Tanzania not happy with UK visa being processed in Nairobi

Tanzania not happy with UK visa being processed in Nairobi

Kaka Watanzania walio wengi hapo UK wapo wapo tu kwa hiyo hawana chochote cha kusaidia,kwani ukitaka kusaidia sio lazimauwe na uraia wa nchi mbili,siokusema kuwa sababu upo Ulaya au kwingineko ndio umeula au una maisha mazuri kuliko wala vumbi

Sasa mkuu
Mtu atasaidia je wakati sio raia?
Mie ninachongelea hapa kimantiki ni hiki, tuseme wewe una uraia wa UK na TZ basi unaweka stores zako Tanzania, mfanyabiashara, anaadika contracts kwa store ya Tanzania na anaweka order bidhaa, kisha wewe unanunua na unaleta bidha kwa store yako ya Tanzania jamaa anapata bidhaa kwa wakati, na anaiuza kwa mlaji kwa bei nafuu maana hakukua na usumbufu na gharama ya maisha kwa mlaji mtanzania yanapungua.

Huyu Mtanzania aliyopo yopo kwa sasa UK, akiwa na uraia wa Tanzania na UK, basi anaweza mua aproach mzungu mwenye hela kidogo lakini ulaya hawezi fanya lolote, ama akakopa bank za uzunguni anakuja kununua viazi na mihogo ama korosho, kahawa kwa mkulima kwa bei nzuri anakuja kuuza ulaya.

Bei ya bidhaa za Tanzania ulaya ni kama ifuatavyo.
1. Viazi (viazi kama viwili)vitamu kilo ni euro 10= = 20,000 Tsh
2. Ka papai kama nusu kilo euro 10== 20,000Tsh
3. Mhogo mtamu kilo euro 10 == 20,000
4. embe dongo, ile mbaya kabisa eur 3, == 6 Tsh
5. Mchicha na mti wake wenye mbegu ambao bongo unaliwa na beberu la mbuzi, ni euro 5
6. limao kilo euro 5 == 10,000 tsh
7. Unga wa udaga(mhogo) mbaya kweli kutoka ghana == euro 5 kwa kilo
nk, nk ,nk
 
Tusikubali kupuuzwa ndio maana wanalazimisha tukubali ushoga. Tuachane nao kibiashara twende china kwa watu wenye kujua maana ya heshima.

Utaendelea tu kubadilisha mpaka umalize Dunia nzima mpaka ujifunze kujithamini ndio wengine watakuthamini, hata huko Uchina watakuita Nyani tu na kukutupia ndizi, sasa sijui utabadilishia wapi tena...
 
Sasa mkuu
Mtu atasaidia je wakati sio raia?
Mie ninachongelea hapa kimantiki ni hiki, tuseme wewe una uraia wa UK na TZ basi unaweka stores zako Tanzania, mfanyabiashara, anaadika contracts kwa store ya Tanzania na anaweka order bidhaa, kisha wewe unanunua na unaleta bidha kwa store yako ya Tanzania jamaa anapata bidhaa kwa wakati, na anaiuza kwa mlaji kwa bei nafuu maana hakukua na usumbufu na gharama ya maisha kwa mlaji mtanzania yanapungua.

Huyu Mtanzania aliyopo yopo kwa sasa UK, akiwa na uraia wa Tanzania na UK, basi anaweza mua aproach mzungu mwenye hela kidogo lakini ulaya hawezi fanya lolote, ama akakopa bank za uzunguni anakuja kununua viazi na mihogo ama korosho, kahawa kwa mkulima kwa bei nzuri anakuja kuuza ulaya.

Bei ya bidhaa za Tanzania ulaya ni kama ifuatavyo.
1. Viazi (viazi kama viwili)vitamu kilo ni euro 10= = 20,000 Tsh
2. Ka papai kama nusu kilo euro 10== 20,000Tsh
3. Mhogo mtamu kilo euro 10 == 20,000
4. embe dongo, ile mbaya kabisa eur 3, == 6 Tsh
5. Mchicha na mti wake wenye mbegu ambao bongo unaliwa na beberu la mbuzi, ni euro 5
6. limao kilo euro 5 == 10,000 tsh
7. Unga wa udaga(mhogo) mbaya kweli kutoka ghana == euro 5 kwa kilo
nk, nk ,nk

Hauna Jipya huo ni uvivu tu tulionao Waafrika na kutafuta visingizio visivyo na maana, wawekezaji wakubwa TZ ni watu wasio na Uraia wa TZ, sasa wao wamewezaje, ili hali ushindwe eti mpaka upate Uraia pacha?

 
Hauna Jipya huo ni uvivu tu tulionao Waafrika na kutafuta visingizio visivyo na maana, wawekezaji wakubwa TZ ni watu wasio na Uraia wa TZ, sasa wao wamewezaje, ili hali ushindwe eti mpaka upate Uraia pacha?

Je unajua hao wawekezaji wanapewa mikopo na bank za Tz hapo hapo? sasa na wewe katafute mkopo kwenye bank za hapo Tanzania ili uwekeze. Na ambao hawachukui mkopo basi, ni makampuni ya akina Bush, Daudi Cameroon.

Na ndiyo maana JK hatulii anaitwa huku na huku, anaabiwa na Daudi hii kampuni inahitaji tenda, akirudi kwa Obama napo anambiwa wape symbion tenda, akirudi kwa wachina wape hii tenda. Hao wageni unaowaita wengi wao ni kizungu macho tu, ukiwaangalia kwa undani ni makampuni ya serikali za nchi zao.
Sasa wewe endelea kujilinganisha nao tu, eti ukihoji wameweza je?
 
Embassies nyingi zitafuata nyayo za UK. Mkitaka viza lazima iwe processed Nairobi. All visa application processing in EAC will be consolidated to Nairobi regional office.
It's a business decision. Beside, Nairobi offers strategic location and that's why it's been a major regional hub for a lot of UN and multinational corporations as opposed to Dar, Kigali or Kampala
 
KAMA VIPI HIYO OFFICE YAO WAFUNGE TUU TUJUE MOJA KWAMBA WAPO NAIROBI KAMA UNATAKA VISA DO IT ONLINE,COLLECT YA PASS TO NAIROBI NENDA UK.MAANA SIONI FAIDA YA HIYO COMMISSION YAO KUWEPO KAMA HAWATOI VISA.MBONA BABA YAO USA ANATOA VISA HAPAHAPA SEMBUSE UK..ni mawazo yangu tuu
 
Watuachie US Embassy inatutosha.

tena tuibadilishe policy yetu ya kuwapa visa Wamarekani....tuwape miaka mitano ili na wao wawape watu wetu miaka mitano....itapunguza sana gharama kwa wafanyabiashara wetu wanaokwenda US na pia tuta-attract Watalii kutoka US kuja Tanzania.....tourists kutoka US huwa wana-spend sana.....sio kama tourists kutoka UK.........tuachane na hii miingereza........kwanza ilishaacha kuleta ndege zao hapo Dar.....BA landing ni Kenya na Uganda.....
 
Hivi hii haitakuwa na negative impact katka utalii? Anaejua pls.

Kwanini iwe na NEGATIVE IMPACT katika Watalii???

Wakati inawahusu sisi WABONGO tukitaka kwenda UINGEREZA na sio WAO ...
 
Kwani ni visa tuu?? BA sasa hivi hawatui JKN.....kiufupi waingereza hawaithaminishi Tz ukilinganisha na kenya na hii ni sababu ya historia tu...Waingereza hawakuitawala Tz ni walipewa na UNO after WW2...hili la Daud kumuita JK ni kwamba waingereza ni wajanja wanaitaka hio gesi na mafuta yapewe makampuni yao BP na Shell.
 
Kwani ni visa tuu?? BA sasa hivi hawatui JKN.....kiufupi waingereza hawaithaminishi Tz ukilinganisha na kenya na hii ni sababu ya historia tu...Waingereza hawakuitawala Tz ni walipewa na UNO after WW2...hili la Daud kumuita JK ni kwamba waingereza ni wajanja wanaitaka hio gesi na mafuta yapewe makampuni yao BP na Shell.

Kwahiyo Kikwete ni dalali..Duh Tanzania Rais tumepata safari hii!!!
 
INAKERA SANA HASWA KUPUUZWA NA KUTOTHAMINIWA KWA TANZANIA,kuna haja ya kuwafanyia "kiburi" kidogo atleast ka mgomo baridi ili washituke waone walifanyalo sio sawa,"nguvu huna pesa huna basi hata mkwara ukushinde"
 
INAKERA SANA HASWA KUPUUZWA NA KUTOTHAMINIWA KWA TANZANIA,kuna haja ya kuwafanyia "kiburi" kidogo atleast ka mgomo baridi ili washituke waone walifanyalo sio sawa,"nguvu huna pesa huna basi hata mkwara ukushinde"

Ndio ukubwa huo mkuu
 
Dual citizenship. Nyie mna watanzania wengi UK ila hawawezi kurudi waishajilipua, akirudi bongo analipa visa kama mgeni, wakati wakenya wanarudi na passport mbili ya Kenya na UK, hivyo mzunguko mkubwa wa abiria huko kenya.

Mtanzania akirudi likizo toka UK inabidi sijui akaombe tena visa kama hakujilipua ili apate gamba la mbritish. Anaamua kubaki UK amalize kilichompeleka arudi bongo aangaike.
 
Embassies nyingi zitafuata nyayo za UK. Mkitaka viza lazima iwe processed Nairobi. All visa application processing in EAC will be consolidated to Nairobi regional office.

Sentensi yako niliyoweka bold imekuwa general sana mkuu.
Sio kila Ubalozi wa Ulaya unataka kuweka huduma zake za viza Nairobi Kenya, wengine wanafikiria kinyume chake. Kutokana na suala la usalama mdogo na vurugu za kisiasa nchini Kenya, nchi nyingi zinapanga kuhamishia kazi zake Tanzania. Norway wana mpango wa kufunga Ubalozi wake Kenya, na kuhamishia shughuli zote Dar, ambako ndiko wana process viza za Comoro na maeneo ya jirani mpaka sasa. The same with Sweden.
 
"Vi taifa masikini ni kama wanawake waliovaa nusu uchi, wanawatia majaribuni wenye nia ovu."

JK Nyerere.
 
Kwani hili la visa nairobi ni jipya...mbona limeanza zaidi ya miaka 4 ilopita?

Hata ukitaka kwenda Netherlands visa inakuwa processed South Africa...nilidhani ni sababu ya financial crisis ilowakumba.

Kikubwa visa utapata kama una vigezo; ila usumbufu pekee ni lazima uwahi kwa kuwa inachukua muda zaidi
 
Kuna rafiki yangu mmoja mBrazil alinichekesha...alisema US kwa maringo yao na kiburi waliwapa masharti wa Brazil wanaotaka kusafiri kwenda US lazima wawe fluent kwenye kingereza...na wao wakajibu mapigo wakasema raia wa US anayetaka Visa ya Brazil lazima aongee kireno....


tena tuibadilishe policy yetu ya kuwapa visa Wamarekani....tuwape miaka mitano ili na wao wawape watu wetu miaka mitano....itapunguza sana gharama kwa wafanyabiashara wetu wanaokwenda US na pia tuta-attract Watalii kutoka US kuja Tanzania.....tourists kutoka US huwa wana-spend sana.....sio kama tourists kutoka UK.........tuachane na hii miingereza........kwanza ilishaacha kuleta ndege zao hapo Dar.....BA landing ni Kenya na Uganda.....
 
Kweli Watz (Waafrika Kusini Mwa Sahara) tuna Akili (IQ) Ndogo sana, yaani tunalazimisha Waingereza Kututhamini? Hakuna jinsi ya kuelezea hili zaidi ya Kuwa na IQ ndogo, ktk Dunia hii hili Utalisikia Afrika kwetu tu, Hata Wasomali na Waethjiopia ambao wana IQ kubwa kuliko sisi hawawezi kulalamikia Upuuzi wa Kuthaminiwa na Binadamu mwenzao kama sisi Ngedere!
 
Back
Top Bottom