on the Movement for Democratic Change(MDC) worsens.

“We will certainly consider it (Miltary intervetion)if asked,” said Kikwete “If we get there, to a point where military action is needed, if it’s a multilateral project, then we’ll do it. At the moment we do not think that will be necessary’

Tanzanian People’s Defense Force is made up of close to 30 000.The manpower available for military service is a combined 14 387 010 two times Zimbabwe ’s manpower available for military service which stands at 5 464 100.

This comes as the U.N. Security Council issued a unanimous statement on Monday that a free and fair presidential election run-off in Zimbabwe was impossible because of violence and restrictions on the opposition.

The adoption of the non-binding statement by the Security Council, which comprises China France, Russian Federation, the United Kingdom, United States,Belgium,Indonesia,South Africa,
Burkina Faso,Italy,Viet Nam,Costa Rica,Libyan Arab Jamahiriya,Croatia and Panama was its first formal action on the crisis in the southern African country.

Before the 15-nation Security Council adopted the statement, U.N. Secretary-General Ban Ki-moon said: “There has been too much violence and too much intimidation. A vote held in these conditions would lack all legitimacy.”

http://zimbabwemetro.com/2008/06/23/tanzania-ready-to-send-army-to-zimbabwe-kikwete/

For this; BRAVO KIKWETE!
 
Rais sasa anaenda mbali sana, tulimkubalia ya Comoro, lakini sio hili la Zimbabwe, yaliyomshinda Thabo Mbeki, yeye hayawezi na hayamushusu kabisaa haya ya kununua ugomvi sio wake, wanamshinda kila Lowassa na kundi lake itakuwa Mugabe?

Mheshimiwa Rais kwenye hili hapana mkuu, hawa Wazugnu wasikudanganye hawa wakishaipata tu Zimbabwe kama wanavyoitaka basi watakutupa kama Museveni, walipotaka Zaire na madini yake, walimpa sifa za kila aina alipowasaidia tu kuipata sasa wamemtupa hata kumsikia hawataki tena,

Waaachie wenyewe hayo mkuu! nasikia the ishu huko ni kwamba kuna majemadari wa jeshi ambao walipigana na Mugabe, wakati wa vita na walowezi, na wakafungwa naye jela miaka kumi, ndio viongozi wa juu huko na wame-abuse sana power wakiwa madarakani, sasa wanapoambiwa kuwa Mugabe atapewa nafasi ya ku-retire in peace wanaogopa sana kuwa wao vipi mbona hawatajwi kwenye hiyo deal anatajwa Mugabe peke yake? Ina maana Mugabe akitoa power tu wao watafikishwa kwenye mkono wa sheria, nasikia ni wao ndio wamemu-hijack Mugabe, na leo wazungu washasema kuwa Mugabe na kundi lake sasa watasimama the Hague kwenye CTR, sasa hilo lishakuwa sooo kama sio noma ndani yake,

Kikwete waachie Wazungu mkuu haya sio yetu haya, ni makubwa mno halafu angalia wasije kuelewana na Wazungu ukaishia kuchekesha mkuu, si unajua wazungu walivyo wahuni hao! walimtengeneza Bin Laden wenyewe, lakini siku hizi eti amekuwa adui yao! Hili la Zimbabwe wamelikoroga wenyewe wazungu ngoja walinywe tena sasa la moto hilo!

Ya nyumbani kwetu sawa tuongelee na tunambana; lakini kwa hii foreign policy; Kikwete, I was seeing a wrong person before, but now go on but please let them finance this, your brain their/our soldiers, their money! you have shown only a few presidents will do in Africa! Bravado!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom