Kufanyike nini ili nchi iwe na mihimili mitatu halisia?

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,558
41,078
Kwa bahati mbaya sana nchi yetu imekuwa nchi bandia. Kila kitu ni bandia.

Serikali inaundwa kutokana na uchaguzi bandia, hivyo na yenyewe inakuwa serikali bandia.

Bunge linaundwa na wabunge bandia na wa mchongo. Wabunge ambao wengine wametokana na kura za wizi, wengine wametangazwa tu kuwa wabunge bila ya kupigiwa kura na mtu yeyote. Kwa hiyo bunge letu nalo ni bunge magumashi.

Mahakama zetu zinaundwa na majaji wanaoteuliwa na watawala bandia, waliotokana kupitia uchaguzi bandia, na kukifanya kitu kinachoitwa mahakama, kuwa ni idara tu ya Serikali bandia. Kwa kuwa ni idara tu ya Serikali bandia, utendaji wake siku zote hufuata tu maelekezo ya Serikali bandia.

Ndiyo maana, kwa Tanzania, siyo ajabu, mtawala akaagiza fulani akamatwe,awekwe na asipewe dhamana, na ikawa hivyo. Atakamatwa na kuwekwa ndani, kosa atatafutiwa akiwa ndani. Mtawala akitaka, wakati wowote, anaweza kuagiza fulani aachwe huru, na ikawa hivyo.

Ndiyo maana kuna watu walipewa kesi za uhujumu uchumi, wakawekwa ndani bila dhamana. Na kisha, mtawala alipopenda, wakaondolewa mashtaka dhidi yao. Baadaye tena, miongoni mwao, waliojaribu kuwakosoa watawala, wakarudishiwa tena kesi za uhujumu uchumi.

Hii nchi ni lini tutakuwa na kila kitu halisia, yaani Serikali halisia iliyotokana na matakawa halisia ya umma, Bunge lililohalisia lililotokana na mapenzi na maamuzi halisi ya umma, na Mahakama halisia iliyopatikana kwa matakwa ya umma?

Tutaendelea kuwa na mihimili bandia mpaka lini? Wapi pa kuanzia?

Mihimili bandia haina haki ya kuheshimiwa.
 
Watu mnashangaza sana maamuzi yakiwa upande wenu mnasifu na kuabudu, hakiwa nje ya matarajio yenu mnakasirika...

Hamkuwa na hoja ya maana, lile swala nyie ndo mmeenda bariki huko mahakamani.

Vumilieni tu, jengeni chama ili 2025 wabunge waingie wengi ili muweze pata mnachotaka

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Maamuzi ya kijinga kama yale hayawezi kushangiliwa na anayetumia akili zake vyema kutafakari.

Pale jaji anapojigeuza mtoa ushauri wa upande wa serikali waende kufanya marekebisho kwenye vifungu vilivyokosewa, badala ya kutoa amri kwamba mkataba ule ni batili kwasababu ya vifungu husika vilivyokosewa..

Ile hukumu ni ya kijinga na ya kitoto sana, ajabu imetolewa na jopo la majaji watatu, tena baada ya kujiongezea siku za kuitoa, aibu kubwa kabisa kwa mhimili wa mahakama kuu Tanzania.
 
Kwa bahati mbaya sana nchi yetu imekuwa nchi bandia. Kila kitu ni bandia.

Serikali inaundwa kutokana na uchaguzi bandia, hivyo na yenyewe inakuwa serikali bandia.

Bunge linaundwa na wabunge bandia na wa mchongo. Wabunge ambao wengine wametokana na kura za wizi, wengine wametangazwa tu kuwa wabunge bila ya kupigiwa kura na mtu yeyote. Kwa hiyo bunge letu nalo ni bunge magumashi.

Mahakama zetu zinaundwa na majaji wanaoteuliwa na watawala bandia, waliotokana kupitia uchaguzi bandia, na kukifanya kitu kinachoitwa mahakama, kuwa ni idara tu ya Serikali bandia. Kwa kuwa ni idara tu ya Serikali bandia, utendaji wake siku zote hufuata tu maelekezo ya Serikali bandia.

Ndiyo maana, kwa Tanzania, siyo ajabu, mtawala akaagiza fulani akamatwe,awekwe na asipewe dhamana, na ikawa hivyo. Atakamatwa na kuwekwa ndani, kosa atatafutiwa akiwa ndani. Mtawala akitaka, wakati wowote, anaweza kuagiza fulani aachwe huru, na ikawa hivyo.

Ndiyo maana kuna watu walipewa kesi za uhujumu uchumi, wakawekwa ndani bila dhamana. Na kisha, mtawala alipopenda, wakaondolewa mashtaka dhidi yao. Baadaye tena, miongoni mwao, waliojaribu kuwakosoa watawala, wakarudishiwa tena kesi za uhujumu uchumi.

Hii nchi ni lini tutakuwa na kila kitu halisia, yaani Serikali halisia iliyotokana na matakawa halisia ya umma, Bunge lililohalisia lililotokana na mapenzi na maamuzi halisi ya umma, na Mahakama halisia iliyopatikana kwa matakwa ya umma?

Tutaendelea kuwa na mihimili bandia mpaka lini? Wapi pa kuanzia?

Mihimili bandia haina haki ya kuheshimiwa.
Tuzichape tu. Mkiambiwa katiba mpya mnalia sukuma gang
 
Mimi siwezi kushangaa na wala staki kushangaa! Nahi nikwa sababu hakuna jambo jipya la kunifanya nishangae vituko vya nchi hii

Maana Aliye ongezewa muda wa bandia pindi muda wake ulipokwisha ndie mkuu wa kitengo bandia kiricho towa maamuzi bandia, Na bado tu hamshituki😵😵😵
 
Watu mnashangaza sana maamuzi yakiwa upande wenu mnasifu na kuabudu, hakiwa nje ya matarajio yenu mnakasirika...

Hamkuwa na hoja ya maana, lile swala nyie ndo mmeenda bariki huko mahakamani.

Vumilieni tu, jengeni chama ili 2025 wabunge waingie wengi ili muweze pata mnachotaka

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Umewahi kuona watu wakisifia mahakama kutenda haki? Watu huwa wanashangaa mahakama ikikosea na kutenda haki. Huwa nawaelewa sana wazungu wanapotumia mahakama za kimataifa, vinginevyo wangekosea na kutumia mahakama hizi za hapa nchini, wangekuwa wanashindwa kimizengwe kila siku. Wangalau kwa hapa east Africa mahakama ziko Kenya.

Huwa najiuliza sana hao mawakili wa serikali inakuwaje wakiwa hapa nchini wanashinda kila kesi kwa kuitetea serikali, lakini wakienda kwenye mahakama za nje lazima wapoteze?
 
Kwa bahati mbaya sana nchi yetu imekuwa nchi bandia. Kila kitu ni bandia.

Serikali inaundwa kutokana na uchaguzi bandia, hivyo na yenyewe inakuwa serikali bandia.

Bunge linaundwa na wabunge bandia na wa mchongo. Wabunge ambao wengine wametokana na kura za wizi, wengine wametangazwa tu kuwa wabunge bila ya kupigiwa kura na mtu yeyote. Kwa hiyo bunge letu nalo ni bunge magumashi.

Mahakama zetu zinaundwa na majaji wanaoteuliwa na watawala bandia, waliotokana kupitia uchaguzi bandia, na kukifanya kitu kinachoitwa mahakama, kuwa ni idara tu ya Serikali bandia. Kwa kuwa ni idara tu ya Serikali bandia, utendaji wake siku zote hufuata tu maelekezo ya Serikali bandia.

Ndiyo maana, kwa Tanzania, siyo ajabu, mtawala akaagiza fulani akamatwe,awekwe na asipewe dhamana, na ikawa hivyo. Atakamatwa na kuwekwa ndani, kosa atatafutiwa akiwa ndani. Mtawala akitaka, wakati wowote, anaweza kuagiza fulani aachwe huru, na ikawa hivyo.

Ndiyo maana kuna watu walipewa kesi za uhujumu uchumi, wakawekwa ndani bila dhamana. Na kisha, mtawala alipopenda, wakaondolewa mashtaka dhidi yao. Baadaye tena, miongoni mwao, waliojaribu kuwakosoa watawala, wakarudishiwa tena kesi za uhujumu uchumi.

Hii nchi ni lini tutakuwa na kila kitu halisia, yaani Serikali halisia iliyotokana na matakawa halisia ya umma, Bunge lililohalisia lililotokana na mapenzi na maamuzi halisi ya umma, na Mahakama halisia iliyopatikana kwa matakwa ya umma?

Tutaendelea kuwa na mihimili bandia mpaka lini? Wapi pa kuanzia?

Mihimili bandia haina haki ya kuheshimiwa.
20230810_135103.jpg
20230810_135048.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
P.w.Botha kasha wahi sema kwamba "mwafrika hawezi kujitawala"huyu bwana aliongea ukweli mchungu dhidi ya waafrika. Tanzania hakuna mahakama bali majengo yenye jina mahakama pia hakuna majaji bali nafasi ya cheo Cha ujaji.

"Ni mtu mjinga pekee ndio anaimani kwamba Tanzania Kuna separation of powers na check and balance"
 
Kwa bahati mbaya sana nchi yetu imekuwa nchi bandia. Kila kitu ni bandia.

Serikali inaundwa kutokana na uchaguzi bandia, hivyo na yenyewe inakuwa serikali bandia.

Bunge linaundwa na wabunge bandia na wa mchongo. Wabunge ambao wengine wametokana na kura za wizi, wengine wametangazwa tu kuwa wabunge bila ya kupigiwa kura na mtu yeyote. Kwa hiyo bunge letu nalo ni bunge magumashi.

Mahakama zetu zinaundwa na majaji wanaoteuliwa na watawala bandia, waliotokana kupitia uchaguzi bandia, na kukifanya kitu kinachoitwa mahakama, kuwa ni idara tu ya Serikali bandia. Kwa kuwa ni idara tu ya Serikali bandia, utendaji wake siku zote hufuata tu maelekezo ya Serikali bandia.

Ndiyo maana, kwa Tanzania, siyo ajabu, mtawala akaagiza fulani akamatwe,awekwe na asipewe dhamana, na ikawa hivyo. Atakamatwa na kuwekwa ndani, kosa atatafutiwa akiwa ndani. Mtawala akitaka, wakati wowote, anaweza kuagiza fulani aachwe huru, na ikawa hivyo.

Ndiyo maana kuna watu walipewa kesi za uhujumu uchumi, wakawekwa ndani bila dhamana. Na kisha, mtawala alipopenda, wakaondolewa mashtaka dhidi yao. Baadaye tena, miongoni mwao, waliojaribu kuwakosoa watawala, wakarudishiwa tena kesi za uhujumu uchumi.

Hii nchi ni lini tutakuwa na kila kitu halisia, yaani Serikali halisia iliyotokana na matakawa halisia ya umma, Bunge lililohalisia lililotokana na mapenzi na maamuzi halisi ya umma, na Mahakama halisia iliyopatikana kwa matakwa ya umma?

Tutaendelea kuwa na mihimili bandia mpaka lini? Wapi pa kuanzia?

Mihimili bandia haina haki ya kuheshimiwa.
Kuondoa katiba ya kifalme!!
 
Maamuzi ya kijinga kama yale hayawezi kushangiliwa na anayetumia akili zake vyema kutafakari.

Pale jaji anapojigeuza mtoa ushauri wa upande wa serikali waende kufanya marekebisho kwenye vifungu vilivyokosewa, badala ya kutoa amri kwamba mkataba ule ni batili kwasababu ya vifungu husika vilivyokosewa..

Ile hukumu ni ya kijinga na ya kitoto sana, ajabu imetolewa na jopo la majaji watatu, tena baada ya kujiongezea siku za kuitoa, aibu kubwa kabisa kwa mhimili wa mahakama kuu Tanzania.
Magufuli mtetezi wa wanyonge alisema hivi na mnukuu,serikali inamiimili 3 lakini muimili 1 imejichimbia chini zaidi ya mingine hiko juju tu Magufuli hoyeeeee
 
Umewahi kuona watu wakisifia mahakama kutenda haki? Watu huwa wanashangaa mahakama ikikosea na kutenda haki. Huwa nawaelewa sana wazungu wanapotumia mahakama za kimataifa, vinginevyo wangekosea na kutumia mahakama hizi za hapa nchini, wangekuwa wanashindwa kimizengwe kila siku. Wangalau kwa hapa east Africa ziko Kenya.

Huwa najiuliza sana hao mawakili wa serikali inakuwaje wakiwa hapa nchini wanashinda kila kesi kwa ya kuitetea serikali, lakini wakienda kwenye mahakama za nje lazima wapoteze?
Wakili mmoja kasha wahi sema kwamba serikali ina mawakili goigoi na inatokana na ukweli kwamba wakishindwa kesi hawakati rufaa bali kushauri mabadiliko ya sheria ili kuwa beba.

Sasa uko kwenye mahakama za kimataifa hakuna mbeleko ni kujenga hoja zenye mashiko,mzungu hawezi dhalilisha taalumu yake kwa mambo ya kijinga kama wafanyavyo waafrika.
 
Huwa najiuliza sana hao mawakili wa serikali inakuwaje wakiwa hapa nchini wanashinda kila kesi kwa ya kuitetea serikali, lakini wakienda kwenye mahakama za nje lazima wapoteze?
Wakiwa nchini wanafiata maelekezo. Ref: kauli ya Rostam Aziz. Huko nje ni sheria tu hakuna kupigiwa cm ya maelekezo.
 
TUCHAPANE.
Kila siku nikisema bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi tusahau nchi yetu kuwa na Muhimili huru. Naona watu huwa hawanieoe

Niliwaelewa sana cdm kutokwenda mahakamani uchaguzi wa 2020 baada ya dhalimu kuupora. Na CCM ndio walikuwa wanasema ambaye hajaridhika aende mahakamani, lengo ilikuwa ni kwenda mahakamani kisha mahakama ziamue kutokana na maagizo ya viongozi ionekane cdm walishindwa kihalali.
 
P.w.Botha kasha wahi sema kwamba "mwafrika hawezi kujitawala"huyu bwana aliongea ukweli mchungu dhidi ya waafrika.
Tanzania hakuna mahakama bali majengo yenye jina mahakama pia hakuna majaji bali nafasi ya cheo Cha ujaji.

"Ni mtu mjinga pekee ndio anaimani kwamba Tanzania Kuna separation of powers na check and balance"
Watawala wa Tanzania wanajivunia uwezo wao wa kuwahadaa watu na uwezo wa kuwanyamazisha. Badala ya kuwa viongozi wamekuwa maharamia wanaotumia siasa kugandamiza haki na maslahi ya wananchi na Taifa.
 
Back
Top Bottom