Tanzania kuwekewa vikwazo kimataifa?

Tanzania kuwekewa vikwazo kimataifa?

Akili mata.ko hii! Hivi ni nani mwenye uroho wa madaraka kati ya anayetafuta kwa haki na anayeng'ang'ania madarakani? Acheni utapiamlo wa ubongo namna hiyo!!

Haki gani unayosema? ina maama hujui usanii alioufanya huko Pemba?
 
Akili mata.ko hii! Hivi ni nani mwenye uroho wa madaraka kati ya anayetafuta kwa haki na anayeng'ang'ania madarakani? Acheni utapiamlo wa ubongo namna hiyo!!

Umemjibu vizuri maana wao mtu akitoka chama tofauti na wao hawezi kuwa rais ila atoke ndani ya chama chao tu
 
Mkuu rekebisha sentensi yako inayosomeka nchini Zanzibar, kwani hujui kuwa Zanzibar siyo Nchi?

Ina katiba, ina wimbo wake wa taifa, ina bendera, ina raisi na makamu wake, ina baraza la mawaziri, ina bunge lake. Je,kama siyo nchi uliona wapi mkoa au jimbo lenye sifa hizo?
 
Kuna uwezekano wa Tanzania kuwekewa vikwazo kwa sababu ya kuipindisha demokrasia nchini Zanzibar na hili linaonekana wazi wazi jumuiya zote za kimataifa pamoja na waangalizi wa uchaguzi zinawaunga mkono chama cha wananchi CUF pamoja na wananchi was Zanzibar kwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa amani.

Uchaguzi ulikuwa huru na uwazi.Suala hili la kuzuiliwa kwa kuendelea kutajwa matokeo lipo chini ya CCM na JK mwenyewe ndio wasimamizi was zoezi zima la uporaji wa demokrasia.

Kama viongozi wa CCM hawatotendea haki tutaunga mkono juhudi za kimataifa kwa CCM kushindwa kusimamia demokrasia na amani ya nchi.

Ili tu mtu wao aingie wapate kufanikisha hatma zao? nchi yetu itabaki ni yetu watanzania
 
Ina katiba, ina wimbo wake wa taifa, ina bendera, ina raisi na makamu wake, ina baraza la mawaziri, ina bunge lake. Je,kama siyo nchi uliona wapi mkoa au jimbo lenye sifa hizo?
Hivi znz ina bunge lake, baraza la mawaziri? Are you sure?
 
Kwaninitunategemea misaada mpaka leo? Your comment is disturbing. Wagonjwa watakufa kwakukosa dawa real? Mbona dawa zenyewe hakuna? Maybe it's time tuondolewe kabisa hiyo misaada tutafute our own way of survival (kwakutumia rasilimali zetu). Tumekuwa crippled for a long time. It's time we stop being moochers.

Tatizo sio misaada tu, hata vikwazo vya kibiashara, haiwezekani kujitegemea bila ya mataifa makubwa,.
 
Kwa hiyo unafarijika nini na utapata faida gani pale wagonjwa watakufa kwa kukosa misaada itokanayo na vikwazo? Manyumbu bana! Jitu linawaza uroho wa madaraka tu.

Uroho upi? Yaani haki ya mtu ni uroho wa madaraka ? Maalim Seif kashinda uchaguzi nyingi mnataka kumpora haki zake eti unasema ni Uroho wa madaraka ! Kama ni Nyumbu nyie ndiyo nyumbu wakubwa tena Nyumbu wajinga msitaka kujua ukweli wala kutenda haki.
 
Kuna uwezekano wa Tanzania kuwekewa vikwazo kwa sababu ya kuipindisha demokrasia nchini Zanzibar na hili linaonekana wazi wazi jumuiya zote za kimataifa pamoja na waangalizi wa uchaguzi zinawaunga mkono chama cha wananchi CUF pamoja na wananchi was Zanzibar kwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa amani.

Uchaguzi ulikuwa huru na uwazi.Suala hili la kuzuiliwa kwa kuendelea kutajwa matokeo lipo chini ya CCM na JK mwenyewe ndio wasimamizi was zoezi zima la uporaji wa demokrasia.

Kama viongozi wa CCM hawatotendea haki tutaunga mkono juhudi za kimataifa kwa CCM kushindwa kusimamia demokrasia na amani ya nchi.

Tanzania mainland and isles,
deserve sanctions by 100%
PAMOJA NA KUJARIBU KUIBA KURA WAZIWAZI LAKINI BADO KURA NYINGI ALIPATA LOWASSA!/
 
Upo duniani au akhera?
Nipo akhera kiongozi, nachanganya hapo kwenye baraza la wawakikishi na/au wabunge.
Bunge la znz linaundwa na wabunge au wawakilishi? Nielimishe..
 
Mkuu rekebisha sentensi yako inayosomeka nchini Zanzibar, kwani hujui kuwa Zanzibar siyo Nchi?

Zanzibar kwa sasa ni Nchi inayojitegemea kwani imekaliwa kimabavu tu na vikosi vya ulinzi kwa kuhofia wananchi kujichukulia madaraka , CCM hawataki kukabidhi madaraka kwa Ukawa wakati wao huku bara wamejichukulia kwa nguvu na bado wanataka na Zanzibar watawale kwa mabavu.
 
Ina katiba, ina wimbo wake wa taifa, ina bendera, ina raisi na makamu wake, ina baraza la mawaziri, ina bunge lake. Je,kama siyo nchi uliona wapi mkoa au jimbo lenye sifa hizo?

Zanzibar wapo kamili wana kila kitu wana hata vikosi vyao ambavyo huku bara hakuna, baraza lao la wakilishi hakuna mbunge wa bara anaruhusiwa kuingia humo. Kwa kifupi Zanzibar walijipanga vizuri lakini wanaingiliwa na bara.
 
Ili tu mtu wao aingie wapate kufanikisha hatma zao? nchi yetu itabaki ni yetu watanzania

Tokea lini na uvamizi wa kanisa katoliki chini ya mwavuli wa ccm??
 
Nipo akhera kiongozi, nachanganya hapo kwenye baraza la wawakikishi na/au wabunge.
Bunge la znz linaundwa na wabunge au wawakilishi? Nielimishe..

Wewe utakuwa umenyweshwa maji mengi na pengo hata hujijui uko wapi
 
Kwa hiyo unafarijika nini na utapata faida gani pale wagonjwa watakufa kwa kukosa misaada itokanayo na vikwazo? Manyumbu bana! Jitu linawaza uroho wa madaraka tu.

Naomba unipe tafsina ya neno uroho wa madaraka.
 
Kwaninitunategemea misaada mpaka leo? Your comment is disturbing. Wagonjwa watakufa kwakukosa dawa real? Mbona dawa zenyewe hakuna? Maybe it's time tuondolewe kabisa hiyo misaada tutafute our own way of survival (kwakutumia rasilimali zetu). Tumekuwa crippled for a long time. It's time we stop being moochers.

Ccm ni ileile na wana ccm ni walewale.
Mtz usitegemee miujiza ya aina yoyote
 
Back
Top Bottom