BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,377
- 8,121
Amesema ili kuwepo kwa Uwajibikaji na Utawala Bora lazima kuwena Vigezo ambavyo ni Mtoa Dhamana anayeiweka Serikali Madarakari (Mwananchi), Mbeba Dhamana (Serikali), Kilichowekewa Dhamana (Madaraka ya Watu na Taasisi), Mtoa Dhamana kumwajibisha Mbeba Dhamana na Matokeo ya Kutowajibika.
Akifafanua zaidi, Utouh amesema Wananchi wanapaswa kujiuliza kwa hali ilivyo Nchini kama wanaweza kuiwajibisha Serikali au Watu waliowapa Madaraka au wanasubiri hadi ufanyike Uchaguzi ndio waoneshe kuwawajibisha waliowapa Dhamana.