Tanzania kuanza kutengeneza smartphone

Comments nyingi zinaonyesha watu wamekata tamaa na hawana imani, upande wa pili wa serikali mambo vyote wanafanyika na hakuna lisilowashinda. Ambao siasa hatujui tunashindwa kumjua nan mkweli na muongo
 
Hakuna wateja kwasababu serikali imewafukuza. Kivipi
1. Duniani sasa hivi Kuna korona. Ni tz pekee ambako hakuna takwimu kuhusu hili gonjwa. Sasa mtalii atakujaje sehemu ambayo hakuna tahadhari dhidi ya ugonjwa Wala takwimu.
Sometimes nikiona unavyoitetea ccm huwa nakushusha thamani kabisa
 
Sasa kama hivyo ndio vinahitajika then kwanini washindwe kutengeneza smartphone.
1. Unaweza kuwa na watu ila ni wagonjwa,hakuna huduma nzuri za afya. Uwezo wa mtu kufanya kazi hutegemea hali yake kiafya

2. Una ardhi lakini unaitumiaje?sheria zinazoongoza maswala ya umiliki je ni rafiki kwa karne hii ya sasa ya 21 ?

3.siasa zenu nizakisomi. Chuki kulipiza kisasi,domokrasi yakweli na sio ya maigizo
 
hizo simu zitaozea kiwandani labda kama watalazimisha misukule yao yenye chkno izinunue
 
Tatizo wa Tanzania wengi hawapendi vitu vya kwao utumwa upo kwenye dam
it is not about kupenda vya kwetu, its about quality. huoni siku hizi toka maseremala waboreshe finishing watu wanatumia sana home made furniture? mameza ya kichina low quality si deal tena
 
Back
Top Bottom