Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,687
- 272,550
Mbona Nkurunzinza anadunda kama kawa!
Ataanza kupiga miayo muda si mrefu , unacheza na wazungu wewe !
Mbona Nkurunzinza anadunda kama kawa!
Haikuwekewa wakati wa Mkapa mlipokimbilia Shimoni Mombasa na wengine Uingereza ,ije iwekewe leo,jana Seifu alikuwa ikulu aliingia na katoka kafurahi,nyie mnaopiga domo na kuumizana wenyewe kwa wenyewe ndio mmeingizwa choo cha kike,demokrasia unaijua weye?hata wakiiwekee vikwazo atakaye umia ni wewe na si maalimu Seif wala Dr Shein,shabikia ujinga na utaona madhara yake.Kuna uwezekano wa Tanzania kuwekewa vikwazo kwa sababu ya kuipindisha demokrasia nchini Zanzibar na hili linaonekana wazi wazi jumuiya zote za kimataifa pamoja na waangalizi wa uchaguzi zinawaunga mkono chama cha wananchi CUF pamoja na wananchi was Zanzibar kwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa amani.
Uchaguzi ulikuwa huru na uwazi.Suala hili la kuzuiliwa kwa kuendelea kutajwa matokeo lipo chini ya CCM na JK mwenyewe ndio wasimamizi was zoezi zima la uporaji wa demokrasia.
Kama viongozi wa CCM hawatotendea haki tutaunga mkono juhudi za kimataifa kwa CCM kushindwa kusimamia demokrasia na amani ya nchi.
Kwa hiyo unafarijika nini na utapata faida gani pale wagonjwa watakufa kwa kukosa misaada itokanayo na vikwazo? Manyumbu bana! Jitu linawaza uroho wa madaraka tu.
Wanasheria waloenda ICC wanarudi lini?
Kwa mara ya kwanza ndo nimesikia chama twawala kuibiwa kura!! Shenzy type kabisa!Haki gani unayosema? ina maama hujui usanii alioufanya huko Pemba?
Kwa hiyo unafarijika nini na utapata faida gani pale wagonjwa watakufa kwa kukosa misaada itokanayo na vikwazo? Manyumbu bana! Jitu linawaza uroho wa madaraka tu.
Kwa hiyo unafarijika nini na utapata faida gani pale wagonjwa watakufa kwa kukosa misaada itokanayo na vikwazo? Manyumbu bana! Jitu linawaza uroho wa madaraka tu.
Nipo akhera kiongozi, nachanganya hapo kwenye baraza la wawakikishi na/au wabunge.
Bunge la znz linaundwa na wabunge au wawakilishi? Nielimishe..
Mkuu rekebisha sentensi yako inayosomeka nchini Zanzibar, kwani hujui kuwa Zanzibar siyo Nchi?
Kwa hiyo unafarijika nini na utapata faida gani pale wagonjwa watakufa kwa kukosa misaada itokanayo na vikwazo? Manyumbu bana! Jitu linawaza uroho wa madaraka tu.
Mkuu rekebisha sentensi yako inayosomeka nchini Zanzibar, kwani hujui kuwa Zanzibar siyo Nchi?
Kwa hiyo unafarijika nini na utapata faida gani pale wagonjwa watakufa kwa kukosa misaada itokanayo na vikwazo? Manyumbu bana! Jitu linawaza uroho wa madaraka tu.
Mbona nchi nyingi ziliwekewa vikwazo na zikadunda tu! Kama hauna rasilimali ndiyo unaweza kuumia.Ataanza kupiga miayo muda si mrefu , unacheza na wazungu wewe !