GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,016
Kuna uwezekano wa Tanzania kuwekewa vikwazo kwa sababu ya kuipindisha demokrasia nchini Zanzibar na hili linaonekana wazi wazi jumuiya zote za kimataifa pamoja na waangalizi wa uchaguzi zinawaunga mkono chama cha wananchi CUF pamoja na wananchi was Zanzibar kwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa amani.
Uchaguzi ulikuwa huru na uwazi.Suala hili la kuzuiliwa kwa kuendelea kutajwa matokeo lipo chini ya CCM na JK mwenyewe ndio wasimamizi was zoezi zima la uporaji wa demokrasia.
Kama viongozi wa CCM hawatotendea haki tutaunga mkono juhudi za kimataifa kwa CCM kushindwa kusimamia demokrasia na amani ya nchi.
Uchaguzi ulikuwa huru na uwazi.Suala hili la kuzuiliwa kwa kuendelea kutajwa matokeo lipo chini ya CCM na JK mwenyewe ndio wasimamizi was zoezi zima la uporaji wa demokrasia.
Kama viongozi wa CCM hawatotendea haki tutaunga mkono juhudi za kimataifa kwa CCM kushindwa kusimamia demokrasia na amani ya nchi.