Tanzania: Mihimili mitatu ya Dola na mwingiliano unaokanganya

Kama ni hivyo basi jeshi nalo liko juu ya serikali maana laweza kumuondoa raisi na hata kumkata masikio kama walivyo fanya kwa Samwel Doe.
Mihimili ni mitatu na kila mmoja una nguvu yake kulingana na katiba na sheria, ndio maana Bunge laweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na kumuondoa Rais madarakani na hayo yamefanyika sana kwenye nchi zilizo starabika.
Mahakama nayo mbona ina nguvu za kuzuia utekelezaji wa maamuzi ya serikali.
 
!
!
Ni Kweli Kabisa. Selikali Iko Juu Ya Mihimili Mingine Yote. Selikali Inaweza Kuwepo Bila Uwepo Wa Bunge Au Mahakama. Lakini Bunge Au Mahakama Haviwezi Kuwepo Bila Selikali.
Mfano Selikali Ikiamua Kukuacha Isikukamate Au Isikupeleke Jela Baada Ya Mahakama Kukutia Hatiani What Can Mahakama Do? Au Bunge Likitoa Mapendekezo Selikali Ikayapiga Chini What Can Bunge Do?

Sema raisi na sio serekali, maana hata Raisi inaonekana yupo juu ya serekali.
 
Kama ni hivyo basi jeshi nalo liko juu ya serikali maana laweza kumuondoa raisi na hata kumkata masikio kama walivyo fanya kwa Samwel Doe.
Mihimili ni mitatu na kila mmoja una nguvu yake kulingana na katiba na sheria, ndio maana Bunge laweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na kumuondoa Rais madarakani na hayo yamefanyika sana kwenye nchi zilizo starabika.
Mahakama nayo mbona ina nguvu za kuzuia utekelezaji wa maamuzi ya serikali.

Mkuu tunazungumzia katiba ujue,, au hilo la jshi lipo kwneye katiba ipi?
 
alichoandika ni upuuzi km ni nguvu jeshi ndyo wenye nguvu ndyo wenye uwezo wakukalia mabavu madaraka zote japokuwa na nguvu zao bado wanahitaji bunge na mahakama c hvyo tu bado ni waoga kwa wananch wao ndyo mana wanawatia hofu na wananch wanaweza wakazoea hofu mwishowe ikawa km libya egypt na tunisia
 
!
!
Ni Kweli Kabisa. Selikali Iko Juu Ya Mihimili Mingine Yote. Selikali Inaweza Kuwepo Bila Uwepo Wa Bunge Au Mahakama. Lakini Bunge Au Mahakama Haviwezi Kuwepo Bila Selikali.
Mfano Selikali Ikiamua Kukuacha Isikukamate Au Isikupeleke Jela Baada Ya Mahakama Kukutia Hatiani What Can Mahakama Do? Au Bunge Likitoa Mapendekezo Selikali Ikayapiga Chini What Can Bunge Do?
Kwahiyo unapenda serikali ya bunduki sio ya kura?
 
Imefika wakati Wanasheria muache kudanganya watu kwamba eti TZ Mihimili yote inategemeana na hakuna ulio na nguvu klk mwingine kama ni hivyo iweje Raisi wa JMTZ awe na uwezo wa kumtoa mtu Jela? Tena siajabu hata ana uwezo pia wa kuamua raia xyz aende Jela au iweje aweze kulivunja Bunge muda wowote amuapo na yeye kubakia kuwa Raisi wa nchi?

Hakuna kitu kama hicho, Raisi wa Tanzania Kikatiba yuko JUU ya Mihimili yote na vile vile JUU ya Sheria za JMTZ, acheni kudanganya watu na ndo maana tls na chadema hawampendi Raisi wetu lkn wako powerless, zaidi ya kukimbilia kwa Muzungu hakuna kingine mnaweza fanya ndani ya JMTZ, ...
Soma katiba ya nchi vizuri ili uelewe,,mamlaka ya bunge kwa rais na mamlaka ya rais kwa bunge,, rais hawezi kuvunja bunge alafu akaendelea kuwa rais wa nchi.
 
Kama ni hivyo basi jeshi nalo liko juu ya serikali maana laweza kumuondoa raisi na hata kumkata masikio kama walivyo fanya kwa Samwel Doe.
Mihimili ni mitatu na kila mmoja una nguvu yake kulingana na katiba na sheria, ndio maana Bunge laweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na kumuondoa Rais madarakani na hayo yamefanyika sana kwenye nchi zilizo starabika.
Mahakama nayo mbona ina nguvu za kuzuia utekelezaji wa maamuzi ya serikali.
Mkuu umeeleza vizuri sana. Lakini mleta uzi yeye ameangalia hali iliyoko sasa, jinsi Jiwe anavyoingilia mihimili mingine kama apendavyo. Hajui kwamba kinachoendelea sasa ni udikteta uchwara ambao usipodhibitiwa utakuwa kamili soon.
 
Sijui ibara gani lkn ndivyo Katiba inavyosema, nchi haiwezi kukaa bila ya Raisi na uraisi unakoma pale Raisi mpya anapoapishwa.
Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania linayomamlaka ya kumuondoa rais madarakani na uchaguzi mwingine ukaitishwa.
 
Mihimili ya dola iko mitatu kwa maana ya mamlaka.

Rais ni sehemu ya Bunge, kwa maana Bunge limegawanyika katika sehemu mbili:
1. Raisi
2. Bunge
Serikali hupeleka MSWAADA bungeni, unajadiliwa, unapitishwa, kisha kupelekwa kwa raisi kusainiwa ili uwe sheria. Raisi akigoma basi....

Raisi ana uwezo wa kuvunja Bunge. Bunge kiutendaji, hawana uwezo wa kumtoa Raisi madarakani.

Mahakama, kwa nadharia, ni mhimili. Kiutendaji, iko kwenye wizara ya katiba na sheria, hivyo unaweza kuona, chain of command kutoka Ofisi kuu inavyoathiri moja kwa moja utendaji wa huu mhimili mwingine.

Mkuu wa nchi ndio mkuu wa mihimili yote ya Dola.
Bunge linaweza kumtoa Rais madarakani kwa kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae.
 
Kwani raisi anapata wapi mawaziri?
Aliyekuita semi-illiterate hajakosea!


!
!
Matusi Au Kejeli Hazitusaidii Sana Mkuu. Nchi Inaweza Kwenda Bila Bunge Wala Mawaziri. Bunge Au Baraza La Mawaziri Linapovunjwa Selikali Huendelea Na Shughuli Zake Kama Kawaida, Huku Ikiandaa Na Kutkeleza Utaratibu Wa Kupata Bunge Lingine.
 
Back
Top Bottom