Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,684
- 4,383
Hello
Kupitia analysis fupi niliyofanya nimekuja na majibu kwamba Tanzania tuna asilimia kubwa 99% kubeba kombe hili
Timu nyingi za Taifa ambazo ni magiant round hii zinacheza mpira wa ovyo na hazina ubora ule tuliouzoea siku zote
Viwango vya wachezaji havipishani sana baina ya yale mataifa makubwa kisoka na mataifa madogo
Hapa Tanzania tukichanga karata zetu vizuri mwali anarudi nyumbani mchana kweupe, mpaka sasa sijaona timu ambayo inayocheza mpira wa kutisha kiasi kwamba tuwe na hofu nayo
Group letu la kawaida sana hakuna team ya kuisumbua Tanzania wote tunaocheza nao tunawafahamu vyema na wamechoka kisoka siku hizi
Naitakia kila la kheri Taifa stars, tuungane pia kuliombea Taifa letu
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars
Hivi TBC wataonesha hii mechi?
Kupitia analysis fupi niliyofanya nimekuja na majibu kwamba Tanzania tuna asilimia kubwa 99% kubeba kombe hili
Timu nyingi za Taifa ambazo ni magiant round hii zinacheza mpira wa ovyo na hazina ubora ule tuliouzoea siku zote
Viwango vya wachezaji havipishani sana baina ya yale mataifa makubwa kisoka na mataifa madogo
Hapa Tanzania tukichanga karata zetu vizuri mwali anarudi nyumbani mchana kweupe, mpaka sasa sijaona timu ambayo inayocheza mpira wa kutisha kiasi kwamba tuwe na hofu nayo
Group letu la kawaida sana hakuna team ya kuisumbua Tanzania wote tunaocheza nao tunawafahamu vyema na wamechoka kisoka siku hizi
Naitakia kila la kheri Taifa stars, tuungane pia kuliombea Taifa letu
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars
Hivi TBC wataonesha hii mechi?