Tanzania Maajabu Hayaishi

Tanzania Maajabu Hayaishi

Mfikirishi

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
10,458
Reaction score
12,195
Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
 

Attachments

  • Air+Tanzania.jpg
    Air+Tanzania.jpg
    27.7 KB · Views: 245
Kwa hiyo ndege ya Tanzania inatakiwa ibebe ngazi za kushukia kwa kila destination? Yaani kama Air Tanzania inatua Kenya, basi ngazi za kushukia zinatakiwa zitoke wapi na ziwe zimeandikwaje? Aliyesema malofa alikosea?

Mkuu ebu jielekeze mbali zaidi ya ngazi...
 
Hiyo picha ni ya miaka ya 80 wakati Air Tanzania na Kenya Airways zinatumia nembo za zamani.
Pili ndege inapotua uwanja wowote ngazi inayoandaliwa kwa kushukia abiria huwa ni ile inayoendana na ukubwa wa ndege ingawa zipo zinazoweza kurefuka. Suala la ngazi ina nembo gani wala halina uhusiano wowote na ndege inayohitaji kuitumia hiyo ngazi.
Kwa hiyo kwa majibu wa hiyo picha inawezekana ilikuwa Nairobi ambapo karibu ngazi zote ni za Kenya Airways, no big deal at all.
Tusikuze mambo bila ulazima wala utafiti.
 
Mmmmmmh....!! Haya maajabu yanayofanywa na Air Tanzania yanatia kichefu chefu!
Hiyo picha ujaielewa.... Hapo hiyo ni ndege ya Air Tanzania imetua uwanja wa ndege wa jomo Kenyatta na ngazi/stair ya Kenya airways ndio itakayotumika kushushia abiria sasa ulitaka ya jk. Nyerere ipelekwe jomo Kenyatta
 
Jamani kile chakula ktk hizi ndege wanamaanisha au masihara?
 
Back
Top Bottom