Tanzania nchi yangu, nimevumilia ila uzalendo unanishinda

Tanzania nchi yangu, nimevumilia ila uzalendo unanishinda

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
4,042
Reaction score
16,872
Moyo wangu unaniuma,
Najiona mwenye hatia,
Sina raha nalazimisha tabasamu,

Mimi Jack Daniel ni mwanachama wa chama cha mapinduzi Kwa miaka 23 mpaka leo hii.

Nakumbuka nilichukua kadi hii kwasababu kuu mbili,

Kwanza ilikuwa kujihakikishia ajira ya kudumu maana adui akikushinda nguvu mpishe.

Pili ilikuwa ni Sera za kiongozi aliyekuwepo awamu ile ya tatu akiwa kwenye muhula wa mwisho Sera zake nilikuwa nazikubali.

Maisha yanasonga kimtindo,siyo mabaya sana,wala siyo good life kivile,ila sifanani na wengine wengi umri umesogea,nimestaafu Kwa hiyari ili kujikeep busy na biashara zangu zaidi,hii imenipa Uhuru wa kwenda popote,bila bughdha japo serikalini bado nafanya kazi kila nikihitajika.
{Ama kweli UJUZI hauzeeki}

Kwakweli najivunia kuona licha ya kuretire lakini taasisi huniita na kunipa kazi ,haswa kutoa ushauri,kuwa frontline haswa kwenye project kubwa kwani umri wangu unaruhusu na wapo waliolaani Mimi kuacha kazi mapema kabla,lakini Nina sababu zangu binafsi huku ndugu,jamaa na familia yangu wakiridhia Kwa mioyo kunjufu.
all in all Tanzania ni sehemu nzuri ya kuishi kwani Kwa miaka mingi imenipa Uhuru na uwazi huku ikinionesha upendo na mshikamano wa kweli.

Lakini leooo nasikitika kuona,,,,,,,,

1.Waumini wa Kanisa la ufufuo na uzima wakiabudu nje ya Kanisa lao,hili limeniumiza mno

2.Lakini Chama cha demokrasia na maendeleo kukivuruga kwasababu zisizoeleweka ili kukufifisha kisifikie matarajio hili limeniumiza.

3.Taasisi kibao kuingiliwa,mamlaka zao,Leo natangaza hadharani hamtoniona tena nikishangilia Yanga yangu niliyoipenda tangu utotoni sababu nazijua Mimi,kiufupi sitaki mpira wa kibongo.

4.Mimi ni mfuasi wa dini ya kikristo , Roman Catholic na tangu utotoni nilifundishwa kuheshimu taratibu na Sheria za dini na madhehebu mengine.

5.Nakiri wazi Leo hii CCM kuna namna siikubali yaani karibu 40% Imani yangu imeshuka kwenye hiki Chama.

MUNGU ibariki Tanzania,
MUNGU ibariki Africa.
 
Haya mambo hakika yanasikitisha sana. . Natumaini serikali yetu sikivu itayafanyia kazi hayo mapungufu.
 
images (27).jpeg
 
Moyo wangu unaniuma,
Najiona mwenye hatia,
Sina raha nalazimisha tabasamu,

Mimi Jack Daniel ni mwanachama wa chama cha mapinduzi Kwa miaka 23 mpaka leo hii.

Nakumbuka nilichukua kadi hii kwasababu kuu mbili,

Kwanza ilikuwa kujihakikishia ajira ya kudumu maana adui akikushinda nguvu mpishe.

Pili ilikuwa ni Sera za kiongozi aliyekuwepo awamu ile ya tatu akiwa kwenye muhula wa mwisho Sera zake nilikuwa nazikubali.

Maisha yanasonga kimtindo,siyo mabaya sana,wala siyo good life kivile,ila sifanani na wengine wengi umri umesogea,nimestaafu Kwa hiyari ili kujikeep busy na biashara zangu zaidi,hii imenipa Uhuru wa kwenda popote,bila bughdha japo serikalini bado nafanya kazi kila nikihitajika.
{Ama kweli UJUZI hauzeeki}

Kwakweli najivunia kuona licha ya kuretire lakini taasisi huniita na kunipa kazi ,haswa kutoa ushauri,kuwa frontline haswa kwenye project kubwa kwani umri wangu unaruhusu na wapo waliolaani Mimi kuacha kazi mapema kabla,lakini Nina sababu zangu binafsi huku ndugu,jamaa na familia yangu wakiridhia Kwa mioyo kunjufu.
all in all Tanzania ni sehemu nzuri ya kuishi kwani Kwa miaka mingi imenipa Uhuru na uwazi huku ikinionesha upendo na mshikamano wa kweli.

Lakini leooo nasikitika kuona,,,,,,,,

1.Waumini wa Kanisa la ufufuo na uzima wakiabudu nje ya Kanisa lao,hili limeniumiza mno

2.Lakini Chama cha demokrasia na maendeleo kukivuruga kwasababu zisizoeleweka ili kukufifisha kisifikie matarajio hili limeniumiza.

3.Taasisi kibao kuingiliwa,mamlaka zao,Leo natangaza hadharani hamtoniona tena nikishangilia Yanga yangu niliyoipenda tangu utotoni sababu nazijua Mimi,kiufupi sitaki mpira wa kibongo.

4.Mimi ni mfuasi wa dini ya kikristo , Roman Catholic na tangu utotoni nilifundishwa kuheshimu taratibu na Sheria za dini na madhehebu mengine.

5.Nakiri wazi Leo hii CCM kuna namna siikubali yaani karibu 40% Imani yangu imeshuka kwenye hiki Chama.

MUNGU ibariki Tanzania,
MUNGU ibariki Africa.

Amina ndugu. umeongea kwa hisia kali, binafsi nimekuelewa.

Mungu atatenda jambo ambalo dunia nzima itashangaa. Kanisa ni habari nyingine. Mamlaka za kidunia haziwezi kushindana na mamlaka ya mbinguni. kamwe! yetu macho na masikio.
 
Huna haja ya kulalamika maana asilimia 60 bado unaiamini CCM, endelea kuiamini tu.
Mimi ndiyo mwenye maamuzi kwenye kila kitu CCM ni jina na haliwezi kukwepeka.

Hupaswi kuichukia chupa ya pombe ,wakati Ile ni glass au plastic tu,unachotakiwa kukichukia ni kile kimiminika
 
Kazi ni ngumu sna hii. Nitabakia kuwa mwanachama wa Chama Changu- CCM. Ila matendo ambayo yamekua yakifanyika kuanzia 2023-2025 siungi Mkono. Siku moja Mungu akijalia nitachukuaga fomu kugombea Ubungebila kwa sasa hali ni mbaya sana ndani kwetu.
 
amani ya nchi ni muhimu kulindwa kwa namna yoyote kwani haina mbadala

october tukaweke vema
 
Kazi ni ngumu sna hii. Nitabakia kuwa mwanachama wa Chama Changu- CCM. Ila matendo ambayo yamekua yakifanyika kuanzia 2023-2025 siungi Mkono. Siku moja Mungu akijalia nitachukuaga fomu kugombea Ubungebila kwa sasa hali ni mbaya sana ndani kwetu.
We Acha tu mkuu
 
Moyo wangu unaniuma,
Najiona mwenye hatia,
Sina raha nalazimisha tabasamu,

Mimi Jack Daniel ni mwanachama wa chama cha mapinduzi Kwa miaka 23 mpaka leo hii.

Nakumbuka nilichukua kadi hii kwasababu kuu mbili,

Kwanza ilikuwa kujihakikishia ajira ya kudumu maana adui akikushinda nguvu mpishe.

Pili ilikuwa ni Sera za kiongozi aliyekuwepo awamu ile ya tatu akiwa kwenye muhula wa mwisho Sera zake nilikuwa nazikubali.

Maisha yanasonga kimtindo,siyo mabaya sana,wala siyo good life kivile,ila sifanani na wengine wengi umri umesogea,nimestaafu Kwa hiyari ili kujikeep busy na biashara zangu zaidi,hii imenipa Uhuru wa kwenda popote,bila bughdha japo serikalini bado nafanya kazi kila nikihitajika.
{Ama kweli UJUZI hauzeeki}

Kwakweli najivunia kuona licha ya kuretire lakini taasisi huniita na kunipa kazi ,haswa kutoa ushauri,kuwa frontline haswa kwenye project kubwa kwani umri wangu unaruhusu na wapo waliolaani Mimi kuacha kazi mapema kabla,lakini Nina sababu zangu binafsi huku ndugu,jamaa na familia yangu wakiridhia Kwa mioyo kunjufu.
all in all Tanzania ni sehemu nzuri ya kuishi kwani Kwa miaka mingi imenipa Uhuru na uwazi huku ikinionesha upendo na mshikamano wa kweli.

Lakini leooo nasikitika kuona,,,,,,,,

1.Waumini wa Kanisa la ufufuo na uzima wakiabudu nje ya Kanisa lao,hili limeniumiza mno

2.Lakini Chama cha demokrasia na maendeleo kukivuruga kwasababu zisizoeleweka ili kukufifisha kisifikie matarajio hili limeniumiza.

3.Taasisi kibao kuingiliwa,mamlaka zao,Leo natangaza hadharani hamtoniona tena nikishangilia Yanga yangu niliyoipenda tangu utotoni sababu nazijua Mimi,kiufupi sitaki mpira wa kibongo.

4.Mimi ni mfuasi wa dini ya kikristo , Roman Catholic na tangu utotoni nilifundishwa kuheshimu taratibu na Sheria za dini na madhehebu mengine.

5.Nakiri wazi Leo hii CCM kuna namna siikubali yaani karibu 40% Imani yangu imeshuka kwenye hiki Chama.

MUNGU ibariki Tanzania,
MUNGU ibariki Africa.
Haichukui Nafasi ya Daktari......lakini...
 
Back
Top Bottom