Sasa mkuu
Mtu atasaidia je wakati sio raia?
Mie ninachongelea hapa kimantiki ni hiki, tuseme wewe una uraia wa UK na TZ basi unaweka stores zako Tanzania, mfanyabiashara, anaadika contracts kwa store ya Tanzania na anaweka order bidhaa, kisha wewe unanunua na unaleta bidha kwa store yako ya Tanzania jamaa anapata bidhaa kwa wakati, na anaiuza kwa mlaji kwa bei nafuu maana hakukua na usumbufu na gharama ya maisha kwa mlaji mtanzania yanapungua.
Huyu Mtanzania aliyopo yopo kwa sasa UK, akiwa na uraia wa Tanzania na UK, basi anaweza mua aproach mzungu mwenye hela kidogo lakini ulaya hawezi fanya lolote, ama akakopa bank za uzunguni anakuja kununua viazi na mihogo ama korosho, kahawa kwa mkulima kwa bei nzuri anakuja kuuza ulaya.
Bei ya bidhaa za Tanzania ulaya ni kama ifuatavyo.
1. Viazi (viazi kama viwili)vitamu kilo ni euro 10= = 20,000 Tsh
2. Ka papai kama nusu kilo euro 10== 20,000Tsh
3. Mhogo mtamu kilo euro 10 == 20,000
4. embe dongo, ile mbaya kabisa eur 3, == 6 Tsh
5. Mchicha na mti wake wenye mbegu ambao bongo unaliwa na beberu la mbuzi, ni euro 5
6. limao kilo euro 5 == 10,000 tsh
7. Unga wa udaga(mhogo) mbaya kweli kutoka ghana == euro 5 kwa kilo
nk, nk ,nk