Aisee! eti assumptions ? dah !sawa comrade.
tunaongea kitu kimoja ila sema wewe unatumia assumptions wakati wengine tunatumia facts kutoka reliable sources.
Kumbe basi mimi wa kijijini natumia hypothesis maana siko well informed sawa bhana.wee kaa na hizo {allegedly} facts zako
Acha tusubiri.