babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,218
- 27,751
Hahaha umenikumbusha yule dada mkambz na yule mutahiKwa nini hamtangazi kama mashindano siku hizi?
Hahaha umenikumbusha yule dada mkambz na yule mutahiKwa nini hamtangazi kama mashindano siku hizi?
Mkuu, nzige wapo. Ulikataa Corona, ukaumbuka. Hao nzige sasa!Mbona hushangai nzige kuvamia nchi za EA kasoro Tanzania!
Mbona hushangai nchi za EA kuwa na ukabila kasoro Tanzania!
Wewe nawe lipi huelewi? Data mbona ipo tu ukitaka? Ama hadi upikiwe na ulishwe?Kwa nini hamtangazi kama mashindano siku hizi?
Kwahiyo?Mkuu, nzige wapo. Ulikataa Corona, ukaumbuka. Hao nzige sasa! View attachment 1710875
Usijitie HAMNAZO 😅Kwahiyo?
So ulitaka niseme nzige walikuwepo kipindi kile wakati hawakuwepo?Usijitie HAMNAZO
Umesahau Nchi teule? Kwani mlikosea Muumba tena? Kawaletea Corona na Nzige?So ulitaka niseme nzige walikuwepo kipindi kile wakati hawakuwepo?
Umeshindwa kujibu nilichokuuliza?Umesahau Nchi teule? Kwani mlikosea Muumba tena? Kawaletea Corona na Nzige?
So ulitaka niseme nzige walikuwepo kipindi kile wakati hawakuwepo?
Jibu ni kwamba mnawaogopa mabeberuJibu swali.
Nchi teule!!sisi hatukuikomboa afrika ndio manake tumetelekezwa..Umeshindwa kujibu nilichokuuliza?
Pumbaf.
Nzige wametinga kambi huko kwao kw sasaUmesahau Nchi teule? Kwani mlikosea Muumba tena? Kawaletea Corona na Nzige?
Wewe nawe lipi huelewi? Data mbona ipo tu ukitaka? Ama hadi upikiwe na ulishwe?View attachment 1710879
Meza basi. Kwa vile hutaki kuchoka.
Jibu ni kwamba mnawaogopa mabeberu
Kubalinkwanza mnawaogopa mabeberu licha ya kelele zote zile mkiwa chattlePumbaf, jibu swali.
Kwhyo turkana tv wanazo simu hawanaWee hizi data unafikiri mtu wa pokot au kibera ataziona hizi. Tunataka kuona yule aliyekuwa anasimama mbele ya makamera.
Ikiwa huzitaki kutoka kwenye tovuti, redio na runinga pia data unapata.Wee hizi data unafikiri mtu wa pokot au kibera ataziona hizi. Tunataka kuona yule aliyekuwa anasimama mbele ya makamera.
Mpuuzi hyo,Ikiwa huzitaki kutoka kwenye tovuti, redio na runinga pia data unapata.
Fungulia chaneli ya Kenya leo saa moja jioni. As I told you earlier, every Kenyan has a right to information!
Inakaa Mungu wa nchi "teule" kawatelekeza.Umeshindwa kujibu nilichokuuliza?
Pumbaf.