ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,856
Rais Samia anaendelea kujipambanua Kwa kuleta Mageuzi makubwa kwenye Kilimo chenye Tija Nchini.
Tanzania ni Nchi ya 5 Afrika Kwa Kuagiza Ngano nyingi kutoka Nje ya Nchi na ambapo Asilimia 90% ya Ngano inayotumika Nchini hutoka Nje ya Nchi na hasa Ukraine na Urusi na kuigharimi Nchi karibu Bil.700 Kila mwaka.Kwa kuwa Ardhi tunayo na hali ya hewa ni rafiki, Serikali ya awamu ya 6 imekataa aibu hii na kuja na Mpango wa Kilimo Tija almaarufu ajenda 10/30 ambayo Miongoni mwao ni kuhakikisha inatokomeza Uagizaji wa Ngano Nje ya Nchi.
Ili kufikia azma hiyo Serikali imeuteua Mkoa wa Njombe hususani Wilaya ya Makete kuwa kitovu Cha uzalishaji wa Ngano kutosheleza mahitaji ya ndani na kibiashara.Wilaya ya Makete ndio itakuwa kitovu Cha kuzalisha miche ya mbegu kibiashara ambazo zitapandwa maeneo mengine ikiwemo Mkoa wa Manyara..
My Take
Rais Samia na Waziri Bashe wanaendelea kujipambanua kwenye maono makubwa yatakauoleta Tija na mapinduzi kwenye sekta ya Kilimo.
Tanzania ni Nchi ya 5 Afrika Kwa Kuagiza Ngano nyingi kutoka Nje ya Nchi na ambapo Asilimia 90% ya Ngano inayotumika Nchini hutoka Nje ya Nchi na hasa Ukraine na Urusi na kuigharimi Nchi karibu Bil.700 Kila mwaka.Kwa kuwa Ardhi tunayo na hali ya hewa ni rafiki, Serikali ya awamu ya 6 imekataa aibu hii na kuja na Mpango wa Kilimo Tija almaarufu ajenda 10/30 ambayo Miongoni mwao ni kuhakikisha inatokomeza Uagizaji wa Ngano Nje ya Nchi.
Ili kufikia azma hiyo Serikali imeuteua Mkoa wa Njombe hususani Wilaya ya Makete kuwa kitovu Cha uzalishaji wa Ngano kutosheleza mahitaji ya ndani na kibiashara.Wilaya ya Makete ndio itakuwa kitovu Cha kuzalisha miche ya mbegu kibiashara ambazo zitapandwa maeneo mengine ikiwemo Mkoa wa Manyara..
My Take
Rais Samia na Waziri Bashe wanaendelea kujipambanua kwenye maono makubwa yatakauoleta Tija na mapinduzi kwenye sekta ya Kilimo.