Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Kama ni hivyo basi jeshi nalo liko juu ya serikali maana laweza kumuondoa raisi na hata kumkata masikio kama walivyo fanya kwa Samwel Doe.
Mihimili ni mitatu na kila mmoja una nguvu yake kulingana na katiba na sheria, ndio maana Bunge laweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na kumuondoa Rais madarakani na hayo yamefanyika sana kwenye nchi zilizo starabika.
Mahakama nayo mbona ina nguvu za kuzuia utekelezaji wa maamuzi ya serikali.
Mihimili ni mitatu na kila mmoja una nguvu yake kulingana na katiba na sheria, ndio maana Bunge laweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na kumuondoa Rais madarakani na hayo yamefanyika sana kwenye nchi zilizo starabika.
Mahakama nayo mbona ina nguvu za kuzuia utekelezaji wa maamuzi ya serikali.