Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,188
- 1,898
Kwa sasa ni lazima tupite nchi moja kwa barabara ili tufike Congo, hiyo reli itakuwa haina maana kama bado tutategemea Burundi kufika Congo. Nasikia kuna njia ya barabara huko Rukwa ya kufika Congo moja kwa moja, kwanini isijengwe hio?Hapo unakuwa umeilenga kongo sio burundi kama ilivoanishwa