Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
Sisi hatujashikiwa akili kama nyie ambao mzungu akisema basi ni kama sheria. Sisi wataalam wetu wanajua kwamba changamoto ya kupumua haisababishi na uviko-19 pekee. Kuna magonjwa mengi sana yanayosababisha changamoto za upumuaji, na ndiyo maana ventilator hazijaanza kipindi cha uviko-19. zilianza muda mrefu. Ukitaka kujua magonjwa nitafute kwa muda wako.
😂 😂 😂 😂 msijali wadau. akili zetu hapa tz tumepekua tukamkabidhi store keeper!! tatizo la kupumua ni corona lakini hatuwezi tukatamka mpaka mfalme wetu akubali kwanza!!

1614174013592.png
 

Kuna tetesi kuwa tayari keshatangulia mbele ya haki. Ikiwa ni kweli, Mola ailaze roho yake mahali pema.


Wewe ni mchawi?
Kwa Nini unaendeleza tetesi ambazo hazina ushahidi, wakati mmoja kati ya viongozi wakubwa wa nchi amesema yuko salama na anaendelea kutimiza majukumu yake!!!?

Kati ya hizo tetesi na kauli ya waziri mkuu, nani wa kuaminiwa?
 
Wewe ni mchawi?
Kwa Nini unaendeleza tetesi ambazo hazina ushahidi, wakati mmoja kati ya viongozi wakubwa wa nchi amesema yuko salama na anaendelea kutimiza majukumu yake!!!?

Kati ya hizo tetesi na kauli ya waziri mkuu, nani wa kuaminiwa?
Don't kill the messenger.
Mbona hili jambo ndogo tu? Rais ajitokeze tu na taharuki iwaishie.
Rais ni taasisi. You have a right to know about his wellbeing, sio Waziri Mkuu kusimama na kusema eti yuko mahali anaendelea na majukumu yake! Wapi? Yupo na nani?
 
Don't kill the messenger.
Mbona hili jambo ndogo tu? Rais ajitokeze tu na taharuki iwaishie.
Rais ni taasisi. You have a right to know about his wellbeing, sio Waziri Mkuu kusimama na kusema eti yuko mahali anaendelea na majukumu yake! Wapi? Yupo na nani?

Bro, I don't know how to put it so as we get into the same metro.
Umesema rais ni taasisi, hiyo ni kweli kabisa. Kwa maana ni mamlaka, hivyo anaweza kuamka mwenyewe kufanya jambo, au anaweza kukasimu madaraka kwa mwingine atende jambo hilo. Sasa kumpa jukumu hilo waziri mkuu hakuna wa kuingilia wala wa kumpinga. Pia kumpangia.
Kitu ninachokushauri wewe kama muungwana. Wakati siku zote ndiye muamuzi. Ikiwa kweli itajulikana na ikiwa siyo kweli itajulikana. Wacha tujipe muda. Tuendelee kuchapakazi.
 
Don't kill the messenger.
Mbona hili jambo ndogo tu? Rais ajitokeze tu na taharuki iwaishie.
Rais ni taasisi. You have a right to know about his wellbeing, sio Waziri Mkuu kusimama na kusema eti yuko mahali anaendelea na majukumu yake! Wapi? Yupo na nani?
Huyu ni rais wetu, ninyi hamuhusiki na lolote kuhusu rais wetu, sisi mfumo wa utoaji taarifa kwa wananchi ni tofauti na kwenu, tumeridhika na maelezo ya Prime Minister, wewe ni nani kutupangia jinsi ya kuongoza nchi yetu?, haiwezikani hata siku moja adui yako namba moja kukupangia njia bora ya kuishi.
 
Mkuu, hivi karibuni tutajua mpumbavu ni nani. Yetu macho.
Nitaregea apa. Nitakukumbusha haya
Hii sio mara ya kwanza kwa wakenya kuvumisha mambo mabaya dhidi ya Tanzania, ninyi mko na wivu sana, sasa hivi Tanzania na Magufuli ndio gumzo duniani, mnapatwa na wivu mkaona bora kupenyeza jina la Kenya kupitia kwa Magufuli ili Kenya nayo Iwe gumzo. Hivi kwa akili yako Magufuli anaweza kwenda kutibiwa nje ya nchi, hata Europe hawezi kubali, vipi akubali kuja Kenya ambako Hospital zake zinazidiwa na Tanzania?
 
Hii sio mara ya kwanza kwa wakenya kuvumisha mambo mabaya dhidi ya Tanzania, ninyi mko na wivu sana, sasa hivi Tanzania na Magufuli ndio gumzo duniani, mnapatwa na wivu mkaona bora kupenyeza jina la Kenya kupitia kwa Magufuli ili Kenya nayo Iwe gumzo. Hivi kwa akili yako Magufuli anaweza kwenda kutibiwa nje ya nchi, hata Europe hawezi kubali, vipi akubali kuja Kenya ambako Hospital zake zinazidiwa na Tanzania?
As usual, making it a Tz vs Ke affair!
Choose your battles wisely, Sir!
Wanaoposti habari hizi ni Watz wenzako mle Twitter. Fika huko waambie wanapotosha.
 
As usual, making it a Tz vs Ke affair!
Choose your battles wisely, Sir!
Wanaoposti habari hizi ni Watz wenzako mle Twitter. Fika huko waambie wanapotosha.
Ninyi wakenya ni wapuuzi sana, ona jinsi mnavyosambaza ujinga mitandaoni
Conrad Nkutu

This Magufuli story is intriguing and I am deep into uncertainty territory. My Kenyan sources cannot confirm but are hinting that the President may have died in yesterday in Nairobi and that an operation was/ is underway to covertly fly his body back to Dar before an announcement is made. Media friends in Nairobi are reporting unusual activity at the Tz High Commission and Daily Nation leadership remains very confident that he’s been in Nairobi Hospital
 
According to stupid Kenyans like you, is already dead in Nairobi, pumbavu sana ninyi.

Kwa sababu Magufuli amekua gumzo duniani, mnajaribu kupenyeza jina la Kenya ili kuipandisha hadhi nchi yenu ambayo inazidi kuporomaka heshima yake duniani.

Magufuli hawezi kuletwa katika Hospitals Mbovu za Kenya wakati Tanzania tuna Hospital bora kuliko ninyi, ninyi mtatibu vichaa kama Tundu Lisu ambaye ndiyenayeshabikia, lolote analosema Lissu, wakenya mnalipa ushabiki wa kijinga
 
As usual, making it a Tz vs Ke affair!
Choose your battles wisely, Sir!
Wanaoposti habari hizi ni Watz wenzako mle Twitter. Fika huko waambie wanapotosha.

Bro mbona mimi nakuona wewe ni muelewa sana?? Waziri mkuu kasema hivi, tetesi zinasema vile. Kwa nini usiende na kitu hakika na amini, bado unabaki kuchagua tetesi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom