Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
According to stupid Kenyans like you, is already dead in Nairobi, pumbavu sana ninyi.

Kwa sababu Magufuli amekua gumzo duniani, mnajaribu kupenyeza jina la Kenya ili kuipandisha hadhi nchi yenu ambayo inazidi kuporomaka heshima yake duniani.

Magufuli hawezi kuletwa katika Hospitals Mbovu za Kenya wakati Tanzania tuna Hospital bora kuliko ninyi, ninyi mtatibu vichaa kama Tundu Lisu ambaye ndiyenayeshabikia, lolote analosema Lissu, wakenya mnalipa ushabiki wa kijinga

Bro I second you. Labda hata wangesema Zimbabwe au South Afrika au hata China.
 
Kwani ni mkenya ?....Watanzania wenzako ndo Wana vunjisha habari ila si wakenya .
Jamaa wanatutolea povu ungedhani sisi ndio tumeficha Rais wao. Wanasahau hizi habari zilianza na Lissu siku kadhaa zilizopita na hadi sasa there have been NO evidence tabled to prove him wrong!
Eti Kassim ametuambia Rais yuko sawa anaendelea na majukumu yake ya kujenga nchi! Kwani hawa watu huwa robots?
 
Huyu ni mtanzania mwenzako wala si mkenya

View attachment 1724498
Peleke ujinga wako, mnaanza kujisikia aibu baada ya kusambaza uvumi ambao tayari inaonekana imeshindwa kuichafua Tanzania, ni Kenya ndio iliyoongoza dunia kuomba watanzania wafe kwa wingi mwanzoni mwa Corona, media za Kenya zilishabikia sana na kutangaza kwamba maiti zimetapakaa barabarani, kwamba Tanzania itakua Italy ya East Africa,.

Sikiliza Mkenya mwenzenu anawashangaa jinsi mnavyoshabikia hizi habari
 
Jamaa wanatutolea povu ungedhani sisi ndio tumeficha Rais wao. Wanasahau hizi habari zilianza na Lissu siku kadhaa zilizopita na hadi sasa there have been NO evidence tabled to prove him wrong!
Eti Kassim ametuambia Rais yuko sawa anaendelea na majukumu yake ya kujenga nchi! Kwani hawa watu huwa robots?
Sikiliza huyu mama anavyoshangazwa na reactions za wakenya katika hili jambo, ninyi ni wivu unawasumbua.
 
Jamaa wanatutolea povu ungedhani sisi ndio tumeficha Rais wao. Wanasahau hizi habari zilianza na Lissu siku kadhaa zilizopita na hadi sasa there have been NO evidence tabled to prove him wrong!
Eti Kassim ametuambia Rais yuko sawa anaendelea na majukumu yake ya kujenga nchi! Kwani hawa watu huwa robots?
Sasa huyo aliyesema Magufuli ni mgonjwa (Lissu), ambaye wakenya mnamuamini kuliko waziri mkuu wa nchi, hiyo ni dalili ya wivu uliopitiliza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom