Joachim Morgan
Member
- Sep 21, 2011
- 58
- 15
Kwa kweli bila kujuana na mtu katika hii nchi kupata ajira ni ngumu hakuna mfano. Usione jamaa wanafanya kazi alafu unaambiwa nilituma maombi tu nikaitwa kwenye usaili wengi ni waongo ila walishikwa mikono na jamaa au rafiki zao.
Kwa nilioshuhudia wamepita kwa njia nilioeleza hapo juu.
1. Mwaka jana mwezi wa 4 nilifanya usaili nikaambiwa nilete barua za wadhamini ili nisaini mkataba wa kazi baada ya kukamilisha kila kitu nikaambia utakuja J5 kusaini mkataba, J4 nikapigiwa nisubiri mpaka nitakapopigiwa tena ninaendelea kusubiri mpaka leo.
2. Nimefanya usaili bosi kanitumia email niende kuripoti kazini kesho saa 2 nimeona ujumbe kesho mchana bosi kasema sko makini washaweka mtu mwingine.
3. Usaili umeisha nimepigishwa mihuri kwa wanasheria, nimechukuliwa alama za vidole nikaambiwa utaambiwa baada ya siku chache ili uanze kazi mpaka leo.
Bongo nimewakubali.
Kwa nilioshuhudia wamepita kwa njia nilioeleza hapo juu.
1. Mwaka jana mwezi wa 4 nilifanya usaili nikaambiwa nilete barua za wadhamini ili nisaini mkataba wa kazi baada ya kukamilisha kila kitu nikaambia utakuja J5 kusaini mkataba, J4 nikapigiwa nisubiri mpaka nitakapopigiwa tena ninaendelea kusubiri mpaka leo.
2. Nimefanya usaili bosi kanitumia email niende kuripoti kazini kesho saa 2 nimeona ujumbe kesho mchana bosi kasema sko makini washaweka mtu mwingine.
3. Usaili umeisha nimepigishwa mihuri kwa wanasheria, nimechukuliwa alama za vidole nikaambiwa utaambiwa baada ya siku chache ili uanze kazi mpaka leo.
Bongo nimewakubali.