Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,850
- 37,562
Huo ndo ukweli ila co kweli. Ukweli unaelezeka kwa wanadamu ni hali halisi ambayo tunakutana nayo yan ndvyo inavyotokea. Kweli ipo kwa Mungu hata kama huna unaemjua yupo Mungu anaekujua tangu ulipozaliwa mpk mwisho hvyo mafankio co kaz ya CRDB,NMB au BANDARI mana hayo ni maeneo ambayo graduates wengi 2napenda 2we huko lakin ha2mo . UBATILI MTUPU yupo Mungu wa wanyonge atatupigania 2tapata kaz hata kama cna ndugu ninayemwamin hajawah kuniacha hataniacha mpk mwisho Ipo cku 2tafika .
Hiyo ndo hali halisi,bisha usibishe,bt cha msingi,sema tumtegemee Mungu basi.