chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Nitashangaa mtanzania kukimbia nchi kubwa kutafuta fursa ila riziki ni popote.
Tanzania yetu kuna fursa nyingi ukijumlisha na ardhi yetu ambayo mpaka leo kuna nchi au watu wanatamani kupata hii nchi.
Fursa zilizopo kwangu naziweka asilimia 98% mpaka sasa azijatumika.
Ila kutokuonekana fursa hizi kuna sababishwa na haya:
Kukosekana kwa sera safi na utawala
hili suala linachangia asilimia kubwa hapa Tanzania na kusababisha mambo mengi kutupita huku dunia ikienda kasi.
Ubinafsi na watawala kujilimbikizia
ubinafsi umeshika kasi na hata wanaoshikilia fursa wanabaki nazo na kuzidi kuzichukua wao na wabaki wao kama wao kuanzia mtu mmoja, vikundi vya watu na n.k
Kukosekana kwa bajeti na mfumo mzuri wa kukopesheka
Kiukweli watu wengi wana fursa ya kufika mbali na kuweza kufanya mazuri lakini haya yanapelekea kushindwa.
Kama haya yatafuatwa basi kuna uwezo watu wakafungua vitu vingi na bila shida
Tanzania yetu kuna fursa nyingi ukijumlisha na ardhi yetu ambayo mpaka leo kuna nchi au watu wanatamani kupata hii nchi.
Fursa zilizopo kwangu naziweka asilimia 98% mpaka sasa azijatumika.
Ila kutokuonekana fursa hizi kuna sababishwa na haya:
Kukosekana kwa sera safi na utawala
hili suala linachangia asilimia kubwa hapa Tanzania na kusababisha mambo mengi kutupita huku dunia ikienda kasi.
Ubinafsi na watawala kujilimbikizia
ubinafsi umeshika kasi na hata wanaoshikilia fursa wanabaki nazo na kuzidi kuzichukua wao na wabaki wao kama wao kuanzia mtu mmoja, vikundi vya watu na n.k
Kukosekana kwa bajeti na mfumo mzuri wa kukopesheka
Kiukweli watu wengi wana fursa ya kufika mbali na kuweza kufanya mazuri lakini haya yanapelekea kushindwa.
Kama haya yatafuatwa basi kuna uwezo watu wakafungua vitu vingi na bila shida