Ni kweli hivyoo vimejengwa na vinajengwa ila mpaka sasa havijachangia chochote kwenye Pato la taifa na kwa mtu mmojammoja. Tusibiri miaka kadhaa ijayo tutaona manifaa yake.salenda,,meli
Ni kweli hivyoo vimejengwa na vinajengwa ila mpaka sasa havijachangia chochote kwenye Pato la taifa na kwa mtu mmojammoja. Tusibiri miaka kadhaa ijayo tutaona manifaa yake.salenda,,meli
Mlevi wewe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kwanini asilimia 10 tu,,huoni maendeleo?,tumefufua shirika la ndege,reli ,umeme sasa haukatiki,,reli ya umeme,,stand ya dodoma,soko kuu dodoma,,stand kuu ya mabasi dsm,daraja za salenda,,meli mv victory,,daraja la busisi,,mafanikio ni mengi mengi..
Mmmh ile usa-river ya pale meru, itapitwa sana tu.Asante Rais Magufuli kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati
Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA
Huu ndio ukweli ambao baadhi ya watu wanauchukia. Utakisikia, "Toka 2015, shule zimejengwa kadhaa, hospitali zimejengwa...., viwanda...., nk". Hautasikia, "Toka 1961 hadi 1885 (Nyerere), 1985-1995 (Mwinyi), 1995-2005 (Mkapa) na 2005-2015 (Kikwete) kulijengwa viwanda..." Hautasikia hilo. Ukisikia sana, itakuwa "Viwanda vimejengwa ktk miaka 5 kuliko awamu zote". Hautapewa idadi ya awamu zote ikilinganishwa na awamu hii.
Watu tulivyowekewa woga, uzi huu unaweza hata kufutwa. Siyo kwa sababu umeongopa ila kwa sababu umesema ukweli ambayo baadhi ya watu hawapendi kusikia. Sijui kuna faida gani kuongopa. Awamu hii imefanya yake mazuri pia, lakini unaweza kumpandisha mtu bila kuwashusha wengine. Tanzania ni nyumba ambayo ujenzi wake hauna mwisho. Kila anayekuja anaweka matofali yake. Muda wake ukipita, anamwachia mwingine bila ya kumdharau aliyepita.
Hivi sasa umasikini limeongezeka, bahati mbaya yote hayo yanafanyika bila hata kujua idadi halisi ya watu waliomo Tanzania, ni makisio tu. Tanzania ilifanya sensa iliyotoa idadi angalau yenye uhakika ni ya mwaka 1967 lakini zilizofuata ni za kugushi tu na sijui kama sensa bado ipo.Kumbe nyie mna kisa na magufuli,zile ngonjera za kua ccm inaturudisha nyuma ni uongo.
Magufuli baba lao, hao wengine hamna walichofanya! JPM mitano tu, tayari ametufikisha kwenye neema ya Uchumi wa kati! Atawale tu milele😁😁😁hapana, ninawasifu marais wetu wa awamu zote!!
Kuna watu waliotumbuliwa,vyeti feki,na wale walio zibiwa mianya ya wizi, kutwa kucha wako mitandaoni wakishirikiana na wanasiasa wenye uchu wa kwenda Ikulu kuponda Rais na serikali yake kujaribu kuaminisha uma kua hafai,wananchi wenye akili tunajua A-Z ya kwamba JPM ni jembe kuliko kiongozi yoyote wa juu hapa Africa. Hivyo tu
Magufuli hajafanya chochote ila tu anajua kutumia media vizuri na kuwahadaa wajinga. Tukiweka maneno pembeni tukaenda kwa uhalisia huyu ndiye Rais wa mwishoMagufuli baba lao, hao wengine hamna walichofanya! JPM mitano tu, tayari ametufikisha kwenye neema ya Uchumi wa kati! Atawale tu milele😁😁😁
Hizi sasa ndio akili za pure mwafrika!!! Nchi ni zaidi ya vyama, na sio kwamba maendeleo yanaletwa na wana ccm tu!! Kodi inalipwa na kila mwananchi,kama hakuna vyama vya upinzani bali ni wanaharakati, mbona sasa hamjiamini?? Mnatumia nguvu nyingi tena kwa kusaidiwa na polisi?!! Kwa mazuri anayofanya meko nilijua tu kuwa vyama vya upinzani vingekufa natural death!! Sio kwa mabomu!!! Upinzani ni itikadi hata kibaki chama kimoja bado upinzani utakuwepo tu mioyoni mwa watu!!CHADEMA wamekuwa wapiga kampeni wa CCM!
Hayo yote ni mafanikio ya CCM kupitia serikali zake!
Tanzania hatuna vyama vya upinzani bali tuna wanaharakati!
Ccm na magufuli kwa pamoja vimechangia kuturudisha nyuma.Kumbe nyie mna kisa na magufuli,zile ngonjera za kua ccm inaturudisha nyuma ni uongo.
Yaaaaa ! Konyagi ya nini tena jamani mpaka umeumiza mwenyekiti wa ufipa?
Asante Rais Magufuli kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati
Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA
Waulize wanaoshabikia tanzania kuwa uchumi wa kati wakati kipato chao ni buku 7 kwa siku.Kwa mnyonge anafaidika na nini hebu tuelimesheni
Mkuu asilimia zinacheza kati ya 0 hadi 100. Rekebisha siweke ndani ya 100
Mataga unajuwa kuna chi za Kiafrika wazungu wananyimwa visa kwa kuwa wanaweza kuzamia?Kuna watu waliotumbuliwa,vyeti feki,na wale walio zibiwa mianya ya wizi, kutwa kucha wako mitandaoni wakishirikiana na wanasiasa wenye uchu wa kwenda Ikulu kuponda Rais na serikali yake kujaribu kuaminisha uma kua hafai,wananchi wenye akili tunajua A-Z ya kwamba JPM ni jembe kuliko kiongozi yoyote wa juu hapa Africa. Hivyo tu
Pamoja na hayo yote uliyoyaweka.Jambo moja ni lazima tujiulize.Hapa chini ni historical trend (source ni World Bank) ya ongezeko la per capita income kwa Tanzania kuanzia awamu ya 3 (Mkapa), halafu ya 4 (JK ) hadi ya sasa ya 5 (Magufuli).
Ni wazi kuwa kila rais katika awamu hizo 3 amechangia kwa kiasi kikubwa kuifikisha Tanzania katika uchumi wa kati chini.
Mkapa: ongezeko la 194% (sawasawa na $ 330)
JK: ongezeko la 96% (sawasawa na $ 480)
Magufuli: ongezeko la 10% (sawasawa na $ 100)
In terms of %, aliyeongoza ni Mkapa na mwisho ni Magufuli.
In terms of absolute figures, aliyeongoza ni JK na wa mwisho ni Magufuli.
Nawaomba Watanzania tuwatambue vinara (walioongoza yaani Mkapa & JK) waliotufikisha hatua hii. Mungu awabariki sana hawa wazee wetu marais wastaafu.
View attachment 1496609